< Yoshua 16 >
1 Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli.
Joseph catounnaw ni cungpam a khoe awh teh a pang awh e râw talai ramri teh, Jordan palang teng, Jeriko kho kanîtholah Jeriko kho tui koehoi kahrawng lam lahoi Bethel mon pueng dawkvah a cei.
2 Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi,
Bethel hoi Luz kho lah, Ataroth e Ark taminaw e khori totouh,
3 ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.
kanîloumlah, Japhlet kho lah, Bethhoron kho lah, Gezer kho lah a pha teh tuipui dawk a pout.
4 Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.
Hottelah Joseph e ca Manasseh hoi Ephraim naw ni râw teh a coe awh.
5 Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu,
Ephraim ni imthung lahoi kaawm e talai ramri teh kanîtholah, Atarothaddar kho hoi Bethhoron koe lah,
6 na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki.
atunglah tuipui teng, Mikmethath kho koe a tâco. Hahoi kanîtholah Taanathshiloh kho, kanîtholah a cei teh,
7 Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani.
Janoah kho koe lah, Ataroth, Naarah, Jeriko lah a pha teh, Jordan palang dawk a pout.
8 Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
Tappuah kho hoi kanîloumlah a cei teh Kanah palang koe lah a cei teh, tuipui dawk a pout.
9 Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
Hetheteh Manasseh miphunnaw râw a coe awh e talai dawk Ephraim miphunnaw hanelah a khuen pouh e khonaw hoi Ephraim miphun imthung lahoi râw a coe awh e khonaw lah ao.
10 Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.
Gezer kho dawk kaawm e kanaan naw hah pâlei laipalah ahnimouh teh sahnin totouh Ephraim miphunnaw hoi rei ao awh teh aphawng a cawng awh.