< Yoshua 16 >
1 Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli.
Soge amo da Yousefe egaga fi ilima ilegei da agoane. Ga (south) alalo da Yodane Hano amo Yeligou moilai bai bagade gadenene ba: i. Alalo da Yeligou Bubuga: su hano amo eso mabadi la: idi ba: i. Amoga asili alalo da wadela: i sogega asili, agolo sogega asili, Bedele moilaiga doaga: i.
2 Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi,
Bedele moilai baligili, alalo da Lase moilaiga asili A: dalode A: da moilaiga doaga: i. (Agaide dunu da amo moilaiga esalu.)
3 ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.
Amalu, alalo da eso dabe la: idi amoga asili Ya: felidaide dunu ilia soge Bede Holone soge amo ganodini doaga: i. Amalu, ilia soge alalo da Gisa soge baligili, Medidela: inia Hano Wayabo amoga doaga: i.
4 Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.
Yousefe egaga fi (Ifala: me fi amola Eso Dabe Ma: na: se fi) da amo soge lai dagoi.
5 Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu,
Ifala: ime fi dunu ilia soge alalo da A: dalode A: da amoga eso mabadi la: idi asili gadodili Bede Houlone baligili,
6 na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki.
Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: i. Migimida moilai da ilia sogega gano ba: i. Eso mabadi la: ididili, alalo da selefale asili Da: ina: de Siailou eso mabadi la: ididili baligili, Yanoua moilaiga doaga: i.
7 Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani.
Amoga asili, alalo da A: dalode amola Na: iala baligili, Yeligou moilai bai bagade amola Yodane Hano doaga: i.
8 Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
Alalo da eso dabe la: idi amo Dabua fisili, Gana Hano amoga asili, Medidela: inia Hano amoga doaga: i.
9 Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
Ifala: ime fi da amo soge lai. Amola ilia da moilai afae afae amo Eso Dabe Ma: na: se fi ilia soge alalo ganodini amo lai dagoi.
10 Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.
Be ilia da Ga: ina: ne fi dunu Gisa soge amo ganodini esalu, amo gadili hame sefasi. Amaiba: le, Ga: ina: ne fi dunu da Ifala: ime fi amo ganodini wali esala. Be ilia da udigili bidi mae lawane hawa: hamosu dunu esala.