< Yoshua 15 >

1 Mgawo kwa kabila la Yuda, ulienea ukoo kwa ukoo, ukishuka kufikia eneo la Edomu, hadi Jangwa la Sini mwisho kabisa upande wa kusini.
Yuda fi da ilia soge lai agoane; Soge da ga (south) asili, Sini wadela: i soge amoga Idome alaloga doaga: i.
2 Mpaka wao wa kusini ulianzia kwenye ghuba iliyoko kwenye ncha ya kusini mwa Bahari ya Chumvi,
Amo alalo da Bogoi Hano Wayabo ea ga alalo,
3 ukakatiza kusini mwa Akrabimu, ukaendelea hadi Sini ukaenda hadi kusini mwa Kadesh-Barnea. Tena ukapitia Hesroni ukapanda hadi Adari na ukapinda hadi Karka.
ga asili, A:gala: bimi goumi logoga asili, Sini sogega doaga: i. Alalo da Ga: idese Bania amoga ga asili, Hesalone baligili, A:da moilaiga asili, amalu Gaga sogega asi.
4 Kisha ukaendelea mpaka Azmoni na kuunganika na Kijito cha Misri, na kuishia baharini. Huu ndio mpaka wao wa upande wa kusini.
Amalalu, alalo da A: samone sogebiga asili, hano amo da Idibidi soge alalo amoga asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: i. Amo da Yuda dunu ilia ga alalo.
5 Mpaka wa upande wa mashariki ni Bahari ya Chumvi ukienea mahali Mto Yordani unapoingilia. Mpaka wa upande wa kaskazini ulianzia penye ghuba ya bahari mahali Mto Yordani unapoingilia,
Eso mabadi alalo da Bogoi Hano Wayabo bega: asili, YodaneHano idimi amoga doaga: i.
6 ukapanda hadi Beth-Hogla, na kuendelea kaskazini mwa Beth-Araba hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.
Ga (north) alalo da Yodane Hano idimi amoga asili, Bede Hogala doaga: le, ga (north) asili, goumi soge amo da Yodane Hano ga (north) asi. Amalalu, alalo da Bouha: ne Gele amoga asili (Bouha: ne da Liubene egefe)
7 Kisha mpaka ulipanda hadi Debiri kutoka Bonde la Akori na kugeuka kaskazini hadi Gilgali inayotazamana na materemko ya Adumimu, kusini mwa bonde. Ukaendelea sambamba hadi maji ya En-Shemeshi na kutokeza huko En-Rogeli.
Bidi Hamosu Fago amoga asili, Dibe moilai baligili, Giliga: le moilai (amo da Adamimi goumi logo fago ga (south) la: idi dialebe) amoga baligili, Enesemese hano bubuga: su baligili, Enelougele asili,
8 Kisha ukapanda kwa kufuata Bonde la Ben-Hinomu sambamba na mteremko wa kusini wa mji mkubwa wa Wayebusi (yaani Yerusalemu). Kutoka hapo ukapanda juu ya kilima magharibi ya Bonde la Hinomu mwisho wa ncha ya kaskazini mwa Bonde la Warefai.
Hinome Fago (agolo amo fago la: idiga gala amoga Yebiusaide dunu fi da Yelusaleme gagui galu) amo baligili, alalo da Hinome Fago ea eso dabe la: idi amoga asili Lifa: ime Fago ga (north) la: idiga asi.
9 Kutoka juu ya kilima mpaka ule ukaendelea hadi kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa, ukatokea kwenye miji ya Mlima Efroni na kuteremka kuelekea Baala (yaani Kiriath-Yearimu).
Amalu, alalo da Nefedona Hano Bubuga: su amoga asili, moilai amo da Efelone Goumi gadenene amoga asi. Amalu, alalo da sinidigili, Gilia: de Yialimi moilai baligili,
10 Kisha ukapinda upande wa magharibi kutoka Baala hadi Mlima Seiri, ukafuatia sambamba mteremko wa kaskazini mwa Mlima Yearimu (yaani Kesaloni), ukaendelea chini hadi Beth-Shemeshi na kukatiza hadi Timna.
bu sinidigili, Idome agolo soge amoga asili, Yialimi goumi amoga eso dabe la: ididili asili, Bedesimese amola Dimina baligili,
11 Ukaelekea hadi kwenye mteremko wa kaskazini mwa Ekroni, ukageuka kuelekea Shikeroni, ukapita hadi Mlima Baala na kufika Yabineeli. Mpaka ule ukaishia baharini.
agolo amo Egelone ga (north) la: idiga gala, amoga asili, amalu Sigilone amola Ba: iala Goumi baligili, Ya: minia moilaiga asili, Medidela: inia Hano Wayabo Bagadega doaga: i.
12 Mpaka wa magharibi ni pwani ya Bahari Kuu. Hii ndiyo mipaka ya watu wa Yuda kwa koo zao.
Medidela: inia Hano Wayabo Bagade da Yuda fi ilia soge eso dabe alalo hamoi. Amo alalo ganodini, Yuda fi dunu da esalu.
13 Kwa kufuata maagizo ya Bwana kwake, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune sehemu katika Yuda: Kiriath-Arba, yaani Hebroni (Arba alikuwa baba wa zamani wa Anaki).
Hina Gode da Yosiuama sia: i amo defele, e da Yuda fi ilia soge fifili, la: idi amo Ga: ilebe (Yefane, Yuda fi dunu ea mano) ilima i. E da Hibalone moilai bai bagade (musa: A:ina: ge ea mano Aba da amo moilai gagui) amo Ga: ilebema i.
14 Kutoka Hebroni Kalebu alifukuza hao wana watatu wa Anaki, nao ni Sheshai, Ahimani na Talmai, wazao wa Anaki.
Ga: ilebe da A: ina: ge egaga fi (amo da Sisai, Ahaima: ne amola Da: lamai fi dialu) amo gadili sefasi.
15 Kutoka hapo akaondoka kupigana dhidi ya watu walioishi Debiri (jina la Debiri hapo kwanza uliitwa Kiriath-Seferi).
Amoga asili e da Dibe moilai fi amo doagala: musa: asi (Dibe ea musa: dio da Gilia: de Sefe)
16 Kalebu akasema, “Nitamwoza binti yangu Aksa kwa mtu atakayeweza kupigana na kuteka Kiriath-Seferi.”
Ga: ilebe da amane sia: i, “Nowa dunu da Gilia: de Sefe amo gegene lasea, na da nadiwi ema imunu.”
17 Basi Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu yake Kalebu, akauteka; hivyo Kalebu akamtoa Aksa binti yake aolewe naye.
Odeniele amo Ga: ilebe eya Gina: se ea mano da amo moilai lai dagoi. Amaiba: le, Ga: ilebe da ea idiwi A: igasa: amo ema i.
18 Siku moja Aksa alipokuja kwa Othnieli, alimsihi Othnieli amwombe baba yake, Kalebu, shamba. Aksa aliposhuka kutoka juu ya punda wake, Kalebu akamuuliza, “Je, wataka nikufanyie nini?”
Ea uda lamu esoha, Odeniele da A: igasa: ema ea edama soge adole ba: ma: ne sia: i. A: igasa da dougiga fila heda: i amoga osoboga sa: i. Ga: ilebe da ema amane sia: i, “Di adi laha?”
19 Akamjibu, “Naomba unifanyie jambo moja la hisani. Kwa kuwa umenipa ardhi huko Negebu, nipe pia chemchemi za maji.” Basi Kalebu akampa chemchemi za juu na za chini.
E da bu adole i, “Na dima edegesu gala. Na da hano bubuga: su hanai gala. Soge di da nama i da hafoga: i soge amo ganodini gala.” Amaiba: le, Ga: ilebe da gadodili amola gududili dialebe hano bubuga: su ema i dagoi.
20 Huu ndio urithi wa kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo:
Soge amo Yuda fi dunu da gaguma: ne lai da amo;
21 Miji ya kusini kabisa ya kabila la Yuda katika Negebu kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,
Moilai ga (south) galu ilia lai (Idome alalo gadenei) da Ga: basiele, Ide, Ya: ige,
22 Kina, Dimona, Adada,
Gaina, Daimouna, A:ida: da,
23 Kedeshi, Hazori, Ithnani,
Gidese, Ha: iso, Idena: ne,
24 Zifu, Telemu, Bealothi,
Sife, Dileme, Bialode,
25 Hazor-Hadata, Kerioth-Hezroni (yaani Hazori),
Ha: iso, Hada: da, Giliode, Heselone,
26 Amamu, Shema, Molada,
A: imame, Sima, Molada,
27 Hasar-Gada, Heshmoni, Beth-Peleti,
Ha: isa Ga: da, Hesiemone, Bedefilede,
28 Hasar-Shuali, Beer-Sheba, Biziothia,
Ha: isa Siuale, Biasiba, Bisiadia,
29 Baala, Iyimu, Esemu,
Ba: ila, Aimi, Iseme,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Eledoula: de, Gisili, Homa,
31 Siklagi, Madmana, Sansana,
Sigila: ge, Ma: dama: na, Sa: nasa: na,
32 Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Leba: iode, Silihimi, A:ini amola Limone. Ilia da moilai bai bagade29 agoane, Idome alalo gadenene lai dagoi. Amola ilia da moilai fonobahadi amo moilai bai bagade sisiga: le dialu lai dagoi.
33 Kwenye shefela ya magharibi: Eshtaoli, Sora, Ashna,
Amola ilia da agolo fonobahadi soge amo ganodini moilai bai bagade14 agoane amola moilai fonobahadi amo sisiga: le dialu lai. Amo moilai da Eseda: iole, Soula, A:sena, Sanoua, Enega: neme, Dabua, Ina: me, Yamade, Adala: me, Sougo, Asiga, Siala: ime, A:dida: ime amola Gedila.
34 Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Shaaraimu, Adithaimu na Gedera (au Gederothaimu); yote ni miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.
37 Senani, Hadasha, Migdal-Gadi,
Yuda fi dunu da moilai bai bagade eno16agoane amola moilai fonobahadi ili sisiga: le dialu lai. Amo moilai da Sina: ne, Hada: sia, Migida: liga: ole, Dilia: ne, Misiba, Yogedili, La: igisi, Bosaga: ole, Egelone, Ga: bone, Lama: me, Gidilisi, Gidelode, Bededa: igone, Na: ima amola Ma: gida.
38 Dileani, Mispa, Yoktheeli,
39 Lakishi, Boskathi, Egloni,
40 Kaboni, Lamasi, Kitlishi,
41 Gederothi, Beth-Dagoni, Naama na Makeda; yote ni miji kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
42 Libna, Etheri, Ashani,
Ilia da moilai bai bagade eno9agoane amola ilima sisiga: le dialu moilai lai. Amo da Libina, Ida, A:isa: ne, Ifida, A:sena, Nisibi, Gaila, A:gasibi amola Malisia.
43 Yifta, Ashna, Nesibu,
44 Keila, Akzibu na Maresha; yote ni miji tisa pamoja na vijiji vyake.
45 Ekroni, pamoja na viunga vyake na vijiji vyake;
Amola ilia da Egelone soge amola moilai amo ganodini dialu huluane lai.
46 magharibi ya Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;
Amola moilai huluane A: siedode gadenene amo da Egelone sogega asili Medidela: inia Hano Wayabo Bagade alalo amoga doaga: i.
47 Ashdodi, miji yake na vijiji vyake na Gaza viunga vyake na vijiji vyake, hadi kufikia Kijito cha Misri na Pwani ya Bahari Kuu.
Amola A: siedode, Ga: isa amola sisiga: le dialu moilai huluane ilia da lai. Ilia soge lai da asili, hano da Idibidi la: idi alalo hamoi amo amola Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: i.
48 Katika nchi ya vilima: Shamiri, Yatiri, Soko,
Moilai bai bagade 11eno amola sisiga: le dialu moilai amo agolo soge ganodini galu ilia da lai, amo Sia: ime, Ya: de, Sougo Da: na, Gilia: de Sebe, A:ina: be, Esedamua, A:inimi, Gousiene, Houlone amola Gailou.
49 Dana, Kiriath-Sana (yaani Debiri),
50 Anabu, Eshtemoa, Animu,
51 Gosheni, Holoni na Gilo; miji kumi na mmoja pamoja na vijiji vyake.
52 Arabu, Duma, Ashani,
Moilai bai bagade sesege eno amola sisiga: le dialu moilai ilia da lai, amo A: la: be, Duma, Esia: ne, Ya: iname, Bede Dabua, A:figa, Hamada, Hibalone amola Sio.
53 Yanimu, Beth-Tapua, Afeka,
54 Humta, Kiriath-Arba (yaani Hebroni), na Siori; miji tisa pamoja na vijiji vyake.
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Amola moilai bai bagade eno nabuane agoane amola sisiga: le dialu moilai fonobahadi ilia da lai, amo Ma: ione, Gamele, Sife, Yada, Yeseliele, Yogedia: me, Sanoua, Ga: ini, Gibia amola Dimina.
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 Kaini, Gibea na Timna; miji kumi pamoja na vijiji vyake.
58 Halhuli, Beth-Suri, Gedori,
Moilai bai bagade eno da Ha: lahale, Bedese, Gido, Ma: lade, Bedea: inode amola Eledigone - moilai bai bagade gafeyale gala amola ilima sisiga: le dialu moilai fonobahadi.
59 Maarathi, Beth-Anothi na Eltekoni; miji sita pamoja na vijiji vyake.
60 Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu) na Raba; miji miwili pamoja na vijiji vyake.
Gilia: de Ba: ile amola La: ba - moilai bai bagade aduna amola ilima sisiga: i dialu moilai fonobahadi.
61 Huko jangwani: Beth-Araba, Midini, Sekaka,
Wadela: i hafoga: i soge amo ganodini ilia da moilai bai bagade gafeyale eno amola ilia sisiga: le dialu moilai lai. Amo da Bede A: laba, Midini, Sega: iga, Nibisia: ne, Soli amola Enegidai.
62 Nibshani, Mji wa Chumvi, na En-Gedi; miji sita pamoja na vijiji vyake.
63 Yuda hakuweza kuwafukuza Wayebusi, waliokuwa wakiishi Yerusalemu; hadi leo Wayebusi huishi huko pamoja na watu wa Yuda.
Be Yuda fi dunu da Yebiusaide dunu Yelusaleme moilai bai bagade ganodini esalu, amo gadili sefasimu hamedeiwane ba: i. Amola Yebiusaide dunu da wali Yelusaleme moilai bai bagadega, Yuda dunu gilisili esalebe ba: sa.

< Yoshua 15 >