< Yoshua 14 >

1 Basi haya ndiyo maeneo Waisraeli waliyopokea kama urithi katika nchi ya Kanaani, ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliwagawia.
This `thing it is, which the sones of Israel weldiden in the lond of Canaan, which lond Eleazar the preest, and Josue, the sone of Nun, and the princes of meynees bi the lynagis of Israel yauen to hem,
2 Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama Bwana alivyoamuru Mose.
and departiden alle thingis bi lot, as the Lord comaundide in the hond of Moises, to nyne lynagis and the half lynage.
3 Mose alikuwa amewapa yale makabila mawili na nusu urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi miongoni mwa hao wengine,
For Moises hadde youe to `the twey lynagis and to the half lynage `possessioun ouer Jordan; without the Leuytis, that token no thing of the lond among her britheren;
4 kwa kuwa wana wa Yosefu walikuwa makabila mawili; Manase na Efraimu. Walawi hawakupata mgawo wa ardhi, bali walipewa miji tu kwa ajili ya kuishi, pamoja na maeneo ya malisho kwa ajili ya makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe wao.
but the sones of Joseph weren departid in to twei lynagis, of Manasses and of Effraym, and `weren eiris in to the place of hem. And `the Leuytis token noon other part in the lond, no but citees to dwelle, and the subarbis of tho to werke beestis and her scheep to be fed.
5 Kwa hiyo Waisraeli wakagawana ile nchi, kama vile Bwana alivyomwagiza Mose.
As the Lord comaundide to Moises, so the sones of Israel diden, and departiden the lond.
6 Kisha watu wa Yuda wakamwendea Yoshua huko Gilgali, naye Kalebu mwana wa Yefune yule Mkenizi, akamwambia, “Unajua jambo ambalo Bwana alimwambia Mose mtu wa Mungu huko Kadesh-Barnea kukuhusu wewe na mimi.
And so the sones of Juda neiyiden to Josue in Galgalis; and Caleph, the sone of Jephone, of Ceneth, spak to him, Thou knowist, what the Lord spak to Moises, the man of God, of me and of thee in Cades Barne.
7 Nilikuwa na umri wa miaka arobaini, wakati Mose mtumishi wa Bwana, aliponituma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza hiyo nchi. Nami nikamletea taarifa kama kulingana na nilivyosadiki moyoni.
Y was of fourti yeer, whanne Moises, `seruaunt of the Lord, sente me fro Cades Barne, that Y schulde biholde the lond, and Y teelde to hym that, that semyde soth to me.
8 Lakini ndugu zangu tuliopanda nao waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa hofu. Bali mimi, nilimfuata Bwana Mungu wangu kwa moyo wote.
Forsothe my britheren, thats tieden with me, discoumfortiden the herte of the puple, and neuertheles Y suede my Lord God.
9 Hivyo katika siku ile, Mose akaniapia, ‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, kwa sababu umemfuata Bwana Mungu wangu kwa moyo wote.’
And Moises swoor in that dai, and seide, The lond, which thi foot trad, schal be thi possessioun, and of thi sones withouten ende; for thou suedist thi Lord God.
10 “Sasa basi, kama vile Bwana alivyoahidi, ameniweka hai kwa miaka arobaini na mitano tangu wakati alipomwambia Mose jambo hili, wakati Waisraeli wakiwa wanazunguka jangwani. Hivyo mimi hapa leo, nina umri wa miaka themanini na mitano!
Sotheli the Lord grauntide lijf to me, as he bihiyte, `til in to present dai. Fourti yeer and fyue ben, sithen the Lord spak this word to Moises, whanne Israel yede bi the wildirnesse. To dai Y am of `foure scoor yeer and fyue,
11 Bado ninazo nguvu kama siku ile Mose aliponituma. Bado ninazo nguvu za kwenda vitani sasa kama vile nilivyokuwa wakati ule.
and Y am as myyti, as Y was myyti in that time, whanne Y was sent to aspie; the strengthe `of that tyme dwellith stabli in me `til to dai, as wel to fiyte, as to go.
12 Basi nipe nchi hii ya vilima, ambayo Bwana aliniahidi siku ile. Wewe mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na yenye maboma, lakini, kwa msaada wa Bwana, nitawafukuza watoke huko kama vile alivyonena.”
Therfor yyue thou to me this hil, which the Lord bihiyte to me, while also thou herdist, in which hil ben Enachym, and grete `citees, and strengthid; if in hap the Lord is with me, and Y mai do hem awei, as he bihiyte to me.
13 Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune, na akampa Hebroni kama urithi wake.
And Josue blesside hym, and yaf to hym Ebron in to possessioun.
14 Hivyo Hebroni imekuwa mali ya Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi tangu wakati ule, kwa sababu alimwandama Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wote.
And fro that tyme Ebron was to Caleph, sone of Jephone, of Cenez, `til in to present dai; for he suede the Lord God of Israel.
15 (Hebroni uliitwa Kiriath-Arba hapo mwanzo, kutokana na huyo Arba ambaye alikuwa mtu mkuu kupita wote miongoni mwa Waanaki.) Kisha nchi ikawa na amani bila vita.
The name of Ebron was clepid bifore Cariatharbe. Adam, the gretteste, was set there in the lond of Enachym; and the lond ceesside fro batels.

< Yoshua 14 >