< Yoshua 13 >
1 Yoshua alipokuwa mzee na umri wake ukiwa umesogea sana, Bwana akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo ni za kutwaliwa.
Torej Józue je bil star in zvrhan v letih in Gospod mu je rekel: »Star si in zvrhan v letih in tam ostaja še zelo veliko dežele, da bi bila posedena.
2 “Nchi iliyosalia ni hii: maeneo yote ya Wafilisti na Wageshuri:
To je dežela, ki je še ostala: vse meje Filistejcev in ves Gešur,
3 kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi);
od Šihórja, ki je pred Egiptom, celo do mej severno od Ekróna, ki je štet h Kánaancem; pet filistejskih knezov: Gazejci, Ašdódci, Aškelónci, Gitéjci in Ekrónci; tudi Avéjci;
4 kuanzia kusini, nchi yote ya Wakanaani, kuanzia Ara ambayo ni ya Wasidoni, ikienea hadi Afeki, na eneo la Waamori,
od juga, vsa dežela Kánaancev in Mara, ki je poleg Sidóncev, do Aféka, do meja Amoréjcev
5 eneo la Wagebali; Lebanoni yote kuelekea mashariki, kuanzia Baal-Gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-Hamathi.
in dežela Gebálcev in ves Libanon proti sončnemu vzhodu, od Báal Gada pod goro Hermon do vstopa v Hamát.
6 “Na kuhusu wakaaji wote katika maeneo ya milima, kuanzia Lebanoni hadi Misrefoth-Maimu, pamoja na eneo lote la Wasidoni, mimi mwenyewe nitawafukuza watoke mbele ya Waisraeli. Hakikisha umegawa nchi hii kwa Israeli kuwa urithi, kama nilivyokuagiza,
Vse prebivalce hribovite dežele, od Libanona do Misrefót Majima in vse Sidónce bom jaz napodil izpred Izraelovih otrok. Samo razdeli jo z žrebom Izraelcem v dediščino, kakor sem ti zapovedal.
7 sasa basi, ligawanye eneo hili kwa yale makabila tisa na ile nusu ya kabila la Manase kuwa urithi.”
Zdaj torej razdeli to deželo za dediščino vsem devetim rodovom in polovici Manásejevega rodu,
8 Ile nusu nyingine ya Manase, Wareubeni na Wagadi, walishapokea urithi Mose aliokuwa amewapa mashariki mwa Yordani, sawasawa na mtumishi wa Bwana alivyowagawia.
s katerimi so Rubenovci in Gádovci prejeli svojo dediščino, ki jim jo je dal Mojzes, onkraj Jordana proti vzhodu, torej kakor jim je dal Gospodov služabnik Mojzes:
9 Eneo lao lilienea toka Aroeri, iliyoko ukingoni mwa Bonde la Arnoni kuanzia mji ulio katikati ya bonde, likijumlisha nchi ya uwanda wa juu wote wa Medeba mpaka Diboni,
od Aroêrja, ki je na bregu reke Arnón in mesta, ki je na sredi reke in vso ravnino Médebo do Dibóna;
10 nayo miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, hadi mpakani mwa Waamoni.
in vsa mesta amoréjskega kralja Sihóna, ki je kraljeval v Hešbónu, do meje Amónovih otrok;
11 Vilevile ilijumlisha Gileadi, eneo la Wageshuri na Wamaaka, mlima wote wa Hermoni na Bashani yote ikienea hadi Saleka:
Gileád in mejo Gešuréjcev in Maahčánov in vse gore Hermona in ves Bašán, do Salhe;
12 yaani ufalme wote wa Ogu katika Bashani, aliyekuwa ametawala katika Ashtarothi na Edrei, na ndiye pekee alisalia kwa Warefai. Mose alikuwa amewashinda na kuteka nchi yao.
vse Ogovo kraljestvo v Bašánu, ki je kraljeval v Aštarótu in v Edréi, ki je ostalo od preostanka velikanov, kajti te je Mojzes udaril in jih vrgel ven.«
13 Lakini Waisraeli hawakuwafukuza watu wa Geshuri na wa Maaka, kwa hiyo wanaendelea kuishi miongoni mwa Waisraeli mpaka leo hii.
Kljub temu Izraelovi otroci niso pregnali Gešuréjcev niti Maahčánov, temveč Gešuréjci in Maahčáni prebivajo med Izraelci do tega dne.
14 Lakini kwa kabila la Lawi, Mose hakupeana urithi, kwa kuwa sadaka za kuteketezwa kwa moto zilizotolewa kwa Bwana, Mungu wa Israeli, ndizo zilizokuwa urithi wao, kama alivyowaahidi.
Samo Lévijevemu rodu ni dal nobene dediščine. Daritve Gospoda, Izraelovega Boga, narejene z ognjem, so njihova dediščina, kakor jim je rekel.
15 Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Reubeni ukoo kwa ukoo:
Mojzes je dal rodu Rubenovih otrok dediščino glede na njihove družine.
16 Eneo la Aroeri lililo ukingoni mwa Bonde la Arnoni, na kuanzia mji ulio katikati ya bonde, pia uwanda wote wa juu kupita Medeba
Njihova pokrajina je bila od Aroêrja, ki je na bregu reke Arnón in mesto, ki je na sredi reke in vsa ravnina pri Médebi;
17 hadi Heshboni na miji yake yote kwenye uwanda wa juu, ikijumlishwa miji ya Diboni, Bamoth-Baali, Beth-Baal-Meoni,
Hešbón in vsa njegova mesta, ki so na ravnini; Dibón in Bamót Báal in Bet Báal Meón,
18 Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,
Jahac, Kedemót, Mefáat,
19 Kiriathaimu, Sibma, Sereth-Shahari juu ya kilima kilicho katika bonde,
Kirjatájim, Sibmo in Ceret Šahar na gori doline,
20 Beth-Peori, materemko ya Pisga na Beth-Yeshimothi:
Bet Peór, Ašdód-Pisgo, Bet Ješimót
21 miji yote ya uwanda wa juu na eneo lote la utawala wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni. Mose alikuwa amemshinda Sihoni, pia watawala wakuu wa Wamidiani, ambao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba, waliokuwa wameungana na Sihoni, ambao waliishi katika nchi ile.
in vsa mesta ravnine in vse kraljestvo amoréjskega kralja Sihóna, ki je kraljeval v Hešbónu, ki ga je Mojzes udaril z midjánskimi princi Evíjem, Rekemom, Curjem, Hurom in Rebom, ki so bili sihónski vojvode, prebivajoči v deželi.
22 Pamoja na wale waliouawa katika vita, Waisraeli walikuwa wamemuua kwa upanga Balaamu mwana wa Beori aliyekuwa mchawi.
Tudi Beórjevega sina Bileáma, napovedovalca usode, so Izraelovi otroci ubili z mečem med tistimi, ki so jih umorili.
23 Mpaka wa Wareubeni ulikuwa ni ukingo wa Mto Yordani. Miji hii na vijiji vyake ndiyo iliyokuwa urithi wa Wareubeni ukoo kwa ukoo.
Meja Rubenovih otrok je bil Jordan in njegova meja. To je bila dediščina Rubenovih otrok po njihovih družinah, mestih in njihovih vaseh.
24 Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:
Mojzes je dediščino izročil Gadovemu rodu, torej Gadovim otrokom, glede na njihove družine.
25 Nchi ya Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Amoni iliyoenea hadi Aroeri, karibu na Raba;
Njihova pokrajina je bila Jazêr in vsa mesta Gileáda in polovica dežele Amónovih otrok, do Aroêrja, ki je pred Rabo;
26 na kuanzia Heshboni mpaka Ramath-Mispa na Betonimu, na kutoka Mahanaimu hadi eneo la Debiri;
in od Hešbóna do Ramát Micpéja in Betoníma in od Mahanájima do meje Debírja;
27 na katika bonde, Beth-Haramu, Beth-Nimra, Sukothi na Safoni na sehemu iliyobaki ya eneo la utawala wa Sihoni mfalme wa Heshboni (upande wa mashariki mwa Mto Yordani, eneo inayoishia kwenye Bahari ya Kinerethi).
v dolini pa Beth–aram, Bet Nimra, Sukót in Cafón, preostanek kraljestva hešbónskega kralja Sihóna, Jordan in njegova meja, celó do roba Kinéretskega morja na drugi strani Jordana proti vzhodu.
28 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.
To je dediščina Gadovih otrok po njihovih družinah, mestih in njihovih vaseh.
29 Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo kwa ukoo:
Mojzes je dal dediščino polovici Manásejevega rodu. To je bila posest polovice rodu Manásejevih otrok po njihovih družinah.
30 Eneo lililoenea kuanzia Mahanaimu, na kujumlisha Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, makazi yote ya Yairi huko Bashani, miji sitini,
Njihovo ozemlje je bilo od Mahanájima, ves Bašán, celotno kraljestvo bašánskega kralja Oga in vsa Jaírova mesta, ki so v Bašánu, šestdeset mest.
31 nusu ya Gileadi, na Ashtarothi na Edrei (miji ya kifalme ya Ogu katika Bashani). Hii ilikuwa kwa ajili ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, kwa ajili ya nusu ya wana wa Makiri, ukoo kwa ukoo.
Polovica Gileáda, Aštarót in Edréi, mesta Ogovega kraljestva v Bašánu, so pripadla otrokom Mahírja, Manásejevega sina, celo do polovice Mahírjevih otrok po njihovih družinah.
32 Huu ndio urithi alioupeana Mose wakati alipokuwa katika tambarare za Moabu, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko.
To so dežele, ki jih je Mojzes razdelil v dediščino na moábskih planjavah, na drugi strani Jordana, pri Jerihi, proti vzhodu.
33 Lakini kwa kabila la Walawi, Mose hakuwapa urithi; Bwana Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.
Toda Lévijevemu rodu Mojzes ni dal nobene dediščine. Gospod, Izraelov Bog, je bil njihova dediščina, kakor jim je rekel.