< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Desse äro de Konungar i landena, som Israels barn slogo, och togo deras land in på hinsidon Jordan, österut: ifrån Arnons bäck intill Hermons berg, och hela marken österut:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Sihon, de Amoreers Konung, som bodde i Hesbon, och var rådandes ifrån Aroer, som på strandene ligger vid den bäcken vid Arnon, och midt i bäcken, och öfver halft Gilead, intill den bäcken Jabbok, der Ammons barnas landamäre är;
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
Och öfver den slättmarkena allt intill hafvet Cinneroth österut, och intill hafvet i slättmarkene, som är salthafvet österut, den vägen åt BethJesimoth; och ifrå sunnan neder utmed bäcken vid berget Pisga;
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
Dertill Ogs gränso, Konungens i Basan, den ännu af de Resar qvar blifven var, och bodde i Astaroth och Edrei,
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
Och var rådandes öfver berget Hermon, öfver Salcha, och öfver hela Basan, allt intill Gessuri och Maachathi gränsor, och i halfva Gilead, hvilket var Sihons gränsa, Konungens i Hesbon.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
Mose Herrans tjenare, och Israels barn slogo dem; och Mose Herrans tjenare gaf dem de Rubeniter, Gaditer, och den halfva slägtene Manasse till att intaga.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Men desse äro de Konungar i landena, som Josua slog, och Israels barn, på denna sidone Jordan, vesterut, ifrå BaalGad på Libanons bergs slätt, intill det berget som åtskiljer landet uppåt emot Seir, och det Josua Israels slägter gaf till att intaga, hvarjom och enom sin del;
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
Det som uppå bergen, dalomen, slättmarkene, vid bäcker, i öknene, och söderut var, de Hetheer, Amoreer, Cananeer, Phereseer, Heveer och Jebuseer:
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
Konungen i Jericho, Konungen i Aj, som vid sidona ligger af BethEl;
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
Konungen i Jerusalem, Konungen i Hebron;
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
Konungen i Jarmuth, Konungen i Lachis;
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
Konungen i Eglon, Konungen i Geser;
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
Konungen i Debir, Konungen i Geder;
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
Konungen i Horma, Konungen i Arad;
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
Konungen i Libna, Konungen i Adullam;
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
Konungen i Makkeda, Konungen i BethEl;
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Konungen i Tappnah, Konungen i Hepher;
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
Konungen i Aphek, Konungen i Lasaron;
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
Konungen i Madon, Konungen i Hazor;
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
Konungen i SimronMeron, Konungen i Achsaph;
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
Konungen i Thaanach, Konungen i Megiddo;
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
Konungen i Kedes, Konungen i Jokneam på Charmel;
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
Konungen i DorNaphotDor, Konungen för de Hedningar i Gilgal;
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
Konungen i Tirza. Det äro en och tretio Konungar.

< Yoshua 12 >