< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Estos son los reyes de la tierra que los hijos de Israel hirieron, y cuya tierra poseyeron al otro lado del Jordán al nacimiento del sol, desde el arroyo de Arnón hasta el monte de Hermón, y toda la llanura oriental:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Sehón rey de los amorreos, que habitaba en Hesbón, y señoreaba desde Aroer, que está a la ribera del arroyo de Arnón, y desde en medio del arroyo, y la mitad de Galaad, hasta el arroyo Jaboc, el término de los hijos de Amón;
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
y desde la campiña hasta el mar de Cineret, al oriente; y hasta el mar de la llanura, el mar Salado, al oriente, por el camino de Bet-jesimot; y desde el mediodía debajo de las vertientes del Pisga.
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
Y los términos de Og rey de Basán, que había quedado de los refaítas, el cual habitaba en Astarot y en Edrei,
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
y señoreaba en el monte de Hermón, y en Salca, y en todo Basán hasta los términos de Gesur y de Maaca, y la mitad de Galaad, término de Sehón rey de Hesbón.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
A éstos hirieron Moisés siervo del SEÑOR y los hijos de Israel; y Moisés siervo del SEÑOR dio aquella tierra en posesión a los rubenitas, gaditas, y a la media tribu de Manasés.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Y éstos son los reyes de la tierra que hirió Josué con los hijos de Israel, del otro lado del Jordán al occidente, desde Baal-gad en el llano del Líbano hasta el monte de Halac que sube a Seir; la cual tierra dio Josué en posesión a las tribus de Israel, conforme a sus repartimientos;
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
en los montes y en los valles, en los llanos y en las vertientes, al desierto y al mediodía; el heteo, y el amorreo, y el cananeo, y el ferezeo, y el heveo, y el jebuseo.
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
El rey de Jericó, uno; el rey de Hai, que está al lado de Bet-el, otro;
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
el rey de Jerusalén, otro; el rey de Hebrón, otro;
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
el rey de Jarmut, otro; el rey de Laquis, otro;
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
el rey de Eglón, otro; el rey de Gezer, otro;
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
el rey de Debir, otro; el rey de Geder, otro;
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
el rey de Horma, otro; el rey de Arad, otro;
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
el rey de Libna, otro; el rey de Adulam, otro;
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
el rey de Maceda, otro; el rey de Bet-el, otro;
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
el rey de Tapúa, otro; el rey de Hefer, otro;
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
el rey de Afec, otro; el rey de Sarón, otro;
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
el rey de Madón, otro; el rey de Hazor, otro;
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
el rey de Simron-merón Samaria, otro; el rey de Acsaf, otro;
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
el rey de Taanac, otro; el rey de Meguido, otro;
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
el rey de Cedes, otro; el rey de Jocneam de Carmelo, otro;
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
el rey de Dor, de la provincia de Dor, otro; el rey de los Gentiles en Gilgal, otro;
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
el rey de Tirsa, otro; treinta y un reyes en todo.

< Yoshua 12 >