< Yoshua 12 >
1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
A ci są królowie ziemi, które pobili synowie Izraelscy, i posiedli ziemię ich za Jordanem ku wschodowi słońca, od potoku Arnon aż do góry Hermon, i wszystkę równinę ku wschodowi słońca:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Sehon, król Amorejski, który mieszkał w Hesebon, a panował od Aroer, które leży nad brzegiem potoku Arnon, i od połowy tegoż potoku i połowy Galaadu aż do potoku Jabok, gdzie są granice synów Ammonowych,
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
A od równin aż do morza Cynerot na wschód słońca, i aż do morza pustyni, do morza słonego na wschód, idąc ku Betsemot, i od południa pod górę Fazga.
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
I granice Oga, króla Basańskiego, który był pozostał z Refaimów, a mieszkał w Astarot i w Edrej.
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
Który też panował na górze Hermon, i w Selecha, i we wszystkiem Basan, aż do granic Gessurytów, i Mahachatytów, i nad połową Galaad ku granicy Sehona, króla Hesebońskiego.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
Mojżesz, sługa Pański, i synowie Izraelscy, pobili je; i podał tę ziemię Mojżesz, sługa Pański, w dziedzictwo Rubenitom, i Gadytom, i połowie pokolenia Manasesowego.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Ci też są królowie ziemi, które pobił Jozue, i synowie Izraelscy za Jordanem na zachód słońca, od Baalgad na polu Libańskiem, i aż do Halak, która idzie ku Seir, którą podał Jozue pokoleniom Izraelskim w dziedzictwo według działu ich.
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
Na górach, i na równinach, i w polach, i w niżynach, i na puszczy, i na południe ziemi Hetejczyka, Amorejczyka, i Chananejczyka, Ferezejczyka, Hewejczyka, i Jebuzejczyka.
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
Król Jerycha jeden; król Haj, które jest w bok Betel, jeden.
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
Król Jeruzalem jeden; król Hebron jeden.
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
Król Jerymot jeden; król Lachys jeden.
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
Król Heglon jeden; król Gazer jeden.
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
Król Dabir jeden; król Gader jeden.
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
Król Horma jeden; król Hered jeden.
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
Król Lebni jeden; król Adullam jeden.
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
Król Maceda jeden; król Betel jeden.
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Król Taffua jeden; król Hefer jeden.
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
Król Afek jeden; król Saron jeden.
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
Król Madon jeden; król Hasor jeden.
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
Król Symron Meron jeden; król Aksaf jeden.
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
Król Tenach jeden; król Mageddo jeden.
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
Król Kades jeden; król Jachanam z Karmelu jeden.
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
Król Dor z krainy Dor jeden; król Goim w Galgal jeden;
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
Król Torsa jeden. Wszystkich królów trzydzieści i jeden.