< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
यार्देन नदीच्या पूर्वेकडील सूर्य उगवतो त्या बाजूला, आर्णोन नदीपासून ते हर्मोन डोंगरापर्यंत, आणि पूर्वेकडील संपूर्ण अराबाचा प्रदेश इस्राएल लोकांनी जिंकून काबीज केला, त्याच्या राजांची नावे ही आहेत:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
अमोऱ्यांचा राजा सीहोन; जो हेशबोन शहरात राहत होता, तो खोऱ्याच्या मध्यावर आर्णोन गोर्गच्या काठावर असणाऱ्या अरोएरपासून अम्मोन्यांच्या अर्ध्या गिलादावर खाली याब्बोक सीमेपर्यंत राज्य करत असे.
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
किन्नेरोथ समुद्रापर्यंत आराबावर, अराब समुद्राच्या पूर्वेकडे, बेथ-यशिमोथापर्यंत आणि दक्षिणेकडे, पिसगा पर्वताच्या उतरणीपर्यंतसुद्धा सीहोन राज्य करत असे.
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
बाशानाचा राजा ओग, उरलेल्या रेफाई लोकांतून राहिलेल्यांपैकी एक होता, तो अष्टारोथ व एद्रई येथे राहत होता.
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
तो हर्मोन पर्वत, सलेख, आणि संपूर्ण बाशानावर, गशूरी सीमेपर्यंत आणि माकाथी, आणि अर्ध्या गिलादावर, हेशबोनचा राजा सीहोन याच्या सीमेपर्यंत राज्य करत असे.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
परमेश्वराचा सेवक मोशे, आणि इस्राएली लोकांनी त्यांचा पराभव केला, आणि परमेश्वराचा सेवक मोशे याने ती भूमी रऊबेनी, गादी, आणि मनश्शेचा अर्धा वंश यांना वतन म्हणून दिली.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
यार्देनेच्या पश्चिमेस लबानोन खोऱ्यातील बाल-गादापासून सेईरास जाणाऱ्या घाटातील हालाक डोंगरापर्यंत ज्या राजांचे देश होते आणि ज्यांना यहोशवा व इस्राएल लोकांनी मारले ते हे, हा देश यहोशवाने इस्राएल वंशाना त्यांच्या वाट्याप्रमाणे वतन म्हणून दिला,
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
डोंगराळ प्रदेशात, तळवटीत, अराबात, उतरणीत, रानात आणि नेगेबात, हित्ती, अमोरी, कनानी, परिज्जी, हिव्वी व यबूसी राहत होते.
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
या राजांमध्ये, यरीहोचा राजा, बेथेलशेजारी असलेल्या आयचा राजा,
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
१०यरूशलेमचा राजा, हेब्रोनाचा राजा,
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
११यर्मूथाचा राजा, लाखीशाचा राजा
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
१२एग्लोनाचा राजा, गेजेराचा राजा,
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
१३दबीरचा राजा, बेथ-गेदेरचा राजा,
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
१४हर्माचा राजा, अरादचा राजा,
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
१५लिब्नाचा राजा, अदुल्लामाचा राजा.
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
१६मक्केदाचा राजा बेथेलचा राजा,
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
१७तप्पूहाचा राजा, हेफेरचा राजा,
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
१८अफेकाचा राजा, शारोनचा राजा,
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
१९मादोनाचा राजा, हासोराचा राजा,
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
२०शिम्रोन-मरोनचा राजा, अक्षाफाचा राजा,
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
२१तानखाचा राजा, मगिद्दोचा राजा,
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
२२केदेशचा राजा, कर्मेलांतील यकनामाचा राजा,
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
२३नाफत-दोर येथील दोराचा राजा, गिलगाल येथील गोयीमचा राजा,
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
२४तिरसाचा राजा; या प्रमाणे एकंदर एकतीस राजे होते.

< Yoshua 12 >