< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Følgende to Konger i Landet blev overvundet af Israeliterne og deres Land taget i Besiddelse af dem, Landet østen for Jordan fra Arnonfloden til Hermonbjerget og hele Arabalavningens østre Del:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Amoriterkongen Sibon, som boede i Hesjbon og herskede fra Aroer ved Arnonflodens Bred og fra Midten af Floddalen over Halvdelen af Gilead indtil Jabbokfloden, der er Ammoniternes Grænse,
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
og over Arabalavningen indtil Kionerotsøens Østside og Arabahavets, Salthavets, Østside hen imod Bet-Jesjimot og længere Syd på hen imod Egnen ved Foden af Pisgas Skrænter;
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
og Kong Og af Basan. som hørte til dem, der var tilbage af Refaiterne, og boede i Asjtarot og Edrei
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
og herskede over Hermonbjerget, Salka og hele Basan indtil Gesjuriternes og Måkatiternes Landemærke og over Halvdelen af Gilead indtil Kong Sihon af Hesjbons Landemærke.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
HERRENs Tjener Moses og Israeliterne havde overvundet dem, og HERRENs Tjener Moses havde givet Rubeniterne, Gaditerne og Manasses halve Stamme Landet i Eje.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Følgende Konger i Landet blev overvundet af Josua og Israeliterne hinsides Jordan, på Vestsiden, fra Ba'al Gad i Dalen ved Libanon til det nøgne Bjergdrag, som højner sig mod Seir, og deres Land givet Israels Stammer i Eje af Josua efter deres Afdelinger,
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
i Bjerglandet, i Lavlandet, i Arabalavningen, på Skråningerne, i Ørkenen og i Sydlandet, Hetiterne, Amoriterne, Kana'anæerne, Perizziterne, Hivviterne og Jebusiterne:
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
Kongen i Jeriko een; Kongen i Aj ved Betel een;
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
Kongen i Jerusalem een; Kongen i Hebron een;
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
Kongen i Jarmut een; Kongen i Lakisj een;
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
Kongen i Eglon een; Kongen i Gezer een;
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
Kongen i Debir een; Kongen i Geder een;
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
Kongen i Horma een; Kongen i Arad een;
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
Kongen i Libna een; Kongen i Adullam een;
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
Kongen i Makkeda een; Kongen i Betel een;
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Kongen i Tappua een; Kongen i Hefer een;
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
Kongen i Afek een; Kongen i Lassjaron een;
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
Kongen i Madon een; Kongen i Hazor een;
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
Kongen i Sjimron Meron een; Kongen i Aksjaf een;
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
Kongen i Ta'anak een; Kongen i Megiddo een;
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
Kongen i Kedesj een; Kongen i Jokneam ved Karmel een;
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
Kongen i Dor ved Højdedraget Dor een; Kongen over Folkene i Galilæa een;
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
Kongen i Tirza een; tilsammen en og tredive Konger.

< Yoshua 12 >