< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Tito pak jsou králové té země, kteréž pobili synové Izraelští, a opanovali zemi jejich, za Jordánem k východu slunce, od potoku Arnon až k hoře Hermon i všecky roviny k východu:
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Seon, král Amorejský, kterýž bydlil v Ezebon, a panoval od Aroer, kteréž leží při břehu potoka Arnon, a u prostřed potoka toho, a polovici Galád, až do potoka Jabok, kterýž jest na pomezí synů Ammon,
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
A od rovin až k moři Ceneret k východu, a až k moři pouště, jenž jest moře slané k východu, kudyž se jde k Betsimot, a od polední strany ležící pod horou Fazga.
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
Pomezí také Oga, krále Bázan, z ostatků Refaimských, kterýž bydlil v Astarot a v Edrei,
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
A kterýž panoval na hoře Hermon a v Sálecha, i ve vší krajině Bázan až ku pomezí Gessuri a Machati, a nad polovicí Galád, ku pomezí Seona, krále Ezebon.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
Mojžíš, služebník Hospodinův, a synové Izraelští pobili je; a dal ji Mojžíš služebník Hospodinův k vládařství pokolení Rubenovu, Gádovu a polovici pokolení Manassesova.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Tito pak jsou králové země té, kteréž pobil Jozue a synové Izraelští za Jordánem k západu, od Balgad, kteréž jest na poli Libánském, až k hoře lysé, kteráž se táhne až do Seir, a dal ji Jozue pokolením Izraelským k vládařství po dílích jejich,
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
Na horách i na rovinách, i po polích, i v údolích, i na poušti a na poledne, zemi Hetejského, Amorejského, Kananejského, Ferezejského, Hevejského a Jebuzejského:
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
Král Jericha jeden, král Hai, kteréž bylo na straně Bethel, jeden;
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
Král Jeruzalémský jeden, král Hebron jeden;
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
Král Jarmut jeden, král Lachis jeden;
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
Král Eglon jeden, král Gázer jeden;
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
Král Dabir jeden, král Gader jeden;
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
Král Horma jeden, král Arad jeden;
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
Král Lebna jeden, král Adulam jeden;
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
Král Maceda jeden, král Bethel jeden;
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Král Tafua jeden, král Chefer jeden;
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
Král Afek jeden, král Sáron jeden;
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
Král Mádon jeden, král Azor jeden;
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
Král Simron Meron jeden, král Achzaf jeden;
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
Král Tanach jeden, král Mageddo jeden;
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
Král Kedes jeden, král Jekonam z Karmelu jeden;
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
Král Dor z krajiny Dor jeden, král z Goim v Galgal jeden;
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
Král Tersa jeden. Všech králů třidceti a jeden.

< Yoshua 12 >