< Yoshua 11 >

1 Ikawa Yabini mfalme wa Hazori aliposikia habari za mambo haya, akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na kwa mfalme wa Akishafu,
وقتی یابین، پادشاه حاصور، از این وقایع آگاهی یافت، فوراً پیغامهایی به این پادشاهان که بر شهرهای همجوار او حکومت می‌کردند، فرستاد: یوباب پادشاه مادون، پادشاه شمرون، پادشاه اخشاف، تمام پادشاهان کوهستانهای شمالی، پادشاه درۀ اردن واقع در جنوب دریاچهٔ جلیل، پادشاهانی که در دشتها ساکن بودند، پادشاهان بلندیهای دُر، در غرب، پادشاهانی که در شرق و غرب کنعان بودند، پادشاهان قومهای اموری، حیتی، فرزی و یبوسی که در کوهستانها بودند، پادشاهان قوم حوی که در شهرهای دامنهٔ کوه حرمون در زمین مصفه ساکن بودند.
2 na pia kwa wafalme wa upande wa kaskazini wale waliokuwa milimani, katika Araba upande wa kusini mwa Kinerethi, kwenye shefela, upande wa magharibi na katika miinuko ya Nafoth-Dori upande wa magharibi;
3 kwa Wakanaani upande wa mashariki na magharibi; kwa Waamori, Wahiti, Waperizi na Wayebusi katika nchi ya vilima; na kwa Wahivi chini ya Hermoni katika eneo ya Mispa.
4 Wakaja na vikosi vyao vyote na hesabu kubwa ya farasi na magari ya kuvutwa na farasi, jeshi kubwa, kama wingi wa mchanga ulio pwani ya bahari.
بدین ترتیب، تمام پادشاهان برای در هم شکستن قوای اسرائیلی‌ها با هم متحد شدند و لشکرهای خود را بسیج کرده، نزد چشمه‌های مروم اردو زدند، سپاهیان بی‌شمار آنها با اسبها و ارابه‌هایشان دشتها را پر ساختند.
5 Wafalme hawa wote wakaunganisha majeshi yao na kupiga kambi pamoja kwenye Maji ya Meromu, ili kupigana dhidi ya Israeli.
6 Bwana akamwambia Yoshua, “Usiwaogope, kwa sababu kesho saa kama hii nitawatia wote mikononi mwa Israeli, wakiwa wameuawa. Utakata mishipa ya nyuma ya miguu ya farasi wao na kuyachoma moto magari yao ya vita.”
اما خداوند به یوشع فرمود: «از آنها نترس، چون فردا در همین وقت تمام آنها کشته خواهند شد! شما باید رگ پای اسبانشان را قطع کنید و ارابه‌هایشان را آتش بزنید.»
7 Hivyo Yoshua pamoja na jeshi lake lote wakaja dhidi yao ghafula kwenye Maji ya Meromu kuwashambulia,
یوشع و افراد او خود را به چشمه‌های مروم رساندند و در یک حملهٔ ناگهانی، لشکر دشمن را غافلگیر کردند.
8 naye Bwana akawatia mikononi mwa Israeli. Wakawashinda na kuwafukuza hadi Sidoni Kuu na kuwafikisha Misrefoth-Maimu, hadi Bonde la Mispa upande wa mashariki, hadi pakawa hakuna yeyote aliyebaki.
خداوند تمام آن سپاه عظیم را به دست اسرائیلی‌ها تسلیم نمود و آنها افراد دشمن را تا صیدون بزرگ و مسرفوتمایم و شرق درهٔ مصفه تعقیب نموده، کشتند. در این جنگ حتی یک نفر از افراد دشمن جان به در نبرد!
9 Yoshua akawatendea kama Bwana alivyoamuru. Akakata mishipa ya nyuma ya miguu ya farasi wao na kuchoma moto magari yao ya vita.
یوشع و افراد او همان‌طور که خداوند به ایشان فرموده بود، رگ پای اسبهای دشمن را قطع کردند و تمام ارابه‌های آنها را آتش زدند.
10 Wakati huo Yoshua akarudi na kuuteka mji wa Hazori na kumuua mfalme wake kwa upanga. (Hazori ulikuwa mji mkuu wa falme hizo zote.)
یوشع در راه بازگشت، شهر حاصور را نیز تسخیر نمود و پادشاه آن را کشت. (حاصور مهمترین شهر آن نواحی بود.)
11 Kila aliyekuwa ndani yake wakamuua kwa upanga. Wakawaangamiza kabisa, wala hawakusaza chochote chenye pumzi na akauchoma Hazori kwenyewe kwa moto.
یوشع تمام کسانی را که در آن شهر بودند کشت و شهر را به آتش کشید.
12 Yoshua akaiteka hii miji yote ya kifalme pamoja na wafalme wake na kuwapiga kwa upanga. Akawaangamiza kabisa wote, jinsi Mose mtumishi wa Bwana alivyowaagiza.
سپس یوشع به سایر شهرهای پادشاهان مغلوب حمله برد و چنانکه موسی، خدمتگزار خداوند، به او گفته بود، تمام ساکنان آنجا را قتل عام نمود.
13 Lakini Israeli hawakuichoma moto hata mojawapo ya miji iliyojengwa katika vilima vyao vidogo isipokuwa mji wa Hazori ambao Yoshua aliuchoma moto.
(از شهرهایی که بر بالای تپه‌ها بنا شده بودند، یوشع فقط شهر حاصور را سوزانید و بقیه را سالم باقی گذاشت.)
14 Waisraeli wakajichukulia nyara zote na mifugo yote ya miji hii, bali waliwaua watu wote kwa upanga hadi walipowaangamiza kabisa, pasipo kumbakiza yeyote mwenye pumzi.
قوم اسرائیل تمام چارپایان و ثروت شهرهای ویران شده را به غنیمت بردند، و همهٔ اهالی آنجا را کشتند.
15 Kama vile Bwana alivyomwagiza Mose mtumishi wake, vivyo hivyo Mose alimwagiza Yoshua, naye Yoshua akafanya kama vivyo, hakukosa kufanya lolote katika yale yote Bwana aliyomwagiza Mose.
یوشع تمام دستورهای موسی را که خداوند به او داده بود بدون کم و کاست انجام داد.
16 Yoshua akaiteka nchi hii yote: nchi ya vilima, Negebu yote, eneo yote ya Gosheni, shefela ya upande wa magharibi, Araba na milima ya Israeli pamoja na shefela zao,
پس یوشع تمام سرزمین را تصرف کرد یعنی همهٔ نواحی کوهستانی صحرای نگب، تمام سرزمین جوشن، دشتها، دره اردن، و دشتها و کوههای اسرائیل.
17 kuanzia Mlima Halaki ambao umeinuka kuelekea Seiri hadi Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni chini ya Mlima Hermoni. Akawateka wafalme wake wote, akawapiga na kuwaua.
به این ترتیب، وسعت سرزمین اسرائیل از کوه حالق نزدیک سعیر در جنوب، تا بعل جاد در وادی لبنان در دامنهٔ کوه حرمون در شمال می‌رسید. یوشع تمام پادشاهان این ممالک را کشت.
18 Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa wote kwa muda mrefu.
قوم اسرائیل چندین سال جنگیدند تا توانستند این سرزمین را که خدا به آنها وعده داده بود تصرف نمایند.
19 Hakuna mji wowote katika eneo hili uliofanya mkataba wa amani na Israeli, isipokuwa hao Wahivi wa Gibeoni. Wengine wote walishindwa katika vita.
تنها شهری که با اسرائیل پیمان صلح بست، جبعون بود که در آن قوم حوی ساکن بودند. بقیهٔ شهرها در جنگ به تصرف اسرائیل درآمدند.
20 Kwa maana Bwana mwenyewe ndiye aliifanya mioyo yao iwe migumu, ili kupigana vita dhidi ya Israeli ili apate kuwafutilia mbali pasipo huruma, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
خداوند دشمنان را بر آن داشت تا به جای اینکه خواستار صلح باشند، با قوم اسرائیل بجنگند. در نتیجه، همهٔ آنها بدون ترحم کشته شدند و این درست همان بود که خداوند به موسی امر فرموده بود.
21 Wakati huo Yoshua akaenda kuwaangamiza Waanaki kutoka nchi ya vilima: kuanzia Hebroni, Debiri na Anabu, na kutoka nchi yote ya vilima ya Yuda na kutoka nchi yote ya vilima ya Israeli. Yoshua akawaangamiza kabisa pamoja na miji yao.
در طی این مدت، یوشع عناقی‌ها را که در کوهستانهای حبرون، دبیر، عناب، یهودا و اسرائیل زندگی می‌کردند از بین برد و تمام شهرهایشان را ویران کرد.
22 Hawakubaki Waanaki wowote katika nchi ya Israeli, ila tu katika nchi ya Gaza, Gathi na Ashdodi.
همهٔ عناقی‌هایی که در سرزمین اسرائیل بودند از بین رفتند و فقط عدهٔ کمی از آنها در غزه، جت و اشدود باقی ماندند.
23 Hivyo Yoshua akaiteka nchi hiyo yote kama vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Mose, naye Yoshua akawapa Israeli kuwa urithi wao, kulingana na walivyogawanyika katika kabila zao. Ndipo nchi ikawa na amani bila vita.
پس یوشع تمام آن سرزمین را، چنانکه خداوند به موسی فرموده بود، تصرف کرد و آن را بین قبایل اسرائیل تقسیم نمود و به ایشان به ملکیت بخشید. سرانجام در آن سرزمین پس از سالها جنگ، صلح و آرامش حکمفرما شد.

< Yoshua 11 >