< Yoshua 1 >

1 Baada ya kifo cha Mose mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshua mwana wa Nuni, msaidizi wa Mose:
Ita, kalpasan iti ipapatay iti adipen ni Yahweh a ni Moises, nagsao ni Yahweh iti katulongan ni Moises a ni Josue nga anak ni Nun, a kinunana,
2 “Mtumishi wangu Mose amekufa. Sasa basi, wewe pamoja na watu wote hawa, jiandaeni kuvuka huu Mto Yordani kuingia nchi ambayo karibu nitawapa wana wa Israeli.
“Natayen ti adipenko a ni Moises. Ballasiwenyo ngarud ita iti Karayan Jordan, sika ken amin dagitoy a tattao, nga agturong iti daga nga it-itedko kadakuada —kadagiti tattao ti Israel.
3 Kila mahali nyayo za miguu yenu zitakapokanyaga nimewapa, kama vile nilivyomwahidi Mose.
Intedko kadakayo ti tunggal disso a mapagnaanto iti dapanyo. Intedko daytoy kadakayo a kas inkarik kenni Moises.
4 Nchi yenu itaenea kuanzia jangwa hili hadi Lebanoni, tena kuanzia mto mkubwa wa Frati, yaani nchi yote ya Wahiti, hadi Bahari ile Kubwa iliyoko upande wa magharibi.
Manipud idiay let-ang ken Libano, agingga iti nalawa a karayan a Eufrates, iti amin a daga dagiti Hitteo, ken agingga iti Dakkel a Baybay a paglennekan ti init, isunto ti agbalinto a dagayo.
5 Hakuna mtu yeyote atakayeweza kushindana na wewe siku zote za maisha yako. Kama vile nilivyokuwa pamoja na Mose, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe, sitakuacha wala sitakupungukia.
Awanto iti makabael nga agtakder iti sangoanam iti amin nga aldaw ti panagbiagmo. Addaakto kenka a kas iti kaaddak idi kenni Moises. Saankanto a baybay-an wenno panawan.
6 “Uwe hodari na shujaa, kwa sababu wewe ndiwe utakayewaongoza watu hawa kuirithi nchi niliyowaapia baba zao kuwapa.
Pumigsaka ken tumuredka. Idauloamto dagitoy tattao a mangtawid iti daga nga inkarik kadagiti kapuonanda nga ited kadakuada.
7 Uwe hodari na uwe na ushujaa mwingi. Uwe na bidii kutii sheria yote aliyokupa Mose mtumishi wangu, usiiache kwa kugeuka kuelekea kuume au kushoto, ili upate kufanikiwa popote uendako.
Pumigsa ken tumuredka iti kasta unay. Tungpalem a nasayaat dagiti amin a linteg nga imbilin kenka iti adipenko a ni Moises. Surotem a naan-anay dagitoy tapno agballigika iti sadinoman a papanam.
8 Usiache Kitabu hiki cha Sheria kiondoke kinywani mwako; yatafakari maneno yake usiku na mchana, ili upate kuwa mwangalifu kufanya kila kitu sawasawa na yote yaliyoandikwa ndani yake. Ndipo utakapofanikiwa na kisha utastawi.
Kanayonmonto a saritaen ti maipanggep iti daytoy a libro ti linteg. Utobemto daytoy iti aldaw ken rabii tapno matungpalmo dagiti amin a naisurat iti daytoy. Ket agbalinkanto a narang-ay ken naballigi.
9 Je, si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na shujaa. Usihofu wala usivunjike moyo, kwa kuwa Bwana Mungu wako atakuwa pamoja nawe kokote uendako.”
Saan kadi nga imbilinko kenka? Pumigsa ken tumuredka! Saanka nga agbuteng. Saanka a maupay. Adda kenka ni Yahweh a Diosmo iti sadinoman a papanam.”
10 Ndipo Yoshua akawaagiza maafisa wa watu akisema,
Binilin ngarud ni Josue dagiti mangidadaulo kadagiti tattao,
11 “Pitieni katika kambi yote mkawaambie watu, ‘Wekeni tayari mahitaji yenu. Siku tatu kuanzia sasa mtavuka hii Yordani ili kuingia na kuimiliki nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa iwe yenu wenyewe.’”
“Mapankayo idiay kampo ket ibilinyo kadagiti tattao, 'Mangisaganakayo kadagiti taraon para kadagiti bagbagiyo. Kalpasan iti tallo nga aldaw ballasiwenyonto iti Karayan Jordan ket serken ken tagikuaenyo ti daga nga it-ited ni Yahweh a Diosyo kadakayo.'”
12 Lakini kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, Yoshua akasema,
Kinuna ni Josue kadagiti Rubenita, dagiti Gadita ken kadagiti kagudua iti tribu ni Manases,
13 “Kumbukeni agizo lile Mose mtumishi wa Bwana alilowapa: ‘Bwana Mungu wenu anawapa ninyi raha, naye amewapa nchi hii.’
“Laglagipenyo ti sao nga imbilin iti adipen ni Yahweh a ni Moises idi kinunana, 'It-ited kadakayo ni Yahweh a Diosyo ti inana, ket it-itedna daytoy a daga kadakayo.'
14 Wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu watakaa katika nchi ile Mose aliyowapa mashariki ya Yordani, lakini mashujaa wenu wote, wakiwa wamevikwa silaha kikamilifu lazima wavuke mbele ya ndugu zenu. Imewapasa kuwasaidia ndugu zenu hadi
Agtalinaedto dagiti assawayo, dagiti annakyo ken dagiti tarakenyo iti daga nga inted kadakayo ni Moises iti labes ti Jordan. Ngem mapan nga umuna kadakayo dagiti maingel a lallaki tapno tulonganda dagiti kakabsatyo
15 Bwana awape nao raha, kama alivyokwisha kufanya kwa ajili yenu hadi wao pia watakapokuwa wamemiliki nchi ile Bwana Mungu wenu anayowapa. Baada ya hilo, mwaweza kurudi na kukalia nchi yenu wenyewe, ambayo Mose mtumishi wa Bwana aliwapa mashariki mwa Yordani kuelekea linakochomoza jua.”
agingga nga ited ni Yahweh kadagiti kakabsatyo ti inana a kas intedna kadakayo. Ket tagikuaendanto met ti daga nga ited kadakuada ni Yahweh a Diosyo. Ket agsublikayonto iti bukodyo a daga ket tagikuaenyo daytoy, ti daga nga inted kadakayo iti adipen ni Yahweh a ni Moises iti labes ti Jordan, a pagsingsingisingan ti init.
16 Ndipo wakamjibu Yoshua, “Chochote ambacho umetuagiza tutafanya na popote utakapotutuma tutakwenda.
Ket simmungbatda kenni Josue a kinunada, “Aramindenmi amin nga imbilinmo kadakami, ken mapankami iti sadinoman a pangibaonam kadakami a papananmi.
17 Kama vile tulivyomtii Mose kikamilifu, ndivyo tutakavyokutii wewe. Bwana Mungu wako na awe pamoja nawe tu kama vile alivyokuwa pamoja na Mose.
Agtulnogkami kenka a kas panagtulnogmi kenni Moises. Adda koma kenka ni Yahweh a Diosmo a kas kaaddana kenni Moises.
18 Yeyote atakayeasi neno lako na kuacha kuyatii maneno yako, au chochote utakachowaamuru, atauawa. Uwe imara na hodari tu!”
Matay ti siasinoman nga agsukir kadagiti bilinmo ken manglabsing kadagiti sasaom. Pumigsaka laeng ken tumuredka.”

< Yoshua 1 >