< Yona 4 >

1 Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika.
Youna e da Gode Ea hamoi hou amo ba: le, amola ougi galu.
2 Akamwomba Bwana, “Ee Bwana, hili si lile nililolisema nilipokuwa ningali nyumbani? Hii ndiyo sababu niliharikisha kukimbilia Tarshishi. Nikifahamu kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na huruma, si mwepesi wa hasira na umejaa upendo, ni Mungu ambaye hughairi katika kupeleka maafa.
Amabeba: le, e amane Godema sia: ne gadoi. “Hina Gode! Na sia: Dia nabima! Na da na sogebi amo hame yolesi amola na da Dia wali hamoi amo dawa: i dagoi. Amaiba: le, na hobeale masunusa: dawa: iba: le na da Dasase amoga asi. Na dawa: , Gode Di da asigisu hou amo hamosa, amola hedolo hame ougisu hou amo hamosa, amola hedolo hame ougisa. Amola Di da bagade asigisa, amola Dia asigi dawa: su afadenene se iasu Dia ilegei amo mae ima: ne momagei ouesala.
3 Sasa, Ee Bwana, niondolee uhai wangu, kwa kuwa ni afadhali mimi nife kuliko kuishi.”
Hina Gode! Na esalusu amo Dia samogema! Na da bogomu goga da na hanai, amola esalumu hihi gala.
4 Lakini Bwana akamjibu, “Je unayo haki yoyote kukasirika?”
Gode da bu adole ba: i, “Abuliba: le di da ougibala: ?”
5 Yona akatoka nje akaketi mahali upande wa mashariki wa mji. Hapo akajitengenezea kibanda, akaketi kwenye kivuli chake na kungojea ni nini kitakachotokea katika mji.
Be Youna da moilai bai bagade ea eso mabe gusudili la: idi amoga asili amola hisu diasu gaguli amola amo diasu ea ougiga esalea e da Ninefe amo ganodini adi hou doaga: ma: bela: le sosodolalu.
6 Ndipo Bwana, Mungu akaweka tayari mzabibu na kuufanya uote, kumpa Yona kivuli kilichomfunika kichwa ili kuondoa taabu yake, naye Yona akafurahi sana kwa ajili ya ule mzabibu.
Amalu Hina Gode E da efe bugi, amo alelesili amola Youna igili hisi amo noga: le lasa esaloma: ne denesi. Amo hou ba: beba: le, Youna da efe bugi amoma hahawane ba: i.
7 Lakini kesho yake asubuhi na mapema Mungu akaamuru buu, autafune mzabibu huo nao ukanyauka.
Be dia hahabe Gode Ea bugi amo bioma: ne, daba: asunasi. Amo daba: da bugi doagala: le, bugi da bioi amola bogoi.
8 Wakati jua lilipochomoza, Mungu akautuma upepo wa hari wa mashariki, nalo jua likawaka juu ya kichwa cha Yona mpaka akazimia. Akatamani kufa, naye akasema, “Ni afadhali mimi nife kuliko kuishi.”
Be eso diga: gala: le amola Gode Ea dogoloi fo gia: i bagade eso mabe amodili diga: gala: i amoga, Youna ea busagi amo dogolole amola E da sidini, bogomu ba: i. Be Youna da bogoiyale dawa: i galu, amola E da amane sia: i, “Na da bogomu defea.”
9 Lakini Mungu alimwambia Yona, “Je, unayo haki kukasirika kuhusu mzabibu huo?” Akasema, “Ndiyo, ninayo haki. Nimekasirika kiasi cha kufa.”
Be Gode Ea ema amane sia: i. “Abuliba: le di da bugi bioiba: le ougibala: ?” Youna da amane sia: i, “Na da ougimu da defea! Na da ougili bogomu hanai!”
10 Lakini Bwana akamwambia, “Wewe unakasirika kwa ajili ya mzabibu huu, nawe hukuusababisha kuota wala kuutunza. Uliota usiku mmoja, nao ukafa usiku mmoja.
Be Hina Gode da amane sia: i, “Goe bugi da gasi afadafa heda: le amola gasi enoga asi dagoi ba: i. Be dia da amo bugi hame hamoi, amola alema: ne hame hamoi. Be amomane dia da bugi amoma asigisa.
11 Lakini Ninawi ina zaidi ya watu 120,000 ambao hawawezi kupambanua kulia au kushoto, pamoja na ngʼombe wengi. Je, hainipasi kufikiri juu ya mji ule mkubwa?”
Be Ninefe amo ganodini dunu fi 120,000 amo baligi esala. Ilia da hame dawa: su dunu. Ohe fi amola bagade esala. Amaiba: le, Na da amo moilai bai bagade fi ilima abuliba: le hame asigima: bela: ? Na da ilima asigisa. Sia: Ama Dagoi

< Yona 4 >