< Yona 3 >
1 Ndipo neno la Bwana likamjia Yona mara ya pili:
and to be word LORD to(wards) Jonah second to/for to say
2 “Ondoka uende katika mji mkubwa wa Ninawi, ukautangazie ujumbe ninaokupa.”
to arise: rise to go: went to(wards) Nineveh [the] city [the] great: large and to call: call out to(wards) her [obj] [the] proclamation which I to speak: speak to(wards) you
3 Yona akalitii neno la Bwana naye akaenda Ninawi. Basi Ninawi ulikuwa mji maarufu sana, ilichukua siku tatu kuuzunguka.
and to arise: rise Jonah and to go: went to(wards) Nineveh like/as word LORD and Nineveh to be city great: large to/for God journey three day
4 Siku ya kwanza, Yona aliingia mjini. Akatangaza: “Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa.”
and to profane/begin: begin Jonah to/for to come (in): come in/on/with city journey day one and to call: call out and to say still forty day and Nineveh to overturn
5 Watu wa Ninawi wakamwamini Mungu, wakatangaza kufunga, watu wote kuanzia mkubwa sana hadi yule mdogo kabisa, wakavaa nguo za gunia.
and be faithful human Nineveh in/on/with God and to call: call to fast and to clothe sackcloth from great: large their and till small their
6 Habari zilipomfikia mfalme wa Ninawi, aliondoka kwenye kiti chake cha enzi, akavua majoho yake ya kifalme, akajifunika nguo ya gunia kisha akaketi chini mavumbini.
and to touch [the] word to(wards) king Nineveh and to arise: rise from throne his and to pass: bring clothing his from upon him and to cover sackcloth and to dwell upon [the] ashes
7 Ndipo akatoa tangazo katika Ninawi yote: “Kwa amri ya mfalme na wakuu wake: “Msiruhusu mtu yeyote au mnyama, makundi ya ngʼombe au wanyama wengine wafugwao, kuonja kitu chochote, msiwaruhusu kula wala kunywa.
and to cry out and to say in/on/with Nineveh from taste [the] king and great: large his to/for to say [the] man and [the] animal [the] cattle and [the] flock not to perceive anything not to pasture and water not to drink
8 Bali wanadamu na wanyama wafunikwe kwa nguo za gunia. Kila mmoja afanye hima kumwomba Mungu. Waziache njia zao mbaya na udhalimu ulio mikononi mwao.
and to cover sackcloth [the] man and [the] animal and to call: call to to(wards) God in/on/with force and to return: repent man: anyone from way: conduct his [the] distress: evil and from [the] violence which in/on/with palm their
9 Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”
who? to know to return: repent and to be sorry: relent [the] God and to return: repent from burning anger face: anger his and not to perish
10 Mungu alipoona walivyofanya na jinsi walivyogeuka kutoka njia zao mbaya, akawa na huruma wala hakuleta maangamizi juu yao kama alivyokuwa ameonya.
and to see: see [the] God [obj] deed their for to return: repent from way: conduct their [the] distress: evil and to be sorry: relent [the] God upon [the] distress: harm which to speak: speak to/for to make: do to/for them and not to make: do