< Yona 2 >
1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
Un Jona pielūdza To Kungu, savu Dievu, no zivs vēdera
2 Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol )
Un sacīja: es piesaucu To Kungu savās bēdās, un Viņš man atbildēja, es kliedzu no elles vēdera, un Tu klausīji manu balsi. (Sheol )
3 Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu yangu.
Tu mani nometi dziļumā, jūras apakšā, un ūdens mani apstāja, visi Tavi plūdi un Tavi viļņi gāja pār mani pāri.
4 Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako, hata hivyo nitatazama tena kuelekea Hekalu lako takatifu.’
Tad es sacīju: es esmu atmests no Tavām acīm, tomēr es atkal skatīšu Tavu svēto namu.
5 Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
Ūdens mani apstāja līdz pašai dvēselei, dziļumi mani apkampa, ašķi apsedza manu galvu.
6 Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima, makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele. Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni, Ee Bwana Mungu wangu.
Es nogrimu pie kalnu pamatiem, zeme savas durvis pār mani bija aizdarījusi mūžīgi, bet Tu manu dzīvību esi izvedis no posta, Kungs, mans Dievs.
7 “Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
Kad mana dvēsele iekš manis izsamisējās, tad es pieminēju To Kungu, un mana lūgšana nāca pie Tevis Tavā svētā namā.
8 “Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
Kas turas pie viltīgas nelietības tie zaudē savu žēlastību.
9 Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
Bet es Tev upurēšu ar pateicības balsi; ko esmu solījis, to es maksāšu. Pie Tā Kunga ir pestīšana.
10 Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Un Tas Kungs runāja uz to zivi, un tā izvēma Jonu malā.