< Yona 2 >

1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
Kalpasanna, nagkararag ni Jonas kenni Yahweh a Diosna iti kaaddana iti tian ti lames.
2 Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
Kinunana, “Immawagak kenka O Yahweh maipanggep iti pakariribukak ket sinungbatannak; manipud iti tian ti sheol, nagpatulongak! Nanggegmo ti timekko. (Sheol h7585)
3 Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu yangu.
Intapuaknak iti kaadalman, iti lansad ti taaw, ket nalawlawak iti danum; sinabbuagandak dagiti dalluyonmo.
4 Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako, hata hivyo nitatazama tena kuelekea Hekalu lako takatifu.’
Ket kinunak, 'Napagtalawak manipud iti imatangmo; kasano a makitak manen ti nasantoan a templom?'
5 Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
Linapunosnak ti danum a mangala ti biagko; linawlawnak ti kaadalman; naibalkot iti ulok ti ruot ti taaw.
6 Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima, makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele. Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni, Ee Bwana Mungu wangu.
Bimmabaak kadagiti puon dagiti bantay; naibalunet ti daga kaniak iti agnanayon. Ngem inyaonmo ti biagko manipud iti abot, O Yahweh, a Diosko!
7 “Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
Idi kimmapuy ti kararuak, nalagipka O Yahweh; ket dimmanon ti kararagko kenka, iti nasantoan a templom.
8 “Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
Dagiti dumdumngeg kadagiti awan serserbina a dios ket inlaksidda ti kinapudnom kadakuada.
9 Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
Ngem para kaniak, agidatonak kenka nga addaan panangiyebkas ti panagyaman; Tungpalekto no ania ti insapatak. Aggapu kenni Yahweh ti pannakaisalakan!”
10 Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Ket nagsao ni Yahweh iti lames ket insarruana ni Jonas iti namaga a daga.

< Yona 2 >