< Yona 2 >

1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
Youna e menabo hagomo ganodini esala. E da ea Hina Godema sia: ne gadoi.
2 Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
E amane sia: i, “Hina Gode! Na da se bagadedafa nababeba: le, Dima wele sia: ne gadoi. Amola Dia na sia: ne gadobe amo nabalu, dabe i. Na da soge wadela: i ganodini esalu, amo da dunu bogogia: su soge diala, amola na Dia fidima: ne di. Amola na dibi amo di nabi dagoi. (Sheol h7585)
3 Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu yangu.
Dia na hano lugududafaga ha: digi amola da hano gafului amoea na huluane dedebosa.
4 Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako, hata hivyo nitatazama tena kuelekea Hekalu lako takatifu.’
Na agoane dawa: i, Dia da na fisi dagoi, amola na da Dia hadigi Debolo diasu noga: idafa bu hamedafa ba: mu dawa: i galu.
5 Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
Hano misini na dedeboi, amola hano wayabo misini na da: i huluanedafa dedeboi amola hano gadula: me da na da: i busa: gi amola huluane lala: gili dedeboi dagoi.
6 Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima, makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele. Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni, Ee Bwana Mungu wangu.
Na amo hano haguduga goumi, dabua gadonini dala gududafa doaga: i, amo soge amoea, na masunu gogolele, logo ga: si dialu. Be amomane Hina Gode Bagade, Di da na Godedafa, Dia na bu laiba: le. Amola, luguduga lale, na esaleawane bu walesi.
7 “Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
Hina Gode! Na dawa: loba, na da bogomu gadenei agoai ba: i. Be amomane, na Dima dafawane dawa: i. Amola na Hina Gode, Dima sia: ne gadoiba: le, Di da Dia hadigi Debolo Diasu ganodini nabi.
8 “Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
Dunu fifi asi gala amo da loboga hahamoi ogogosu ‘gode’ma sia: ne gadosa, amo ilia da Dima fa: no bobogesu hou yolesi dagoi.
9 Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
Be na da Dima hahawane gesami hea: su hamomu. Na Dima gobele salasu hou hamomu, amola ni ilegele sia: i defele hamomu. Be gaga: su houdafa da Dima fawane maha, na Hina Gode!”
10 Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.
Amanoba Hina Gode da menaboma isoma: ne sia: beba: le, menabo da Youna e boso da: iya, isole ligisi.

< Yona 2 >