< Yona 1 >

1 Neno la Bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai:
Eso afaega, Hina Bagade Gode da Youna, (Amidai ea mano) ema sia: i.
2 “Nenda katika mji mkubwa wa Ninawi ukahubiri juu yake, kwa sababu uovu wake umekuja juu mbele zangu.”
E amane adoi, “Di Ninefe moilai bai bagade fi amoga asili, gasa gala ilima amane sisia: ma, ‘Na ba: loba da dili wadela: i hou bagohame hamosa’ ia adoma.”
3 Lakini Yona alimkimbia Bwana na kuelekea Tarshishi. Alishuka mpaka Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda melini na kuelekea Tarshishi ili kumkimbia Bwana.
Be Youna da Hina Gode yolesili, Dasase moilai bai bagade fi amoga hobeale masunusa: dawa: i. Be amomane E da Yoba moilai amoga asi, amola E asili ba: loba, dusagai bagade amo da Dasase moilai bai bagade (Siba: ini soge ganodini) amoga ahoanebe ba: i. Amanoba, e da ea masunu muni ianu, dusagai hawa: hamosu dunu gilisili amoga fila heda: i. E da Gode yolesili hobeale masunusa: dawa: i
4 Ndipo Bwana akatuma upepo mkali baharini, nayo dhoruba kali sana ikavuma hata meli ikawa hatarini kuvunjika.
Be Youna amola dunu oda ilia gilisili fila heda: le ahoanoba, Hina Gode Hi da isu amola fo amola gibu amo i, amola hano da bagade gafululi amola da dusagai amo gadenene agoane, gela sa: imu agoai ba: i.
5 Mabaharia wote waliogopa na kila mmoja akamlilia mungu wake mwenyewe. Nao wakatupa mizigo baharini ili meli ipungue uzito. Lakini Yona alikuwa ameteremkia chumba cha ndani ya meli, mahali ambapo alilala na kupatwa na usingizi mzito.
Amabeba: le, dusagaiga hawa: hamosu dunu ilia bagadewane beda: ne, ilia ‘gode’ liligi ilima fidima: ne sia: ne gadoi. Amola ilia liligi dusagai ganodini dialu amo huluane ladili hanoa ga galagai. Be ili amo hawa: hamonanoba da Youna e dusagai amo ganodini, sesei amo ganodini sima dialu.
6 Nahodha akamwendea na kusema, “Wewe unawezaje kulala? Amka ukamwite mungu wako! Huenda akatuangalia, tusiangamie.”
Be dusagai ouligisu dunu ea da Youna ba: le amane sia: i, “Abuliba: le di sima dianabela: ? Di waha wa: legadole di fidima: ne dia Godema sia: ne gadoma, amola da nini huluane hanoga gela sa: imu galebe. Na dawa: loba da dia Godema sia: ne gadosea, amola Ea ninima asigili fidima: bela: amola ninia da hame bogoma: bela: ?”
7 Kisha mabaharia wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tupige kura tumtafute anayehusika na maafa haya.” Wakapiga kura, kura ikamwangukia Yona.
Amalu dusagaiga hawa: hamosu dunu ilia gilisili sia: sa: i amola bai hogoi, “Nowa da bai mubala: le amola goe hou doaga: ma: ne amola ninia gadenenewane se nabimu galebe. Ninia amo hou dawa: ma: ne ganisano sagamu.” Hogole ba: loba Youna e da afuda: i ba: i, amola ea dio dialebe ba: i.
8 Kwa hiyo walimuuliza, “Tuambie, ni nani anayehusika kwa kutuletea tatizo hili lote? Unafanya kazi gani? Umetoka wapi? Nchi yako ni ipi? Wewe ni kutoka taifa lipi?”
Amabeba: le, ilia ema amane sia: i, “Dia amola ninima goe hou hamoi amo se nabasu bai amo ninima adole ima. Dia da goe guda: adi hamobela: ? Amola di da habidili fi dunula: ? Dia da habidili fi dunu amola dia sosogo fi da habigala?”
9 Akajibu, “Mimi ni Mwebrania, nami namwabudu Bwana, Mungu wa Mbinguni, aliyeumba bahari na nchi kavu.”
Amola Youna amane adole i, “Na da Hibulu sosogo fi amoga, amola na da Hina Gode Bagade Hebene ganodini esalebe, amoma fa: no bobogesa amola Ema sia: ne gadosa. E da osobo bagade amola hano huluane hamoi.”
10 Hili liliwaogopesha nao wakamuuliza, “Umefanya nini?” (Walijua alikuwa anamkimbia Bwana, kwa sababu alishawaambia hivyo.)
Amola Youna e da dusagaiga hawa: hamosu ilima amane adole i, “Na da Hina Bagade Ema hobeale ahoa.” Be amo sia: nababeba: le, dusagaiga hawa: hamosu ilia bagadewane fofogadigili amola bagade beda: gia: i, amola ilia da ema amane sia: i, “Amo hou dia da abuliba: le hamobela: ? (E da Godema hobeale asi ilima adoiba: le, ilia da amo hou dawa: i dagoi).
11 Bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Kwa hiyo walimuuliza, “Tukutendee nini ili kufanya bahari itulie kwa ajili yetu?”
Be fo amola isu da mae yolelewane, bagade manu, amabeba: le ilia ema adole ba: i. “Adi hamonanea da fo amola isu amola yolema: bela: ?”
12 Akawajibu, “Niinueni mnitupe baharini, nayo itakuwa shwari. Ninajua mawimbi haya makubwa yamewatokea kwa ajili ya kosa langu.”
Youna da amane sia: i, “Dilia da na hanoga ha: digisia, da fo amola isu amola da yolemu. Na dawa: , amo da na baiga agoane hamosa.”
13 Badala yake, wale watu walijitahidi kupiga makasia wawezavyo ili wapate kurudi pwani. Lakini hawakuweza, kwa kuwa bahari ilizidi kuchafuka kuliko mwanzo.
Be amomane dusagaiga hawa: hamosu dunu ilia da gasa fili, hano bega: ganodini doaga: musa: ha: giwane sua: lala asi, be amomane ahoa ba: loba hamedeidafa ba: i. Be fo amola isu da bu bagade misi.
14 Ndipo wakamlilia Bwana, “Ee Bwana, tafadhali usituue kwa kuondoa uhai wa mtu huyu. Usituhesabie hatia kwa kuutoa uhai wa mtu asiyekuwa na hatia, kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umefanya kama ilivyokupendeza.”
Amabeba: le, ili da Godema gasa gala bagadewane sia: ne gadoi, ili fidima: ne, amola ilia amane sia: i, “Hina Gode! Nini bagade beda: i galebe. Be ninia goe dunu ha: digisia, Dia nini mae se nabasima amola mae medole legema. Hina Gode! Di fawane da Dia hanaiga hamoi.
15 Kisha walimchukua Yona, wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.
Amanoba, ilia Youna ouga: ne hanoa galagai, be amane hamobeba: le, fo amola isu amola hano gafului huluane fisi dagoi.
16 Katika jambo hili watu wakamwogopa Bwana sana, wakamtolea Bwana dhabihu na kumwekea nadhiri.
Amo hou ba: beba: le, ilia amola da Hina Godema beda: ne amola nodone gobele salasu hou amola, Ema dafawane fa: no bobogemu sia: i.
17 Lakini Bwana akamwandaa nyangumi kummeza Yona, naye Yona alikuwa ndani ya tumbo la nyangumi kwa siku tatu, usiku na mchana.
Be Hina Gode da hamoma: ne sia: beba: le, menabo bagade afae amo da Youna e da: gi, amola Youna da menabo ea hagomo ganodini esaloba, eso udiana amola gasi udiana amola ha: digi.

< Yona 1 >