< Yohana 1 >
1 Hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Hula ahwande hwa hali izu lyali pamo no Ngolobhe, izu ali yo Ngolobhe.
2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.
Eli, Ezu, Nalya handaga lyali pamo no Ngolobhe.
3 Vitu vyote viliumbwa kwa yeye, wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.
Evintu vyonti vyabhombeshe ashilile omwene, asibhe omweje na hamo ata hantu hamo hahabhombeshe.
4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.
Muhati yakwe mwali no womi, na wope owomi wali lukhozyo lwa bhantu bhonti.
5 Nuru hungʼaa gizani nalo giza halikuishinda.
Olukhozyo lwakholaga munkisi, enkisi yapotilwe aluzimye.
6 Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Pahali omuntu watumwilwe afume hwa Ngolobhe, ola itawa lyakwe ali yo Yohana.
7 Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kwa kupitia kwake watu wote waweze kuamini.
Ahanzele nanshi keeti ahakikisye ahusu olukhozyo, aje bhonti nkabhapate ahweteshele ashilile hwamwene.
8 Yeye mwenyewe hakuwa ile nuru, bali alikuja kuishuhudia hiyo nuru.
O Yohana sagali lukhozyo, ila ahenzele nkahakikisye ahusu lula olukozyo.
9 Kwamba nuru halisi, imwangaziayo kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.
Esho alilukhozyo lwelyoli lula lwalwahenzaga munsi lyope lwapanga shila muntu.
10 Huyo Neno alikuwako ulimwenguni na ingawa ulimwengu uliumbwa kupitia kwake, haukumtambua.
munsi, na ensi yabhombwelwe ashilile omwahale, na ensi seyamenye.
11 Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.
Ahaenzele hwabhantu bhakwe, na awantu wakwe na abhantu wakwe sebhaposheye.
12 Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake.
Ila hwabhala abhinji bhabhaposheye, bhabhahetesheye itawa lyakwe, nebho abhapiye elyoli eyaje bhana bha Ngolobhe,
13 Hawa ndio wasiozaliwa kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ya Mungu.
Bhabhapepwe, se hwidanda, wala hulusongwo lwe bele, sio olusongwo lwa muntu, ila lwa Ngolobhe yoyo.
14 Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.
Lyope izu lyabhoshe lwebele na lyakhala muhati yeetu, tiulolile oumwamu wakwe, oumwamu nashi wa muntu mwene wahenzele afume hwa Daada, amemile uwene ne lyoli.
15 Yohana alishuhudia habari zake, akapaza sauti, akisema, “Huyu ndiye yule niliyewaambia kwamba, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuniliko mimi, kwa kuwa alikuwepo kabla yangu.’”
O Yohana ahakikizye ahusu omwene, na afumizye izu ayanje, “Ono yayola wanayanjile enongwa zyakwe najile, “Ola wayenza pamande yane yo gosi ashile ane, afuatanaje ahali kabla yaline.”
16 Kutokana na ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema.
Afuatanaje ashilile oluu golosu lwake, ate tenti tiposheye wene eshipawa baadaye shipawa.
17 Kwa kuwa sheria ilitolewa kwa mkono wa Mose, lakini neema na kweli imekuja kupitia Yesu Kristo.
Afuatanaje endajizo zyaliletilwe ashilile oMusa. Ewene ne lyoli vyahenzele ashilile oYesu Kilisti.
18 Hakuna mtu yeyote aliyemwona Mungu wakati wowote, ila ni Mungu Mwana pekee, aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye amemdhihirisha.
Nomo omuntu walolile Ongolobhe omuda gwagwonti. Omuntu mwene ambayo yo Ngolobhe, walipashifubha sha Daada, abhombile aje omwene amanyishe.
19 Huu ndio ushuhuda wa Yohana wakati Wayahudi walipowatuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu kumuuliza, “Wewe ni nani?”
Na olu luhakikisyo lwa Yohana lula adimi na lawi bhabhatumwilwe hwa mwene na Yahudi ahubhozye, “Aje awe wenanu?”
20 Yohana alikiri waziwazi pasipo kuficha akasema, “Mimi si Kristo.”
Bila asyoshe syoshe saga akhene, aje “Anesene Kilisiti.”
21 Wakamuuliza, “Wewe ni nani basi? Je, wewe ni Eliya?” Yeye akajibu, “Hapana, mimi siye.” “Je, wewe ni yule Nabii?” Akajibu, “Hapana.”
Esho bhabhaozyezye, “eshi awe we nanu esalezi?” We Eliya? Ajile, “Ane see yayoyo.” Wajile we kuwaa? Ajile,” Hagha.”
22 Ndipo wakasema, “Basi tuambie wewe ni nani ili tupate jibu la kuwapelekea wale waliotutuma. Wewe wasemaje juu yako mwenyewe?”
Antele bhabhozya, “Wee nanu, aje nkati bhapele ijibu bhabhatitumile”? Uhwihakikisya bhole wewe humwene?”
23 Akawajibu kwa maneno ya nabii Isaya, akisema, “Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Yanyoosheni mapito ya Bwana.’”
Waga, “Ane ne lizu lyakwe walila mwipoli: 'Golosyaji idala lya Ngolobhe,' na okuwa oIsaya shayanjile.”
24 Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo
Eshi bhahali abhantu bhatumwile na Mafalisayo. Bhabhozyezya aje,
25 wakamuuliza, “Kama wewe si Kristo, wala si Eliya na wala si yule Nabii, kwa nini basi unabatiza?”
“Yenu ohwozya eshi nkashewe Kilisiti wala see we Eliya okuwaa?”
26 Yohana akawajibu, “Mimi ninabatiza kwa maji, lakini katikati yenu yupo mtu msiyemjua.
O Yohana abhabhozyezye ajile, “Embozya hu menze. Ata sheshi mhati yenyu ahwemelela omuntu wa semumenye amwe.
27 Yeye ajaye baada yangu, sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake.”
Onu ndiyo wanzahwenze pamande yaline. Ane sihwanziwa alegezye ekamba zye vilato.”
28 Mambo haya yote yalitukia huko Bethania, ngʼambo ya Mto Yordani, mahali Yohana alipokuwa akibatiza.
Enongwa ezi zyabhombeshe ohwo hu Bethania, hwisyela lye Yordani, esehemu ambayo oYohana alihwozya.
29 Siku iliyofuata, Yohana alimwona Yesu akimjia akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!
Isiku lyalyafwatile oYohana alolile uYesu ahwenza hwa mwene ajile, “Enya mwanangole wa Ngolobhe wahwega embibhi zya munsi!
30 Huyu ndiye yule niliyewaambia kwamba, ‘Mtu anakuja baada yangu ambaye ni mkuu kuniliko mimi, kwa kuwa alikuwepo kabla yangu.’
ono yayola wana yanjile enongwa zyakwe najile, “Omwene wayenza hwi akhosi yane yo gosi ashile ane, afwatanaje ali hwitazi lyaline.'
31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini sababu ya kuja nikibatiza kwa maji ni ili yeye apate kufunuliwa kwa Israeli.”
Senamenye omwene, ila shabhombeshe esho aje nkobheneshe mu Israeli, aje nahenzele nabhozyaga na menze.”
32 Kisha Yohana akatoa ushuhuda huu: “Nilimwona Roho akishuka kutoka mbinguni kama hua, akakaa juu yake.
O Yohana ahakikisizye, “Aje nalolile Ompepo ahwiha afume amwanya ofwana ngwe njebha, yasageye pamwanya yakwe.
33 Mimi nisingemtambua, lakini yeye aliyenituma nibatize kwa maji alikuwa ameniambia, ‘Yule mtu utakayemwona Roho akimshukia na kukaa juu yake, huyo ndiye atakayebatiza kwa Roho Mtakatifu.’
Ane senamenye ila omwene wantumile aje enozyaje na menze ambozyezye, 'ola wobhalole empempo ehwiha na khale pamwanya yakwe, Oyo waibhozya hwo Mpepo Ofinjile.'
34 Mimi mwenyewe nimeona jambo hili na ninashuhudia kuwa huyu ndiye Mwana wa Mungu.”
Endolile na ehakikisizye aje ono Mwana wa Ngolobhe.”
35 Siku iliyofuata, Yohana alikuwa huko tena pamoja na wanafunzi wake wawili.
Nantele isiku lyalyafuatile oYohana ali ayemeleye pandwemo na bhanafunzi bhakwe bhabhele,
36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”
bhalolile oYesu ajenda no Yohana ajile, “Enyaji, Omwana ngole wa Ngolobhe!”
37 Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yohana akisema haya, wakamfuata Yesu.
bhabhele bhamwonvwezye oYohana nayanga ega bhafuatile oYesu.
38 Yesu akageuka, akawaona wakimfuata akawauliza, “Mnataka nini?” Wakamwambia, “Rabi,” (maana yake Mwalimu), “Unaishi wapi?”
Nantele oYesu agalushe na bhalole abhanafunzi bhala bhahulondolela, nabhabhozye, “Mhwanza yenu?” Bhajile, “Labi, (emaana yakwe 'mwalimu,' ukhala hwii?”
39 Yesu akawajibu, “Njooni, nanyi mtapaona!” Hivyo wakaenda na kupaona mahali alipokuwa anaishi, wakakaa naye siku ile, kwa kuwa ilikuwa yapata saa kumi.
Wabhabhozya, “Enzaji mulole.”Nantele bhabhalile alole pale pakhalaga; bhakheye pamo nawo isiku elyo, afwatanaje yali efishile saa kumi eshi.
40 Andrea nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yohana aliyokuwa amesema, naye ndiye alimfuata Yesu.
Omomo wa bhala bhabhele bhabhamwonvwezye oYohana nayanga nantele bhafwatile oYesu ali yo Andeleya, oholo wakwe oSimoni Petulo.
41 Kitu cha kwanza Andrea alichofanya ni kumtafuta Simoni nduguye na kumwambia, “Tumemwona Masiya” (yaani, Kristo).
Alolile oholo wakwe oSimoni omwana nahubhozye, “Tipete Omasihi” (maana yakwe Kilisiti).
42 Naye akamleta kwa Yesu. Yesu akamwangalia na kusema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohana. Utaitwa Kefa” (ambalo limetafsiriwa Petro).
Bhaleta hwa Yesu. O Yesu amwezi na ajile, “Awe we Simoni omwana wa Yohana” obhakwiziwe Kefa,” (maana yakwe 'Petulo').
43 Siku iliyofuata Yesu aliamua kwenda Galilaya. Akamkuta Filipo, akamwambia, “Nifuate.”
Isiku lyalyafuatile oYesu lwahanzaga asogole abhale huGalilaya, amwajile oFilipo na hubhozye, “Nfwate ane.”
44 Basi Filipo alikuwa mwenyeji wa Bethsaida, mji alikotoka Andrea na Petro.
O Filipo ali khaya wa hu Bethsaida, ekhaya ya Andrea no Petulo.
45 Filipo naye akamkuta Nathanaeli na kumwambia, “Tumemwona yeye ambaye Mose aliandika habari zake katika Sheria na ambaye pia manabii waliandika kumhusu, yaani, Yesu wa Nazareti, mwana wa Yosefu.”
O Filipo amwajile o Nathanaeli na hubhozye aje timwajile ola oMusa wa handishe enongwa zyakwe mu ndajizyo na Kuwaa. O Yesu omwana wa Yusufu, afume hu Nazareti.
46 Nathanaeli akauliza, “Nazareti! Je, kitu chochote chema chaweza kutoka Nazareti?” Filipo akamwambia, “Njoo uone.”
O Nathanaeli abhozyezye, “Aje ahantu ahinza hawezizye afumile hu Nazareti?” O Filipo abhozezye, Aje enzaga olole.”
47 Yesu alipomwona Nathanaeli anakaribia, akanena habari zake akasema, “Tazama huyu ni Mwisraeli kweli kweli; hana hila ndani yake.”
U Yesu walola oNathanaeli ahwenza hwa mwene wayanga, “Waga oyenye Omwisraeli welyoli lyoli wasaga ali nilenka muhati yakwe!”
48 Nathanaeli akamuuliza, “Umenifahamuje?” Yesu akamjibu, “Nilikuona ulipokuwa bado uko chini ya mtini, kabla hata Filipo hajakuita.”
O Nathanaeli wabhozya, “Amenyebhole ane?” O Yesu wabhozya, “Salisele oFilipo ahukwizye nawahali pansi yikwi.”
49 Nathanaeli akamwambia, “Rabi, wewe ni Mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme wa Israeli!”
O Nathanaeli wayanga, “Waga Mwalimu awe oli Mwana wa Ngolobhe! Awe oli mwene we Wisraeli”!
50 Yesu akamwambia, “Unaamini kwa kuwa nilikuambia nilikuona ulipokuwa bado uko chini ya mtini? Basi utaona mambo makuu zaidi kuliko hilo.”
O Yesu wayanag wabhozya, “Aje afuatanaje nabhozezye 'nalilolile pansi yikwi aje ohweteshele obhalole embombo engosi ashile ezi.”
51 Ndipo akawaambia, “Amin, amin nawaambia, ninyi mtaona mbingu ikifunguka na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu.”
O Yesu wabhabhozya aje eteshile etesheli embabho lya mubhazilole emwonya zihwiguha, mubhabhalole ahalozelu wazubha na hwishe amwanya hwa Mwana wa Adamu.”