< Yohana 9 >
1 Yesu alipokuwa akipita, akamwona mtu aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa.
Wakati, kama Yesu bho ip'eta, ambwene munu kipofu kuhomela kuhogoleka kwa muene.
2 Wanafunzi wake wakamuuliza, “Rabi, ni nani aliyetenda dhambi, ni huyu mtu au wazazi wake hata azaliwe kipofu?”
Bhanafunzi bha muene bhakan'kota, “Rabi, niani jha abhombi dhambi, munu ojho au bhazazi bha muene, hata ahogolikayi kipofu?”
3 Yesu akawajibu, “Huyu mtu wala wazazi wake hawakutenda dhambi. Alizaliwa kipofu ili kazi za Mungu zidhihirishwe katika maisha yake.
Yesu akabhajibu, “Siyo munu ojho wala bhazazi bha muene bhabhabhombi dhambi, bali mbombo sya K'yara sibhwesiajhi kufunulibhwa kup'etela kwa muene.
4 Yanipasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenituma wakati bado ni mchana, kwa kuwa usiku waja ambapo hakuna mtu awezaye kufanya kazi.
Twilondeka kubhomba mbombo sya muene muene jha anitumili wakati bado pamusi. Kiru kihida wakati ambapo ajhelepi jhaibetakubhwesya kubhomba mbombo.
5 Wakati niko ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”
Wakati nje ku bhulimwengu, nene ne nuru jha ulimwengu.”
6 Baada ya kusema haya, akatema mate ardhini, akatengeneza tope kwa mate na kumpaka yule mtu kipofu machoni.
Baada jha Yesu kujobha malobhi agha afunyili palifu, abhombi bhudopi kwa mata ni kumbaka munu jhola pamihu ni bhud'opi bhola.
7 Kisha akamwambia, “Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.” (Siloamu maana yake ni aliyetumwa.) Ndipo yule kipofu akaenda, akanawa, naye akarudi akiwa anaona.
Akan'jobhela, lotayi kujhogha mu kisima kya Siloam (Jhajhitafsiribhwa kama 'jhaatumibhu').” Henu munu ojhu alotili, akasamba, ni kukerebhuka, ilola.
8 Majirani zake na wale wote waliokuwa wamemwona hapo awali akiombaomba wakaanza kuuliza, “Je, huyu si yule aliyekuwa akiketi akiombaomba?”
Majirani bha munu jhola ni bhala bhabhambwene kubhwandelu kama n'somaji bhajobhili, Je! ojho si jhola jhaatamaghe ni kus'oma?” bhangi bhakajobha,
9 Wengine wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “Siye, bali wamefanana.” Lakini yeye akawaambia, “Mimi ndiye.”
“Lepi, bali iwaningana naku.” Lakini akajha ijobha, “Ndo nene.”
10 Wakamuuliza, “Basi macho yako yalifumbuliwaje?”
Bhakan'jobhela, “Henu mihu gha jhobhi ghafungulibhu bhuli?”
11 Yeye akawajibu, “Yule mtu aitwaye Yesu alitengeneza tope, akanipaka machoni mwangu, naye akaniambia nenda ukanawe katika Bwawa la Siloamu, ndipo nikanawa nami nikapata kuona!”
Ajibili, munu jhaikutibhwa Yesu, abhombili bhudopi ni kubaka pa mihu ghangu ni kunijobhela, 'Nilotayi Siloam ukasambayi.' Henu nikalota, ni kusamba, na nikajhanilola kabhele.”
12 Wale wakamuuliza, “Yeye huyo mtu yuko wapi?” Akawajibu, “Sijui.”
Bhakan'jobhela, “Ajhendaku?” Ajibili, “Ndesi.”
13 Wakamleta kwa Mafarisayo yule mtu aliyekuwa kipofu hapo awali.
Bhakampeleka munu jhola jha ajhele kipofu kwa Mafarisayo.
14 Basi siku hiyo Yesu alipotengeneza tope na kuyafungua macho ya huyo mtu ilikuwa Sabato.
Nijhiene jha ajhele ligono lya Sabato wakati Yesu bho atendekisi bhodopi ni kughafumbula mihu gha muene.
15 Mafarisayo nao wakaanza kumuuliza alivyopata kuponywa. Naye akawaambia, “Alinipaka tope kwenye macho yangu, nikanawa na sasa ninaona.”
Ndipo kabhele Mafarisayo bhakan'kota abhwesibhuli kulola. Akabhajobhela, “Abhekili bhudopi mu mihu ghangu nikasamba na henu nibhwesya kulola.”
16 Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Huyu mtu hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki Sabato.” Lakini wengine wakasema, “Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya miujiza kama hii?” Wakagawanyika.
Baadhi jha Mafarisayo bhakajobha, “Munu ojho ahomilepi kwa K'yara kwandabha aikamuililepi Sabato.” Bhangi bhakajobha, “Jhibhwesekana bhuli munu jha ajhe ni dhambi kubhomba ishara kama esu?” Henu kukajhe ni mgabhwanyiku kati jha bhene.
17 Hivyo wakamwambia tena yule mtu aliyekuwa kipofu, “Wewe ndiwe uliyefumbuliwa macho, wasemaje kuhusu mtu huyo?” Maana macho yako ndiyo yaliyofumbuliwa. Yeye akawajibu, “Yeye ni nabii.”
Ndipo bhan'kotili jhola kipofu kabhele, “Ghwijobhuli juu jha muene kwandabha aghafunguili mihu gha jhobhi?” Kipofu akajobha, “Nabii.”
18 Wale Wayahudi hawakuamini ya kuwa mtu huyo alikuwa kipofu, akapata kuona, mpaka walipowaita wazazi wake.
Hata wakati obhu bhayahudi bhan'kyeriri lepi kujha ajhele kipofu ni muene ibhwesya kulola mpaka bhakabhakuta bhazazi bha muene jha abhwesi kulola.
19 Wakawauliza, “Je, huyu ni mtoto wenu, ambaye mnasema alizaliwa kipofu? Imekuwaje basi sasa anaona?”
Bhakabhakota bhazazi, Je, ojho mwanabhinu jha mwijobha ahogoliki kipofu? abhwesibhuli henu kulola?”
20 Wazazi wake wakajibu, “Tunajua ya kuwa huyu ni mtoto wetu na ya kuwa alizaliwa kipofu.
Hivyo bhazazi bha muene bhakan'jibu, “Tumanyili kujha ahogoliki kipofu.
21 Lakini sisi hatujui ni kwa jinsi gani kwamba sasa anaona, wala hatujui ni nani aliyemfungua macho yake. Muulizeni, yeye ni mtu mzima na anaweza kujieleza mwenyewe.”
Jinsi gani henu ilola, tumanyi lepi ni muene jha amfumbuili mihu gha muene, tumanyililepi. Mun'kotayi muene. Nyuluala. Ibhwesya kwijhe lesya muene.”
22 Wazazi wake walisema hivi kwa sababu waliwaogopa Wayahudi kwani walikuwa wamekubaliana kuwa mtu yeyote atakayemkiri Yesu kuwa ndiye Kristo atafukuzwa kutoka sinagogi.
Bhazazi bha muene bhajobhili mambo agha, kwa ndabha bhabhatilili Bhayahudi. Kwa vile Bhayahudi bhajhele bha kubaliene tayari kujha, ikajhiayi jhejhioha ibetakukiri kujha Yesu ndo Kristu, ibetakutengibhwa ni Sinagogi.
23 Kwa hiyo wazazi wake wakasema, “Yeye ni mtu mzima. Muulizeni.”
Kwa ndabha ejhe, bhazazi bha muene bhakajobha, “Munu nnyuluala, munkotayi muene.”
24 Hivyo kwa mara ya pili wakamwita yule aliyekuwa kipofu, nao wakamwambia, “Mpe Mungu utukufu! Sisi tunafahamu kuwa mtu huyu aliyekuponya ni mwenye dhambi.”
Henu kwa mara jha pili, bhakankuta munu jhola jha ajhele kipofu ni kun'jobhela, Mpelayi K'yara bhutukufu. Tumanyili munu ojho ajhe ni dhambi.”
25 Akawajibu, “Mimi sijui kama yeye ni mwenye dhambi. Lakini jambo moja ninalojua, nilikuwa kipofu na sasa ninaona.”
Ndipo munu jhola akajibu, “Ajhelayi ni dhambi, nenimanyilepi. Khenu kimonga kya nikimanyili: najhele kipofu, ni henu nilola.”
26 Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”
Ndipo bhakan'jobhela, “Akubhombili kiki? Aghafumbuili bhuli mihu gha jhobhi?”
27 Akawajibu, “Tayari nimekwisha kuwaambia, nanyi hamtaki kunisikiliza. Mbona mnataka kusikia tena? Je, ninyi nanyi mnataka kuwa wanafunzi wake?”
Ajibili, “Nimalikubhajobhela tayari, ni muenga mup'elekisilepi! kwa ndajhakiki mwilonda kup'eleka kabhele? namu mwilonda lepi kujha bhanafunzi bha muene pia, sivyo?
28 Ndipo wakamtukana na kusema, “Wewe ndiwe mwanafunzi wake, Sisi ni wanafunzi wa Mose.
Bhandighili ni kujobha, “Bhebhe ghwe mwanafunzi ghwa muene, lakini tete bhanafunzi bha Musa.
29 Tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini kwa habari ya mtu huyu hatujui atokako.”
Tumanyili kujha K'yara alongili ni Mussa, lakini kwa munu ojho, tumanyili lepi kwa ihomela.”
30 Yule mtu akawajibu, “Hili ni jambo la ajabu! Hamjui anakotoka, naye amenifungua macho yangu!
Munu jhola akajibu ni kubhajobhela, “Kwa ndabha jha kiki, ele lijambo lya kusyangasya, kwamba mumanyilepi kwaihomela, na bado aghafumbuili mihu ghangu.
31 Tunajua ya kuwa Mungu hawasikilizi wenye dhambi, lakini huwasikiliza wote wanaomcha na kumtii.
Tumanyili kujha K'yara akabhap'elekesya lepi bhenye dhambi, lakini ikajhiajhi munu jhejhioha ikamwabudu K'yara na ibhomba mapenzi gha muene, K'yara akamp'elekesya.
32 Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Kuh'omela kujhanda kwa ulimwengu jhibhwayilepi kamwe kupelekibhwa kujha jhejhioha jhaifumbula mihu gha munu jha ahogoliki kipofu. (aiōn )
33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”
Ikajhiayi munu ojho ahomilepi kwa K'yara, ngaabhombilepi kyokyoha.”
34 Wao wakamjibu, “Wewe ulizaliwa katika dhambi kabisa, nawe unajaribu kutufundisha?” Wakamfukuza atoke nje.
Bhajibili ni kun'jobhela, “Ghwahogoliki ni dhambi kabisa, ni bhebhe ukatumanyisya tete?” Ndipo bhamb'engili mu sinagogi.
35 Yesu aliposikia kuwa wamemfukuzia nje yule mtu aliyemfumbua macho, alimkuta akamuuliza, “Je, unamwamini Mwana wa Adamu?”
Yesu ap'eliki kujha bhabhosili mu sinagogi. Akan'kabhili ni kun'jobhela, “Ukan'kiera Muana ghwa Munu?”
36 Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”
Ajibili ni kujobha, “Niani, Bwana, ili nani nikabhayi kun'kiera?”
37 Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
Yesu akabhajobhela, “Umbwene, nu ndo jha ilongela naku.”
38 Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.
Jhola munu akajobha, “Bwana, Nikiera.” Ndipo akan'sujudila.
39 Yesu akasema, “Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”
Yesu akajobha, “Kwa hukumu nihidili mu ulimwengu obho ili kwamba bhala bhabhilola lepi bhabhwesiajhi kulola ni bhala bha bhibhona bhajhelayi fipofu,”
40 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa karibu naye wakamsikia na kumwambia, “Je, kweli sisi ni vipofu?”
Baadhi jha Mafarisayo bhajhele pamonga ni muene bhakapeleka malobhi aghu ni kun'kota, “Nitete fipofu?”
41 Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.
Yesu akabhajobhela, “Kama ngamujhele fipofu, ngamujhelepi ni dhambi. Hata naha, henu mwijobha, 'Mwilola,' dhambi jha muenga jhitama.”