< Yohana 8 >
1 Lakini Yesu akaenda katika Mlima wa Mizeituni.
O Yesu abhalile hwigamba lye Mzeituni.
2 Alfajiri na mapema Yesu akaja tena Hekaluni, watu wote wakakusanyika, akakaa akaanza kuwafundisha.
Khasha shampwiti ahenza nantele hushibhanza, na abhantu bhonti bhabhalila; ahakhala bhasambeleyezye.
3 Walimu wa sheria na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.
Abhandishi na Mafarisayo bhaletela oshe wa khetwe humbombo yehuni. Bhabheha pahati.
4 Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
Epo nkabhabhalila oYesu, “Mwalimu, oshe ono akhetwe mu huni, mumbombo lyoli.
5 Katika sheria, Mose alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake wa namna hii, mpaka wafe. Sasa wewe wasemaje?”
Esalezi, endajizyo, zya Musa atilajizizye awapole na mawe abhantu nanshi ebho, oyigabhole hwego?
6 Walimuuliza swali hili kama mtego ili wapate sababu ya kumshtaki. Lakini Yesu akainama akaanza kuandika ardhini kwa kidole chake.
Bhanyanjile ega ahutejesezye aje nkabhabhe ne nongwa ya hutake, ila oYesu au ndeme mpansi ahaandiiha mwinkondi hwa dole hakwe.
7 Walipoendelea kumuulizauliza akainuka, akawaambia, “Kama kuna mtu yeyote miongoni mwenu ambaye hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe.”
Na bhahendeleye ahubhozye, ahemeleye na bhabhozye, “Omwene wasali nembibhi mhati yenyu, abhe wahwande ahupole amawe.”
8 Akainama tena na kuandika ardhini.
Waundama nantele pansi, wadola mwinkondi hushidole shakwe.
9 Waliposikia haya, wakaanza kuondoka mmoja mmoja, wakianzia wazee, hadi Yesu akabaki peke yake na yule mwanamke akiwa amesimama mbele yake.
Nabhahonvwa ego, bhasogoye omo baada ya wamwabho ahwande waliigogolo hata. Owamalishile wabho mwene, paamo no she waali pahati yabho.
10 Yesu akainuka na kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?”
O Yesu ahemeleye na nahubhozye wee shee wewe, bhabhatakile bhali hwii? Nomo ata weka walonjile?”
11 Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata mmoja Bwana.” Yesu akamwambia, “Hata mimi sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa usitende dhambi tena.”]
Wagaa, “Nomo ata weka Gosi.” O Yesu waaga, “Hata nene sihulonga. Bhalaga hwi dala lyaho; ahwande esalezi na hwendelele oganje abhombe embibhi nantele.”
12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni nuru ya ulimwengu. Mtu yeyote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.”
Nantele oYesu ayanga na bhantu waga, “Ane endi lukhozyo lyensi; omwene wanzandondolele saganzajende munkisi ila anzabhe nolukhozyo lwe womi.”
13 Mafarisayo wakamwambia, “Ushuhuda wako haukubaliki kwa kuwa unajishuhudia mwenyewe.”
Amafarisayo bhabhozye, “Ohwihakikisya wewe; oluhakikisyo lwaho see lwe yooli.”
14 Yesu akawajibu, “Hata kama najishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ni kweli kwa sababu najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda.
O Yesu ayanga ahaga, “Hata nkashe ehwihakikisya neen oluhakikisyo lwane, lwe yooli. Emenye hwe nfumile na hwe mbala, ila amwe semumenye hwe nfumile wala hwembala.
15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote.
Amwe mulonga shibele; ane sehulonga wawonti.
16 Lakini hata kama nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba, aliyenituma.
Ane hata nkashe elonje, endonga yane ye lyoli afuatanaje sendi nemwene, endi paamo no daada wantumile.
17 Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, ushahidi wa watu wawili ni thabiti.
Ena, hundajizyo zyenyu iyandihwe aje oluhakikisyo lwa bhantu bhabhelilwe lyoli.
18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”
Ane ne hwihakikisye, no Daada wantumile ahakikisya.”
19 Ndipo wakamuuliza, “Huyo Baba yako yuko wapi?” Yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu mimi ni nani, wala hammfahamu Baba yangu. Kama mngenifahamu mimi, mngemfahamu na Baba yangu.”
Bhabhozya, “Odaada waho ali hwii?” O Yesu ahaaga, “ane semumenye hata Odaada wane semumenye, mgali aje mumenye ane handa mmenye Odaada wane wope.”
20 Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika chumba cha hazina Hekaluni. Lakini hakuna mtu aliyemkamata kwa kuwa saa yake ilikuwa haijawadia.
Ayanjile enongwa ezi alipepe no lubhutilo nali asambelezya mshibhanza, na ali nomo ata weka wakhete afuatanaje esaa yakwe yaali seele afishe.
21 Yesu akawaambia tena, “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi ninyi hamwezi kuja.”
Eshi abhabhozya nantele, “Nahwisogolela mwainanza na mwaifwela mumbibhi zyenyu. Hula hwe mbala semuwezizye ahwenze.”
22 Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”
Abhayahudi bhajile, “Obhahwibude humwene, omwene wayanjile, 'hula hwe mbala semuwezezye ahwenze'?”
23 Akawaambia, “Ninyi mmetoka chini, mimi nimetoka juu. Ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
O Yesu abhabhozye, “Mufuma pansi; ane efuma amwanya. Amwe muli bha munsi omu; ane sendi wa munsi omu.
24 Niliwaambia kuwa mtakufa katika dhambi zenu, kwa maana msipoamini ya kwamba ‘Mimi Ndiye,’ mtakufa katika dhambi zenu.”
Eshi eshi, nabhabhozezye aje mwaifwa mumbibhi zyenyu. Labuda mweteshele aje ANE NENE, mwaifwa mu mbibhi zyenyu”.
25 Wakamuuliza, “Wewe ni nani?” Naye Yesu akawajibu, “Mimi ndiye yule ambaye nimekuwa nikiwaambia tangu mwanzo.
Eshi bhabhozya, “Awe we nanu?” O Yesu wabhabhozya, Gala ganabhabhozezye ahwande huwandilo.
26 Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na mengi ya kuwahukumu. Lakini yeye aliyenituma ni wa kweli, nami nanena na ulimwengu niliyoyasikia kutoka kwake.”
Endi ne nongwa nyinji ezya yanje nalonje ahusu amwe. Hata sheshi, omwene wantumile we lyoli ne nongwa zyamwonvwezye afume hwa mwene, enongwa ezi nayanga hwa bha Munsi.”
27 Hawakuelewa kuwa alikuwa akiwaambia juu ya Baba yake wa Mbinguni.
Sebhamwelewe aje ali ayanga nabho ahusu Odaada.
28 Kisha Yesu akawaambia, “Mtakapokwisha kumwinua juu Mwana wa Adamu, ndipo mtakapojua kuwa, ‘Mimi ndiye yule niliyesema na kwamba mimi sitendi jambo lolote peke yangu bali ninasema yale tu ambayo Baba yangu amenifundisha.
O Yesu ajile, Namu bhahubhosye amwanya Omwana wa Muntu, nkamwailola aje NENE, naje sebhomba lyalyonti nemwene. Nanshi Odaada shansambelezezye, ayanga enongwa ezi.
29 Yeye aliyenituma yu pamoja nami, hajaniacha, kwa kuwa siku zote nafanya mapenzi yake.’”
Omwane wantumile ali pamo nane, na omwene sandeshile nemwene, alenganaje shila muda ebhomba gala gasongwa.”
30 Wengi waliomsikia Yesu akisema maneno haya wakamwamini.
O Yesu lwayangaga enongwa ezyo bhinji bhamweteshe.
31 Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
O Yesu ayange hwa Yahudi bhala bhabhamweteshe, “Nkashe mubhakhale mwizu lyane, epo mubhabhe bhanafunzi bhane lyoli,
32 Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
namwe mubhaimanya elyoli, na elyoli ebhabhabheshe bhaushe.”
33 Wao wakamjibu, “Sisi tu wazao wa Abrahamu, nasi hatujawa watumwa wa mtu yeyote. Wawezaje kusema kwamba tutawekwa huru?”
Bhajile, Ate tili shi kholo sha Ibulahimu na mwaha setiwayile abhebhaboyi bha muntu wawonti; obhayanje bhole aje, “Tibhabhe bhauusu?”
34 Yesu akajibu, “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
O Yesu wabhabhozya, “Etesheli, etesheli, embebhozya, wawonti wabhomba embibhi boyi we mbibhi.
35 Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn )
Boyi sakhala pakhayo omuda gwonti; omwana akhala nsiku zyonti. (aiōn )
36 Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
Eshi eshi, nkashele Omwana aibhabheha bhausu, mwaibha bhausu lyoli.”
37 Ninajua ya kuwa ninyi ni wazao wa Abrahamu, lakini mnatafuta wasaa wa kuniua kwa sababu ndani yenu hamna nafasi ya neno langu.
Embamenye aje amwe mlishikholo sha Ibulahimu; muhwanza angoje alengane ni izu lyane selili no khalo mhati yenyu.
38 Ninasema yale niliyoyaona mbele za Baba yangu, nanyi inawapa kufanya yale mliyosikia kutoka kwa baba yenu.”
Eyanga enongwa zyenzilolile pamo na Daada wane, namwe pia mubhomba enongwa zya mwahonvwezye hwa daada wenyu.”
39 Wakajibu, “Baba yetu ni Abrahamu.” Yesu akawaambia, “Kama mngekuwa wazao wa Abrahamu mngefanya mambo yale aliyofanya Abrahamu.
Bhayanjile na hubhozye, “Odaada wetu yo Abulahamu.” O Yesu abhabhozya nkashe mungali bhana bha Ibulahimu, handamubhomba embombo zyakwe o Ibulahimu.
40 Lakini sasa ninyi mnatafuta kuniua, mtu ambaye nimewaambia kweli ile niliyosikia kutoka kwa Mungu, Abrahamu hakufanya jambo la namna hii.
Hata sheshi munanza hungoje, omuntu walenjele elyoli aje ehomvwezye afume hwa Ngolobhe. O Ibulahimu sagabhombile esho.
41 Ninyi mnafanya mambo afanyayo baba yenu.” Wakamjibu, “Sisi hatukuzaliwa kwa uzinzi. Tunaye Baba mmoja, Mungu pekee.”
Mubhomba mbombo ya daada wenyu.” Bhabhozya, “Setapepwe muuhuni, tili Odaada omo, yo Ngolobhe.”
42 Yesu akawaambia, “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda, kwa maana nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa ajili yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
O Yesu abhabhozya, “Nkashe Ongolobhe yo Daada wenyu, handa mungene ane, afuatanaje handa mungene ane, afuatanaje enfumile hwa Ngolobhe; wala sehenzele hubeele gwane ila hwa mwene wantumile.
43 Kwa nini hamwelewi ninayowaambia? Ni kwa sababu hamwezi kusikia nisemacho.
Yenu semgelewa amazu gane? Afuatanaje semuwezizye avumilile agatejezye amazu gane.
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu ibilisi, nanyi mnataka kutimiza matakwa ya baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo, wala hakushikana na kweli maana hamna kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa maana yeye ni mwongo na baba wa huo uongo.
Amwe mli bha Daada wenyu, osetano na mhwanza abhombe oluziliho lya Daada wenyu. Aligoji ahwande huwando na sawezizye ahwemelele mlyoli afuatanaje elyoli nemo mhati yakwe. Nkayanga ilenka, ayanga afume mmwoyo gwakwe afuatanaje wilenka na Odaada wilenka.
45 Lakini kwa sababu nimewaambia kweli hamkuniamini!
Hata sheshi, afuatanaje eyanga zye lyoli, semueteshela.
46 Je, kuna yeyote miongoni mwenu awezaye kunithibitisha kuwa mwenye dhambi? Kama nawaambia yaliyo kweli, mbona hamniamini?
Wenu hulimwe wahakikisye aje endine mbibhi? Nkashe eyanga zye lyoli, yenu semuneteshela?
47 Yeye atokaye kwa Mungu husikia kile Mungu asemacho. Sababu ya ninyi kutosikia ni kwa kuwa hamtokani na Mungu.”
Omwene wali wa Ngolobhe ateje zya amazu ga Ngolobhe; afwatanaje semulibha Ngolobhe.”
48 Wayahudi wakamjibu Yesu, “Je, hatuko sahihi tunaposema ya kwamba wewe ni Msamaria na ya kwamba una pepo mchafu?”
Ayahudi wayanjile na hubhozye, setiyanjile yoli aje awe oli Samaria na oli ni pepo?”
49 Yesu akawajibu, “Mimi sina pepo mchafu, bali ninamheshimu Baba yangu, nanyi mnanidharau.
O Yesu ajile, sendi ni pepo; ila ehumwogopa Odaada wane, amwe semunogopa.
50 Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.
Sehwanza oumwamihwe; waline ali weka wahwanza na lonje.
51 Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn )
Etesheli, etesheli, embabhozya, nkashe wawonti ayilikhata izu lyane, sagailola enfwa na mwaha.” (aiōn )
52 Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn )
Ayahudi bhabhozya, “Esalaze tamanya aje oli ni pepo. O Abulahamu na kuwaa bhafwiye; oiga, “Nkashe omuntu akhate izu lyaho, saganzabhonje enfwa'. (aiōn )
53 Je, wewe ni mkuu kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa na manabii ambao nao pia walikufa? Hivi wewe unajifanya kuwa nani?”
Awe soli gosi ashile odaada wetu oAbulahamu bhafwiye shenje? Akuwaa bhope bhafwiye. Awe ohwibheha we nanu?”
54 Yesu akawajibu, “Kama nikijitukuza utukufu wangu hauna maana. Baba yangu, huyo ambaye ninyi mnadai kuwa ni Mungu wenu, ndiye anitukuzaye mimi.
O Yesu ajile, “Nkashe ehwizuvya nemwene, oumwihwe wane bure; yo Daada waline wanzuvya - ola wa muhuyanga aje Ngolobhe wenyu.
55 Ingawa hamkumjua, mimi ninamjua. Kama ningesema simjui, ningekuwa mwongo kama ninyi, lakini mimi ninamjua na ninalitii neno lake.
Amwe semumenye omwahale, ila ane emenye omwene. Nkashe embaje, 'semenye,' embabhe nanshi amwe, wilenka. Hata sheshi, engaemenyeamazu gakwe engakhete.
56 Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba angaliiona siku yangu, naye akaiona na akafurahi.”
Odaada wenyu oAbulahamu asongwelwe na walilola isiku lyane na aalilolile na asongwelwe.”
57 Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza hata miaka hamsini, wewe wasema umemwona Abrahamu?”
Ayahudi bhabhozya,”Sofisizye omuri we maha amusini bado, nawe ololile o Ibulahimu?”
58 Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, ‘Mimi niko.’”
O Yesu abhabhozya, “Etesheli, etesheli, embabhozya, o Ibulahimu salibado apapwe, ANE EHWENDI.”
59 Ndipo wakaokota mawe ili kumpiga, lakini Yesu akajificha, naye akatoka Hekaluni.
Nkabhatola amawe aje bhakhome, O Yesu ahobhele ahafuma honzehu shibhanza.