< Yohana 8 >
1 Lakini Yesu akaenda katika Mlima wa Mizeituni.
Yeecu ya zaitunek.
2 Alfajiri na mapema Yesu akaja tena Hekaluni, watu wote wakakusanyika, akakaa akaanza kuwafundisha.
ki kwomjece yilau kuwabi, nubo kwarub bou cinen, yiken meran cinenti.
3 Walimu wa sheria na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.
dila nob mulangkabo kan, nge faricawa ciin bo cinen ki nowiye ciitau mor kayakau. ciinyoco tiber.
4 Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
la ciin yico ki ni merangka, nawiye wo mor kayaka.
5 Katika sheria, Mose alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake wa namna hii, mpaka wafe. Sasa wewe wasemaje?”
mor bifure, musa ne, nyo nyal kinyi mubang nubowo, mweu yemutoke
6 Walimuuliza swali hili kama mtego ili wapate sababu ya kumshtaki. Lakini Yesu akainama akaanza kuandika ardhini kwa kidole chake.
cii toknyo nacii fiya fiye ciiya tamcoti ki kere, la yeecu cungken bitine mulang dikero kibi wure ce.
7 Walipoendelea kumuulizauliza akainuka, akawaambia, “Kama kuna mtu yeyote miongoni mwenu ambaye hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe.”
kambo cii merangco kerotiyeri, yeecu kweniti yicii, niwo more kume manki bwirangkeu ater mobka tereko.
8 Akainama tena na kuandika ardhini.
yila cungken bitine mulang dikero kibi wureco.
9 Waliposikia haya, wakaanza kuondoka mmoja mmoja, wakianzia wazee, hadi Yesu akabaki peke yake na yule mwanamke akiwa amesimama mbele yake.
kambo ciinuwa nyeri, ciin cira, nyi ki win-wine, terti kidurko. kibwiri ciin dobti yeecu wi kan, nge nawiyewo timtiber ciireu.
10 Yesu akainuka na kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?”
yeecu kweninti riki, nawiye, infe nubo tauneneu? kan, nge twalnenbo?
11 Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata mmoja Bwana.” Yesu akamwambia, “Hata mimi sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa usitende dhambi tena.”]
ciki ony, nikan, nge mani kwama yeecu ki, mo keneu mitwal nenbo. ya yommwem. tabti duwen mare bwirang keretak.
12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni nuru ya ulimwengu. Mtu yeyote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.”
yeecu yi cii tak, min filang kalek, niwo bwang mentine tiyeri mani ya yamti mor kumtacile dile annoki filang dume.
13 Mafarisayo wakamwambia, “Ushuhuda wako haukubaliki kwa kuwa unajishuhudia mwenyewe.”
faricawa ki, mune warkati dormwer, warka mweko kebo bilingke.
14 Yesu akawajibu, “Hata kama najishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ni kweli kwa sababu najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda.
yeecu ciya cii yicii, cano minne warkae dor mirdi, warkemiu bilingke, minnyimom fiye micirou wiyen, min nyimom fiye mi yakenti wiyeu.
15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote.
kom mabolangkoti ki cwika durek, mi mabo ninin bolang.
16 Lakini hata kama nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba, aliyenituma.
cano minma bolangdi, bolang miko bilingke wori mikebo miki kwami, dila mi wari kan'nge tee wo twomu yereu.
17 Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, ushahidi wa watu wawili ni thabiti.
ong, mor werfun kemer cii mulangi warke nubo yobeu bilingke.
18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”
mo mima warke dormittiye takri tee wo twomu yereu ni warketi.”
19 Ndipo wakamuuliza, “Huyo Baba yako yuko wapi?” Yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu mimi ni nani, wala hammfahamu Baba yangu. Kama mngenifahamu mimi, mngemfahamu na Baba yangu.”
laciki, fe tee mwe? yeecu ciya cii yicii, kom nyomyebo kakaa tee miya, nakayimom yer komkin nymom temi.
20 Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika chumba cha hazina Hekaluni. Lakini hakuna mtu aliyemkamata kwa kuwa saa yake ilikuwa haijawadia.
ci tokkerowo bidom kan'nye fiye yoka kikwama cima merangkako mor lo kwaamau, nikange tocobo wori takacoko labo bwiri.
21 Yesu akawaambia tena, “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi ninyi hamwezi kuja.”
yilanyitenci, man yaken kandoye mani kafiyati, kan bwiyam mor bwiramker kumer. fiye miyakentiyewiyeu mani kom yati.”
22 Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”
yafudawau yiki, an twalum dor cero, kambo ciyiti fiye ci yakenti wiyeu makom yati
23 Akawaambia, “Ninyi mmetoka chini, mimi nimetoka juu. Ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
yeecu yicii, komki no dorbitiner, mi, u miki no dii komna dor bitineroce, miu mikebo na dor bitineroce.
24 Niliwaambia kuwa mtakufa katika dhambi zenu, kwa maana msipoamini ya kwamba ‘Mimi Ndiye,’ mtakufa katika dhambi zenu.”
co dikebwi matoki mi bwirangke kume.
25 Wakamuuliza, “Wewe ni nani?” Naye Yesu akawajibu, “Mimi ndiye yule ambaye nimekuwa nikiwaambia tangu mwanzo.
la ciin meco” we mwo?” yeecu yicii, dike miyikom kikabau.
26 Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na mengi ya kuwahukumu. Lakini yeye aliyenituma ni wa kweli, nami nanena na ulimwengu niliyoyasikia kutoka kwake.”
miki dikero duce mayi komtiye, ma makumenten bolangti dor cere. dilanaweu, niwo twomu yereu, nibilingke, dikero manuwa cinenneu, co dike miyi dor bitinero tiyeu.
27 Hawakuelewa kuwa alikuwa akiwaambia juu ya Baba yake wa Mbinguni.
cii nyombo kiyicii kero dor teer
28 Kisha Yesu akawaambia, “Mtakapokwisha kumwinua juu Mwana wa Adamu, ndipo mtakapojua kuwa, ‘Mimi ndiye yule niliyesema na kwamba mimi sitendi jambo lolote peke yangu bali ninasema yale tu ambayo Baba yangu amenifundisha.
Yeecu yi cii kanbo kom kun bibwemi diyeri, lakan nyimom in mo, lami mabo diker dorermir. kambo tee merange, meneu, nyo mitok dikero birombo tiye
29 Yeye aliyenituma yu pamoja nami, hajaniacha, kwa kuwa siku zote nafanya mapenzi yake.’”
co nii ci twomu yereu, wiwari kange mo mani dob yeti, wori mima dike fuwociner tiyeu.
30 Wengi waliomsikia Yesu akisema maneno haya wakamwamini.
kambo Yeecu tokkereri, ducce ne bilengke cinen.
31 Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
Yeecu yi Yafudawa biro nebilengkeu, “nokom yi mor kere miri, kan yilam nob bwangka mib wo bilenke ceu,
32 Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
kan nyimom bilengke, bilenkeu atin cokkom.”
33 Wao wakamjibu, “Sisi tu wazao wa Abrahamu, nasi hatujawa watumwa wa mtu yeyote. Wawezaje kusema kwamba tutawekwa huru?”
cin ciyaco ki, nyin nubo lo Ibrahimeu nyimbo can nyawi kamnik, yebwi mwatokti muki atin cer nye?
34 Yesu akajibu, “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Yeecu yi cii, bilenke, bilenke, mi yikom nii wo ma bwirankeri canga bwirankerer.
35 Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn )
canga mani yi lo diri; bweluwe kiyi lo diri. (aiōn )
36 Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
canno bweu ceer nendi, bilenke munfiya ceerka.
37 Ninajua ya kuwa ninyi ni wazao wa Abrahamu, lakini mnatafuta wasaa wa kuniua kwa sababu ndani yenu hamna nafasi ya neno langu.
min nyumom kom nubo lo Abrahime, kom cwiti nakom twallumye wori ker miro manki fiye yime more kume.
38 Ninasema yale niliyoyaona mbele za Baba yangu, nanyi inawapa kufanya yale mliyosikia kutoka kwa baba yenu.”
mitok dike mito Tee minine, kume keneu kom ki madike kom nuwa Tee kume nine.”
39 Wakajibu, “Baba yetu ni Abrahamu.” Yesu akawaambia, “Kama mngekuwa wazao wa Abrahamu mngefanya mambo yale aliyofanya Abrahamu.
Ciin ciya ciiki, “Tee ce Ibrahim.” Yeecu yi cii ki, na kom na Ibrahimece ri komki ma dike Ibrahim maneu.
40 Lakini sasa ninyi mnatafuta kuniua, mtu ambaye nimewaambia kweli ile niliyosikia kutoka kwa Mungu, Abrahamu hakufanya jambo la namna hii.
Naweu kom cwiti nakom twallum ye, nii wo yikom dike ci nuwa Kwama ninneu. Ibrahim mabo wuro.
41 Ninyi mnafanya mambo afanyayo baba yenu.” Wakamjibu, “Sisi hatukuzaliwa kwa uzinzi. Tunaye Baba mmoja, Mungu pekee.”
Kom ma nangen tee kumerti. Ciiki, “cii bo nyobo mor kayaka, nyi ki tee wiin Kwama.
42 Yesu akawaambia, “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda, kwa maana nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa ajili yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
Yeecu nyi cii, “No Kwama Tee kumeri kom ki cwi ye, wori mi bou Kwama nin lamin wo, mi boubo dor miir, co ci tomu yere.
43 Kwa nini hamwelewi ninayowaambia? Ni kwa sababu hamwezi kusikia nisemacho.
Yebwi kom nyombo ker mire? Wori mani kom dol nuwaka kermiroti.
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu ibilisi, nanyi mnataka kutimiza matakwa ya baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo, wala hakushikana na kweli maana hamna kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa maana yeye ni mwongo na baba wa huo uongo.
Kom na tee kume bwe kelkele ce lari kom cwiti nakom dike ner tee kumereti. Cin nii twalka ki kaba dila ci tibo mor bilenke wori bilenke mani more ce. Kambo citok cwerke tiyeri, ciki tok ker dike ci matiye wori cin nii cwerke, tee nob cwerkeb tak.
45 Lakini kwa sababu nimewaambia kweli hamkuniamini!
Wori mitok bilenketi kom ko neka bilenkek fiye mi wiyeu.
46 Je, kuna yeyote miongoni mwenu awezaye kunithibitisha kuwa mwenye dhambi? Kama nawaambia yaliyo kweli, mbona hamniamini?
We more kume taye ki bwirangke? No matok bilenkeri, ye bwi mani kom ne bilenke tiye?
47 Yeye atokaye kwa Mungu husikia kile Mungu asemacho. Sababu ya ninyi kutosikia ni kwa kuwa hamtokani na Mungu.”
co wona Kwama ceu nuwa ker Kwamarti, kumeu mani kom nuwa ker Kwamaro ti wori kom kebo na Kwama ce.”
48 Wayahudi wakamjibu Yesu, “Je, hatuko sahihi tunaposema ya kwamba wewe ni Msamaria na ya kwamba una pepo mchafu?”
Yahudawa ciya co yiki, “Nyo tokbo bilenke kambo nya yi nyiki mun Nii Camariya la mwiki kelkeli ya?”
49 Yesu akawajibu, “Mimi sina pepo mchafu, bali ninamheshimu Baba yangu, nanyi mnanidharau.
Yeecu ciyaki, “Mimanki kelkeli, dila miki ne Tee mi dur, la kom neyebo dur.
50 Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.
mani mido duktangka dorekmik, nii dotiyeu wi co nii ma warka tiye.
51 Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn )
bilengke, miyikom, nubo wo bwangten ker miro tiyeu, mani buyati.” (aiōn )
52 Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn )
la yafudawa yi coki, lanyin nyimom munwi ki kelkeli. Ibrahim kange nob tomangebo buyam, dila muki, niwo bwanteng kermweri mani bwiyati.” (aiōn )
53 Je, wewe ni mkuu kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa na manabii ambao nao pia walikufa? Hivi wewe unajifanya kuwa nani?”
mulabo tee nye Ibrahim dwika wuro bwiyameu, munlaca? nob tomangebo buyam. munwe mutu dor miro mwere?
54 Yesu akawajibu, “Kama nikijitukuza utukufu wangu hauna maana. Baba yangu, huyo ambaye ninyi mnadai kuwa ni Mungu wenu, ndiye anitukuzaye mimi.
Yeecu ciya cii, “no duktang dor miro, duktangka mike na bwir, tee mi kuktang yere. wo kom yi kom kinco kwama kumeu.
55 Ingawa hamkumjua, mimi ninamjua. Kama ningesema simjui, ningekuwa mwongo kama ninyi, lakini mimi ninamjua na ninalitii neno lake.
kom nyomcobo, miu min nyimom co. non nyi miki mi nyom cobori, min yilam kom ni cwerke, nitoco inma fuwer neret.”
56 Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba angaliiona siku yangu, naye akaiona na akafurahi.”
tee kume Ibrahim mafuwer nere ki toka kaku miko, nitoco, inma fuwor neret.”
57 Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza hata miaka hamsini, wewe wasema umemwona Abrahamu?”
yafudawa yii, mulabo coro kwini nung burin, muntom Ibrahim wiya?
58 Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, ‘Mimi niko.’”
Yeecu ciyacii, “bilengke, bilengke miyi kom, na nyi me ci bo Ibrahim, in mo.”
59 Ndipo wakaokota mawe ili kumpiga, lakini Yesu akajificha, naye akatoka Hekaluni.
ciin yetero cii yam nob co, dila Yeecu yurangum dor cero, cerum lo kwama.