< Yohana 7 >
1 Baada ya mambo haya, Yesu alikwenda sehemu mbalimbali za Galilaya. Hakutaka kwenda Uyahudi kwa sababu Wayahudi huko walitaka kumuua.
Maniyere hakon Iyesus Gelil datsatse bíananefere b́teshi, Ayhdiwots bín úd'osh geeyat boteshtsotse Yhud datsatse anaanosh falatse b́ tesh.
2 Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
Manoor Ayhdiyots daasiy baaliyo karnre b́ teshi.
3 Hivyo ndugu zake Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende Uyahudi ili wanafunzi Wako wapate kuona miujiza unayofanya.
Mansh b́ eshwots Iyesus maants t'int hank'o bo eti, «N danifwots n finiru fino bo bek'etwok'o hanoke tuur Yhud datso maants amee,
4 Mtu anayetaka kujulikana hafanyi mambo yake kwa siri. Kama unafanya mambo haya, jionyeshe kwa ulimwengu.”
Sháánátse danewosh geyiru asho b́ fino aashde finerake, neewor keewu jametsanotsi n finoŕ n tooko datsush n kitso geyife.»
5 Hata ndugu zake mwenyewe hawakumwamini.
Han bokeewwere bíeshwotswor dab bín amanerak bowottsoshe.
6 Yesu akawaambia, “Wakati wangu bado haujawadia, lakini wakati wenu upo siku zote.
Iyesuswere hank'o boosh bíet, «Tiaawo andoor borafa'ee, it aawonmó jamaawo itsh k'anke.
7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini unanichukia mimi kwa sababu ninawashuhudia kwamba matendo yao ni maovu.
Datsu iti shit'osh falratsane, Taanmó b fino gond́ b wottsok'o tkeewirwosh taan b́shit'iri.
8 Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”
It baaliyok ameree, taayere tiaawo andoor b́borafa'otse bali manok amatse.»
9 Akiisha kusema hayo, akabaki Galilaya.
Bí mank'o ett Galilon k'az b́ oori.
10 Lakini ndugu zake walipokwisha kuondoka kwenda kwenye Sikukuu, yeye pia alikwenda lakini kwa siri.
Ernmó bí eshuwots baaliyok k'az boamiyakon b́be'erawo ááshoń baaliyok bíamí.
11 Wayahudi walikuwa wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, “Yuko wapi huyu mtu?”
Balimanatsnowere «Bí eewke?» etfetst ayhudiwots bín bogeyiri bo tesh.
12 Kulikuwa na minongʼono iliyoenea kumhusu Yesu katika umati wa watu, wakati wengine wakisema, “Ni mtu mwema.” Wengine walikuwa wakisema, “La, yeye anawadanganya watu.”
Ashuwots b́ jango shaashkona bo keeweyri b́ tesh, ik ikuwots «Bí ash shenge» bo etor, k'oshwotswere dabt «Woteratse bí ashuwotsi b́ dariyirye» bo etir b́ tesh.
13 Lakini hakuna mtu yeyote aliyemsema waziwazi kumhusu kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.
Wotowa eree ayhudi naash naashwotsi bo shattsatse tuutso konwor b́ jango kish sháánon keewratse.
14 Ilipokaribia katikati ya Sikukuu, Yesu alipanda kwenda Hekaluni na kuanza kufundisha.
Baliyiman badatse Iyesus Ik móóts amt daniyo dek' b́twi.
15 Wayahudi wakastaajabia mafundisho yake wakasema, “Mtu huyu amepataje kujua mambo haya bila kufundishwa?”
Ayhudiwotswere, «Ash han b́ danawo jaman ak'onya danosh b́ fali?» ett bo adir b́ tesh.
16 Ndipo Yesu akawajibu, “Mafundisho yangu si yangu mwenyewe, bali yanatoka kwake yeye aliyenituma.
Mansh Iyesus hank'o ett boosh bíaani «T daniyoniye taan woshtsoke daatseka bako tiyokikaliye.
17 Mtu yeyote akipenda kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho yangu yanatoka kwa Mungu au ninasema kwa ajili yangu mwenyewe.
Taan woshtso b́ geyirwo k'alosh shuntso b́ beyal daniyeyiru danań Ik'oke daatsek wee taa t tookon tkeewirwo b́ woto danetwe.
18 Wale wanenao kwa ajili yao wenyewe hufanya hivyo kwa kutaka utukufu wao wenyewe. Lakini yeye atafutaye utukufu wa yule aliyemtuma ni wa kweli, wala hakuna uongo ndani yake.
B́took keew keewirwo b́ took manga b́ geefoni, woshtso mango geyirwonmo bi arkeewke, kootonwere deshatse.
19 Je, Mose hakuwapa ninyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja wenu anayeishika hiyo sheria. Kwa nini mnataka kuniua?”
Muse nemo itsh imroshna? ititsnmó nemon sha'irwo konwor aaliye. It eegoshe taan úd'osh itgeyiri?»
20 Ule umati wa watu ukamjibu, “Wewe una pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?”
Ash ashonwere «Niyatsne fo'erawoniye fa'oni, neen úd'osh kone geyirwoni?» boet.
21 Yesu akawajibu, “Nimefanya muujiza mmoja na nyote mkastaajabu.
Iyesuswere hank'o ett boosh bíaaniy, «Taa ik fino finere, it jametswere fin man jangosh it adiri.
22 Lakini kwa kuwa Mose aliwaamuru tohara (ingawa kwa kweli haikutoka kwa Mose bali kwa baba zenu wakuu), mnamtahiri mtoto hata siku ya Sabato.
Muse gof damiy nemo itsh imre, nemanwere b́waa nih nihwotsokna bako Musewoknaliy, itmo Ik' aawon ashuwotsi gofo it damiri.
23 Ikiwa mtoto aweza kutahiriwa siku ya Sabato kusudi sheria ya Mose isivunjwe, kwa nini mnanikasirikia kwa kumponya mtu mwili wake wote siku ya Sabato?
Eshe Muse weeron imets nemo tiitserawok'o ett sanbati aawon asho gofo damiyeyiri wotiyal, taa sanbati aawots ash ats jamo t kashitsosh eegishe taan it fayiri?
24 Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”
Ariko angshwere bako ash aawo s'iilr k'uuride angshk'ayere.»
25 Ndipo baadhi ya watu wa Yerusalemu wakawa wanasema, “Tazameni, huyu si yule mtu wanayetaka kumuua?
Iyerusalem ash ashuwotsitse ik ikwots hank'o bo et, «Úd'osh bogeyiru asho haniyoshna?»
26 Mbona yuko hapa anazungumza hadharani na wala hawamwambii neno lolote? Je, inawezekana viongozi wanafahamu kuwa huyu ndiye Kristo?
Hambe! biye shiratsne b́ keewiri, boowere bísh eegor eratsne, ashaan Krstosi b́ wottsok'o arikon naash naashwots danfnok'úna?
27 Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini Kristo atakapokuja, hakuna yeyote atakayejua atokako.”
B́wotiyalor ashaan ewkiko b́wottsok'o no danfone, Krstos b́woormo ewkik b́wottsok'o danetwo konwor aaliye.
28 Ndipo Yesu, akaendelea kufundisha Hekaluni, akisema, “Ninyi mnanifahamu na kujua nitokako. Mimi sikuja kwa ajili yangu mwenyewe, bali yeye aliyenituma ni wa kweli na ninyi hammjui.
Mansh Iyesus Ik' mootse b́ danifere k'aro eensh dek't hank'o bíet, «Taan danfte, ewuke twatsok'onowere danfte, ernmó taa t took alon waratse, taan woshtso bí arkeewetske, itmó bín danatste.
29 Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”
Taayere biyoke twaatsonat bí taan b́woshtsotse taa bin danfee.»
30 Ndipo wakatafuta kumkamata, lakini hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumshika kwa sababu saa yake ilikuwa bado haijawadia.
Manoor bín detsosh geyatni botesh, ernmó bíaawo b́borafa'otse konwor bín deshatse.
31 Nao watu wengi wakamwamini, wakasema, “Je, Kristo atakapokuja, atafanya miujiza mikuu zaidi kuliko aliyoifanya mtu huyu?”
B́wotiyalor ash ashotse ayuwots bín boaani, hank'owere etrno «Krstos b́woormo ashaan b́k'alts aditswotsiyere bogeya b́ finiti?»
32 Mafarisayo wakasikia watu wakinongʼona mambo kama hayo kuhusu Yesu, ndipo wao pamoja na viongozi wa makuhani wakatuma walinzi wa Hekalu waende kumkamata.
Ash ashuwots Iyesus jango shashkon bokeewefere ferisawino eteefwots bo shishi, mansh kahniy naashwotsnat ferisawino eteefuwotsn Iyesusi detsiyosh Ik' maa kotfuwotssh bokeewi.
33 Yesu akasema, “Mimi bado niko pamoja nanyi kwa kitambo kidogo, kisha nitarudi kwake yeye aliyenituma.
Manoor Iyesus hank'o bíet, «Itnton muk'i teshetwe, maniyere okoon taan woshtsok ametuwe,
34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”
It taan geyitute, ernmó taan daatsratste, taa t beyok woo it falratste.»
35 Wayahudi wakaulizana wao kwa wao, “Huyu mtu anataka kwenda wapi ambako hatuwezi kumfuata? Je, anataka kwenda kwa Wayunani ambako baadhi ya watu wetu wametawanyikia, akawafundishe Wayunani?
Mansh ayhudiwots bo atsatsewosh hank'o bo et, «Bín nodaatsrawok'o ashaan ewkek'una bíameti? Daneraka Grik dats ashuwots dagots bad'ts ayhudiwotsok amr Ik' danawu ashuwotsi danishe k'úna?
36 Yeye ana maana gani anaposema, ‘Mtanitafuta lakini hamtaniona,’ na, ‘nami niliko ninyi hamwezi kuja’?”
‹Taan geyitute, ernmó daatsratste taa tbeyirwok wosh falatste› bíetor eeg etoshe?»
37 Siku ile ya mwisho ya Sikukuu, siku ile kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, akapaza sauti yake akasema, “Kama mtu yeyote anaona kiu na aje kwangu anywe.
Baaliyi s'uwi aawu wotts een aawots Iyesus need'dek't b́ k'aaro eenshdek't hank'o bíet, «Aats shashutso fa'e wotiyal t maants waar úyee.
38 Yeyote aniaminiye mimi, kama Maandiko yasemavyo, vijito vya maji ya uzima vitatiririka ndani mwake.”
Taan amantso S'ayin mas'aafotse bíetiruwo kash ats t'uup'o b́ gitsotse t'uup'tuwe.»
39 Yesu aliposema haya alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea, kwani mpaka wakati huo, Roho alikuwa hajatolewa, kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa.
Han bíetirwe bíń amanitwots bodek'et S'ayin shayiri jangosha b́tesh, Iyesus mango maants b́ keyafa'otse S'ayin shayiro imerafa'e b́tesh.
40 Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu miongoni mwa ule umati wakasema, “Hakika huyu ndiye yule Nabii.”
Mann ash ashi dagotse Ik ikwots keewman boshishtsok'on, «Weetwe eteets nebiyiwo arikon haniye» boet.
41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine wakauliza, “Je, Kristo kwao ni Galilaya?
K'oshwotswere «Han Krstosiye» bo eti. K'atswotsmó «Krstos b́weet Gelilneya?
42 Je, Maandiko hayasemi kwamba Kristo atakuja kutoka jamaa ya Daudi na kutoka Bethlehemu, mji alioishi Daudi?”
Krstos b́shuwet Dawit narotsnat Dawit kitotse Betelihemitse b́ weetwok'o S'ayin mas'fotse guut'roshna?» bo et.
43 Kwa hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Yesu.
Mann ash ashi dagotse b́ jangatse tuutson k'osh k'oshewo wotb́wutsi.
44 Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.
Boyitse ik ikwots bín detsosh geerno botesh, s'uznmó konwor bíndeshatse.
45 Hatimaye wale walinzi wa Hekalu wakarudi kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Yesu, wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?”
Maniye hakon kot kotfuwots kahni naashuwotsnat ferisawiwots maants aanat boami, boowere «Eegishe bín dek'woo it k'azi?» bo boeti.
46 Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”
Kes' kes'fwotswere, «Ashaan b́ keewiru keewi naaro konúwor keew danake» ett boaaniyi.
47 Mafarisayo wakajibu, “Je, nanyi pia mmedanganyika?
Ferisawino eteefwotsmó hank'o boeti, «Itwere daarisheya?
48 Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?
Wotowabako naash naashotse wee ferisawino eteefwotsitse bín amantso fa'a?
49 Lakini huu umati wa watu wasiojua Sheria ya Mose, wamelaaniwa.”
Muse nemo danawu ash ashaan arikon c'asheke.»
50 Ndipo Nikodemo, yule aliyekuwa amemwendea Yesu siku moja usiku, ambaye alikuwa mmoja wao akauliza,
Haniyre shin Iyesusok amt teshtsonat fersawiwotsitse iko wottso Nik'odimos,
51 “Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”
«No nemok'on ash iko shin b́ keewo keewu b́de'e k'ewdek'fetsere aaninwere eeg b́k'altsok'owo danfitsere bí ats angshefá?» bíet.
52 Wakamjibu, “Je, wewe pia unatoka Galilaya? Chunguza nawe utaona kwamba hakuna nabii atokae Galilaya!” [
Bowere, «Nee were Gelil maantsknenya? nebiyiwo Gelilitse b́ tuurawok'o p'ec'ar shuu'de dane» bo et.
53 Kisha wakaondoka, kila mtu akarudi nyumbani kwake.
Maniye il jametso b́ gal gal k'az bíami.