< Yohana 6 >
1 Baada ya haya, Yesu alikwenda ngʼambo ya Bahari ya Galilaya, ambayo pia huitwa Bahari ya Tiberia.
Panyuma pakendi Yesu walatampuka lwenje lwa Galileya ulo kayi lwalikukwiweti lwenje lwa Tibeliyo
2 Umati mkubwa wa watu uliendelea kumfuata, kwa sababu waliona ishara nyingi za miujiza alizofanya kwa wagonjwa.
Likoto linene lyalamukonkela, pacebo cakwambeti lyalabona bingashilo byeshi kukankamanisha mbyalensa pakushilika balwashi.
3 Kisha Yesu akapanda mlimani akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.
Yesu walatanta mulundu ne kwikala panshi ne beshikwiya bakendi.
4 Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
Lino kusekelela kwa Pasika kwalaseng'ena pepi.
5 Yesu alipotazama na kuuona ule umati mkubwa wa watu ukimjia, akamwambia Filipo, “Tutanunua wapi mikate ili watu hawa wale?”
Lino Yesu mpwalalangishisha, walabona likoto lyabantu linene lisa nkalisa kulyendiye. Lino nendi walepusha Filipo, “Sena ngatuya tula kupeyo cakulya cakulyesha bantu bonse aba?”
6 Aliuliza swali hili kumpima, kwa maana alishajua la kufanya.
Walepushila nsulo kwambeti amweleshe Filipo, nsombi mwine walikwinshiba cakwinsa.
7 Filipo akamjibu, “Hata fedha kiasi cha dinari mia mbili, hazitoshi kununua mikate ya kuwapa watu hawa ili kila mtu apate kidogo.”
Filipo walakumbuleti, “Nambi mali akwana masauzande ali 200 nkelakukwana kula cakulya cakwambeti uliyense alyeko nambi pang'ana.”
8 Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia,
Weshikwiya wakendi umbi, lina lyakendi Ndileya, mukwabo Shimoni Petulo, walambila Yesu eti,
9 “Hapa kuna mvulana mmoja mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa umati huu wote?”
“Pali mutuloba pano, ukute shinkwa usanu ne tunswi tubili. Nomba sena ngatukwana bantu bonse aba?”
10 Yesu akasema, “Waketisheni watu chini.” Palikuwa na majani mengi katika eneo lile, nao watu wakaketi. Palikuwa na wanaume wapatao 5,000.
Yesu walambeti, “Bambileni bantu bekale panshi.” Popelapo palikuba mila yamwemfu ingi, nabo bantu abo balekala panshi. Batuloba bonka balikubapo balikuba bakwana 5,000.
11 Ndipo Yesu akachukua ile mikate, akamshukuru Mungu na kuwagawia wale watu waliokuwa wameketi. Akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
Lino walamanta shinkwa usa, mpwalalumba Lesa, walabayabila bantu abo balikuba bekala panshi. Walensa copeleco ne tunswi tusa, nekubayabila bantu abo mobalikuyandila.
12 Watu wote walipokwisha kula na kushiba, akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee chochote.”
Bantu bonse abo mpobalekuta, Yesu walambila Beshikwiya bakendi, “Yowelani byashalanga panshi kwambeti kabitatayanikowa.”
13 Hivyo wakavikusanya, wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya ile mikate mitano ya shayiri na samaki wale wawili wadogo vilivyobakishwa na waliokula.
Nomba balayowela byonse bya shinkwa usanu usa, ne kwisusha mitanga likumi ne ibili.
14 Baada ya watu kuona muujiza ule Yesu aliofanya, walianza kusema, “Hakika huyu ndiye Nabii ajaye ulimwenguni!”
Bantu basa mpobalabona ceshikukankamanisha ncalensa Yesu, balambeti, “Cancine ncine uyu nimushinshimi usa ngobalikwambeti nakese panshi pano.”
15 Yesu akijua kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda milimani peke yake.
Yesu walenshiba kwambeti bantu abo balikuyandeti bamwikate ne kumubika pabwami cakumukakatisha. Neco walaya kayi kumulundu kwayenka.
16 Ilipofika jioni, wanafunzi wake waliteremka kwenda baharini.
Mansailo, beshikwiya ba Yesu balaya ku Lwenje.
17 Wakaingia kwenye mashua, wakaanza kuvuka bahari kwenda Kapernaumu. Wakati huu kulikuwa tayari giza na Yesu alikuwa hajajumuika nao.
Kopeloko balengila mubwato kwambeti batampuke lwenje kuya ku Kapelenaumu. Kwalashipa Yesu nkatana uya kulyendibo.
18 Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
Pacindici kwalikuba cipuupu cinene, neco palaba mankape pa menshi.
19 Wanafunzi walipokuwa wamekwenda mwendo wa karibu maili tatu au nne, walimwona Yesu akitembea juu ya maji akikaribia mashua, nao wakaogopa sana.
Beshikwiya mpobalendako makilomita akwana atatu nambi ana, balabona Yesu nkenda pa menshi nkesa pepi kubwato bwabo, neco nabo balatina.
20 Lakini Yesu akawaambia, “Ni mimi. Msiogope.”
Nsombi Yesu walambeti, “Njame, mutatina.”
21 Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda.
Lino balikuyandeti engile mubwato nomba pacindi copeleco bwato bwalashika kutala kwa Lwenje nkobalikuya.
22 Siku iliyofuata, wale watu waliokuwa wamebaki ngʼambo waliona kwamba palikuwepo na mashua moja tu na kwamba Yesu hakuwa ameondoka pamoja na wanafunzi wake, ila walikuwa wameondoka peke yao.
Lino mumene mene likoto lya bantu lyalashalila kutala kwa lwenje, lyalenshiba kwambeti panga bwato bumo. Kayi bantu balenshiba kwambeti Yesu liya kwingilamo mubwato ubo beshikwiya bakendi balaya bonka.
23 Lakini zikaja mashua nyingine kutoka Tiberia zikafika karibu na mahali pale walipokula mikate baada ya Bwana kumshukuru Mungu.
Lino mato nambi alafumina ku Tibeliyasi alashika pepi ne busena bantu basa mpobalyela cakulya Mwami mpalalumba Lesa.
24 Mara wale watu wakatambua kwamba Yesu hakuwepo hapo, wala wanafunzi wake. Wakaingia kwenye mashua hizo, wakaenda Kapernaumu ili kumtafuta Yesu.
Likoto lisa lyalaboneti Yesu kuliya, nabo beshikwiya bakendi kuliya, bantu bonse basa balengila mubwato busa, nekuya ku kapelenaumu akuyandaula Yesu.
25 Walipomkuta Yesu ngʼambo ya bahari wakamuuliza, “Rabi, umefika lini huku?”
Mpobalamucana Yesu kutala kwa lwenje, balamwipusheti, “Bashikwiyisha, mwalashika lilyoni kuno?”
26 Yesu akawajibu, “Amin, amin nawaambia, ninyi hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na miujiza, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
Yesu walambeti, “Kwamba cakubinga, amwe mwanangaulanga pacebo cakwambeti mwalalya cakulya nekwikuta, nteko kwambeti mwalanyumfwishisha bikankamanisho bisa ncebyalikwamba sobwe.
27 Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios )
Kamutasebensanga kwambeti mucane cakulya cikute konongeka, nsombi musebensenga kwambeti mucane cakulya ceshikwikalilila, buyumi butapu. Mwana Muntu endiye wela kumupa cakulya copeleci, pakwinga Lesa Bata mpobalabika cinshibilo ca kusuminisha kwabo.” (aiōnios )
28 Ndipo wakamuuliza, “Tufanye nini ili tupate kuitenda kazi ya Mungu?”
Nabo balamwipusheti, “Twinse aconi kwambeti tukonke mbyalayandanga Lesa?”
29 Yesu akawajibu, “Kazi ya Mungu ndiyo hii: Mwaminini yeye aliyetumwa naye.”
Yesu walabakumbuleti, “Lesa ncalayandanga kwambeti mwinse nikushoma ame ndalatumwa ne Lesa.”
30 Hivyo wakamuuliza, “Utafanya ishara gani ya muujiza, ili tuione tukuamini? Utafanya jambo gani?
Kayi balamwipusheti, “Ningamutubonesha cingashilo camushobo cini kwambeti twacibona tumushome? Nimwinsepo cani?
31 Baba zetu walikula mana jangwani, kama ilivyoandikwa, ‘Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.’”
Bashali betu bali kulya mana mucinyika musa, mbuli Mabala a Lesa ncalambangeti, ‘walikubapa cakulya ceshi kufuma kwilu kwambeti balye.’”
32 Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, si Mose aliyewapa mikate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.
Yesu walambeti, “Ndamwambilinga cakubinga kwambeti nte Mose walikubapa cakulya calikufuma kwilu sobwe, nsombi ni Bata. Mbuli Bata ncabalamupanga cakulya cancine ncine pacino cindi cilafumunga kwilu.
33 Kwa maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.”
Pakwinga cakulya Lesa ncakute kupa, endico ceshikufuma kwilu, ceshikupa buyumi kubantu bonse ba mucishi capanshi.”
34 Wakamwambia, “Bwana, kuanzia sasa tupatie huo mkate siku zote.”
Popelapo balambeti, “Mwami, kamutupanga cakulya ici masuba onse.”
35 Yesu akawaambia, “Mimi ndimi mkate wa uzima. Yeye ajaye kwangu, hataona njaa kamwe na yeye aniaminiye, hataona kiu kamwe.
Yesu walabambileti, “Njame shinkwa ceshikupa buyumi. Uliyense lesanga kuli njame nekunshoma nteshi akanyumfwe nsala. Kayi uliyense lashomonga njame, nteshi akanyumfwe nyotwa.
36 Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.
Mbuli ncondalamwambileti kumbona mulambononga, nsombi nkamulashomonga.
37 Wale wote anipao Baba watakuja kwangu na yeyote ajaye kwangu, sitamfukuzia nje kamwe.
Abo bonse mbobampa bata, nibakese kuli njame, nomba muntu uliyense lesanga kuli njame, nteshi nkamukane.
38 Kwa kuwa nimeshuka kutoka mbinguni si ili kufanya mapenzi yangu, bali mapenzi yake yeye aliyenituma.
Pakwinga ndalafuma kwilu kwisakwinsa kuyanda kwa uyo walantuma, kutambeti njinse kuyanda kwakame sobwe.
39 Haya ndiyo mapenzi yake yeye aliyenituma, kwamba, nisimpoteze hata mmoja wa wale alionipa, bali niwafufue siku ya mwisho.
Kuyanda kwa uyo walantuma nikwambeti mbule kutaya nambi umo pali abo mbalampa, nsombi kwambeti nkabapundushe kubafu pabusuba bwakupwililisha.
40 Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios )
Pakwinga Bata ncobalayandanga nikwambeti muntu uliyense lamubono Mwanoyo nekumushoma, akabe ne buyumi butapu. Kai ame ninkamupundushe kufuma kubafu pabusuba bwa kupwililisha.” (aiōnios )
41 Wayahudi wakaanza kunungʼunika kwa kuwa alisema, “Mimi ndimi mkate ulioshuka kutoka mbinguni.”
Popelapo Bayuda nabambi balatatika kung'unung'usha cebo cakwambeti Yesu walambeti, “Ame njame shinkwa walafuma kwilu.”
42 Wakasema, “Huyu si Yesu, mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua? Anawezaje basi sasa kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”
Pacebo ici balambeti, “Se uyu nte Yesu mwanendi Yosefe usa? Baishi ne banyina tubenshi. Nomba nicani lambangeti, Ndalafuma kwilu?”
43 Hivyo Yesu akawaambia, “Acheni kunungʼunikiana ninyi kwa ninyi.
Yesu walabakumbuleti, “Mutang'unung'ushanga pakati penu.
44 Hakuna mtu awezaye kuja kwangu kama asipovutwa na Baba aliyenituma, nami nitamfufua siku ya mwisho.
Paliya wela kwisa kuli njame, nsombi Bata balantuma ebelakumuleta kuli njame. Nomba na ucikonsha kwisa kulinjame ninkamupundushe kubafu pabusuba bwa kupwililisha.
45 Imeandikwa katika Manabii, ‘Wote watafundishwa na Mungu.’ Yeyote amsikilizaye Baba na kujifunza kutoka kwake, huyo huja kwangu.
Bashinshimi balalembeti, ‘Lesa nakamwiyishe muntu uliyense.’ Pakwinga muntu uliyense lanyumfwilinga Bata, nekwiya kulyendibo, ukute kwisa kuli njame.
46 Hakuna mtu yeyote aliyemwona Baba isipokuwa yeye atokaye kwa Mungu, yeye ndiye peke yake aliyemwona Baba.
Ici nkacilapandululungeti pali muntu walababonapo Bata sobwe, nsombi uyo enka walafuma kuli Lesa ewalababona.
47 Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios )
Ndamwambilinga cakubingeti uyo lanshomonga ukute buyumi butapu. (aiōnios )
48 Mimi ni mkate wa uzima.
Ame njame shinkwa ceshikupa buyumi.
49 Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
Bashali benu balikulya mana mucinyika musa, nikukabeco balafwa.
50 Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.
Nomba shinkwa uwu walafuma kwilu, muntu aulya nteshi akafwe.
51 Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
Ame ndeshinkwa weshikupa buyumi walafuma kwilu. Na muntu uliyense ulya shinkwa uwu, nakabe nebuyumi butapu. Shinkwa weshinkamupe nimubili wakame, ngoshi nkape kwambeti bantu bonse bapacishi capanshi babe nebuyumi.” (aiōn )
52 Ndipo Wayahudi wakaanza kuhojiana vikali wao kwa wao wakisema, “Mtu huyu awezaje kutupatia mwili wake tuule?”
Popelapo Bayuda basa balatatika kutotekeshana bonka, kabambeti, “Ngatulya aconi mubili wakendi?”
53 Hivyo Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu.
Yesu walambeti, “Ndamwambilinga cakubinga, Na mubula kulya mubili wa Mwana Muntu nekunwa milopa yakendi, nkamwela kuba nebuyumi muli njamwe.
54 Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Uliyense lalinga mubili wakame nekunwa milopa yakame, ukute buyumi butapu, ame ninkamupundushe kubafu pa busuba bwa kupwililisha. (aiōnios )
55 Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
Pakwinga mubili wakame shinkwa wacancine ncine, kayi milopa yakame ecakunwa cancine ncine.
56 Yeyote alaye mwili wangu na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami nitakaa ndani yake.
Uliyense lalinga mubili wakame nekunwa milopa yakame ukute kwikala mulinjame, nenjame nkute kwikala mulyendiye.
57 Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, na kama nami ninavyoishi kwa sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa sababu yangu.
Mbuli Bata bayumi balantuma, kayi nenjame ndemuyumi pakuba mulyendibo, copeleco uliyense lalinga mubili wakame, nakabe nebuyumi pakuba mulinjame.
58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn )
Shinkwa walafuma kwilu ni wopelowu. Wapusana ne mana asa bashali benu ngobalikulya, nsombi panyuma pakendi balikabafwa. Nomba lalinga shinkwa wopelowu, nakabe nebuyumi butapu.” (aiōn )
59 Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.
Yesu walamba ibi mpwalikwiyisha munga'nda yakupaililamo ku kapelenaumu.
60 Wengi wa wafuasi wake waliposikia jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?”
Beshikwiya bangi mpobalamunyumfwa kambeco balambeti, “Ciyo ici cayuma, niyani wela kucinyumfwishisha?”
61 Yesu alipojua kwamba wafuasi wake wananungʼunika kuhusu mafundisho yake, akawaambia, “Je, jambo hili limewaudhi?
Yesu walenshiba mumoyo mwakendi kwambeti beshikwiya bakendi balatongaukunga. Neco walabepusheti, “Sena mulepilwa?
62 Ingekuwaje basi kama mngemwona Mwana wa Adamu akipaa kwenda zake huko alipokuwa kwanza?
Nomba nimukense aconi mwakabona Mwana Muntu kaya kwilu nkwalikuba?
63 Roho ndiye atiaye uzima, mwili haufai kitu. Maneno haya niliyowaambia ni Roho tena ni uzima.
Mushimu wa Lesa eukute kupa buyumi, mubili paliya ncokute. Maswi ngondamwambili akute kuleta mushimu wa Lesa ukute kupa buyumi.
64 Lakini baadhi yenu hamwamini.” Kwa maana Yesu alifahamu tangu mwanzo wale ambao hawangemwamini miongoni mwao na yule ambaye angemsaliti.
Nomba pali nabambi pali amwe balabulunga kushoma.” Pakwinga Yesu walenshiba kendi eshakabule kumushoma, walamwinshibila limo weshakamuyabe kubalwani bakendi.
65 Akaendelea kusema, “Hii ndiyo sababu niliwaambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu.”
Lino walambeti, “Weco ndamwambilingeti paliya muntu wela kwisa kuli njame na Bata baliya kumupa ngofu sha kwisa kuli njame.”
66 Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.
Kufumapo beshikwiya bangi ba Yesu balamushiya ne kucileka kwenda nendi.
67 Hivyo Yesu akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”
Lino Yesu walepusha beshikwiya likumi ne babili basa, “Nomba amwe nkamulandanga kuya?”
68 Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios )
Shimoni Petulo walambeti, “Mwami, nomba ngatuya kuli bani? Njamwe mukute maswi eshikupa buyumi butapu. (aiōnios )
69 Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”
Afwe twashoma kayi tucinshi kwambeti njamwe Waswepa walafuma kuli Lesa.”
70 Ndipo Yesu akajibu, “Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Lakini mmoja wenu ni ibilisi.”
Lino Yesu walambeti, “Sena ntame ndalamusala amwe omuli likumi ne babili? Nsombi umo pali amwe ni Satana”
71 (Hapa alikuwa anasema juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskariote. Ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili, ndiye ambaye baadaye angemsaliti Yesu.)
Walikwamba Yuda, mwanendi Shimoni Isikalyoti. Nambi walikuba umo pali basa beshikwiya likumi ne babili, ewalamuyaba kubalwani bakendi.