< Yohana 5 >
1 Baada ya haya, kulikuwa na Sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akapanda kwenda Yerusalemu.
Baada yepo hwali neshikulukulusha Yahudi no Yesu alizubhile abhale hu Yelusalemu.
2 Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, palikuwa na bwawa moja lililoitwa kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa limezungukwa na kumbi tano.
Hula hu Yelusalemu hwali ni birika pandyango gwe ngole, lyalyalihwetwa hu lugha yeShiabrania hu Bethzatha, lyape lili na matao gasanu.
3 Hapa palikuwa na idadi kubwa ya wasiojiweza, yaani, vipofu, viwete, na waliopooza [wakingojea maji yatibuliwe.
Abhantu bhinji abhinu bhahali, ampofu, avewete, bhabhahomele bhali bhagonile mumatao ego. (Khatililaga: Amazu ge sitali 3 segabhoneha mu nakala enyinza zi mwaha. “Bhagolezezye amenze avwalanganye.”') Hwa hali owakati umo ohalozelu muhati ya Gosi na vwalanganye menze.
4 Kwa maana malaika alikuwa akishuka wakati fulani, akayatibua maji. Yule aliyekuwa wa kwanza kuingia ndani baada ya maji kutibuliwa alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao].
Ola wa hali wa kwanza ahwinjile muhati amenze nagavwalanganywa oyo abhanga mwomi afumilane na hahonti hahali ha khetwe omuda ogwo.
5 Mtu mmoja alikuwako huko ambaye alikuwa ameugua kwa miaka thelathini na minane.
No muntu wali abhinile humaha thelathini na nane wli mhati ye matao.
6 Yesu alipomwona akiwa amelala hapo, naye akijua kuwa amekuwa hapo kwa muda mrefu, akamwambia, “Je, wataka kuponywa?”
O Yesu nalolile agonile mhati ye matao nawamanya aje agonile pala omuda gwinji oYesu abhozya, “Ajile ohwanza abhe mwomi?”
7 Yule mgonjwa akamjibu, “Bwana, mimi sina mtu wa kuniingiza bwawani maji yanapotibuliwa. Nami ninapotaka kutumbukia bwawani, mtu mwingine huingia kabla yangu.”
Ola abhinu ajile, “Gosi sendi no muntu wambeshe mwi birika omuda amenze nagavwalanganywa. Lwelenga ahwinjile omuntu owenje antangulila.”
8 Yesu akamwambia, “Inuka! Chukua mkeka wako na uende.”
O Yesu wabhozya, “Bhoha ayeje igodolo lya ho obhalaje.”
9 Mara yule mtu akapona, akachukua mkeka wake, akaanza kutembea. Basi siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato.
Omuntu ola wapona, wega eshitala shakwe na wabhala. Isiku elyo lyali lisiku lye Sabato.
10 Kwa hiyo Wayahudi wakamwambia yule mtu aliyeponywa, “Leo ni Sabato, si halali wewe kubeba mkeka wako.”
Ayahudi bhabhozya omuntu ola waponyiziwe, “Sanyono lisiku lya Sabato, solohusiwa abebe igodoro lyaho.”
11 Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’”
Omwene ajile waponiziwe yayoyo wambozezye, “Ege igodoro lyaho bhalaga.”
12 Wakamuuliza, “Ni mtu gani huyo aliyekuambia uchukue mkeka wako uende?”
Bhabhozezye, “Wenu wabhozyezye 'Ege igodoro lyaho bhalaga?'”
13 Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni nani aliyemponya, kwa sababu Yesu alikuwa amejiondoa katika ule umati wa watu uliokuwa hapo.
Haha nkashe ola waponile sagamenye, afwatanaje oYesu ali asogoye shi siri. Afuatanaje hwali awantu winji esehemu eyo.
14 Baadaye Yesu akamkuta yule mtu aliyemponya ndani ya Hekalu na kumwambia, “Tazama umeponywa, usitende dhambi tena. La sivyo, lisije likakupata jambo baya zaidi.”
Pamande yakwe oYesu amweje ola umuntu mshibhanza na hubhozye, “Enya, aponole! “Uganje abhombe mbibhi nantele ogakhomana ni jambo ibhibhi sana.”
15 Yule mtu akaenda, akawaambia wale Wayahudi kuwa ni Yesu aliyemponya.
Omuntu ola abhalile abhabhozye Ayahudi aje oYesu wamponezye.
16 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kumsumbua Yesu, kwa sababu alikuwa anafanya mambo kama hayo siku ya Sabato.
Eshi, afuatanaje amambo ego Ayahudi bhayemvezye oYesu, afuatanaje abhombile amambo ega isiku lye Sabato.
17 Yesu akawajibu, “Baba yangu anafanya kazi yake daima hata siku hii ya leo, nami pia ninafanya kazi.”
O Yesu wabhabhozya, “Odaada wane abhomba embombo paka esalezi nane ebhomba embombo.”
18 Maneno haya yaliwaudhi sana viongozi wa Wayahudi. Wakajaribu kila njia wapate jinsi ya kumuua, kwani si kwamba alivunja Sabato tu, bali alikuwa akimwita Mungu Baba yake, hivyo kujifanya sawa na Mungu.
Hunamuna eye Ayahudi bhahendeleye azidi bhahanzaga aje sababu yanankanye eSabato, ila hukwizye Ongolobhe oDaada wakwe, alihweshele sawa no Ngolobhe.
19 Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, Mwana hawezi kufanya jambo lolote peke yake, yeye aweza tu kufanya lile analomwona Baba yake akifanya, kwa maana lolote afanyalo Baba, Mwana pia hufanya vivyo hivyo.
O Yesu ajile, “Etesheli, etesheli, Omwana sagabhomba ahantu hahonti ila hala halolile Oise wakwe abhomba, afuatanaje hahonti habhomba Oise haheho hanzabhombe Omwana.
20 Baba ampenda Mwana na kumwonyesha yale ambayo yeye Baba mwenyewe anayafanya, naye atamwonyesha kazi kuu kuliko hizi ili mpate kushangaa.
Afuatanaje oDaada agene Omwana, na ahulanga kila hantu habhomba na ahaulanga amambo amagosi ashile ega ili nkamuswigage.”
21 Hakika kama vile Baba awafufuavyo wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo Mwana huwapa uzima wale anaopenda.
Afuatanaje nanshi shila oDaada nafufula awafwe na abhapele owomi, sheshesho Omwana wope ahupele wowonti wagene.
22 Wala Baba hamhukumu mtu yeyote, lakini hukumu yote amempa Mwana,
Afuatane naje oDaada sahulonga wowonti, ila apiye Omwana alonje hwonti
23 ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote asiyemheshimu Mwana, hamheshimu Baba aliyemtuma.
ili bhonti bhamwogope Omwana sebhahu mwogopa oDaada. Umwene wasihumwogopa Omwana sahamwogope no Daada wantumile.
24 “Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios )
Eteshela, eteshela, omwene wahonvwa izu lyane na humweteshele wantumile ali no womi we wilawila na sagailongwa. Yaani ashilile afume hunfwa ahwinjile huwomi. (aiōnios )
25 Amin, amin nawaambia, saa yaja, nayo saa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia watakuwa hai.
Eteshela, eteshela, embabhozya ensiku zihwenza na zihweli lula abhafwe nabhayovnwa izu lyakwe Omwana wa Ngolobhe, na bhonti bhabhayonvwa waikhala.
26 Kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake, vivyo hivyo amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake.
Nanshi shila oDaada shali nowomi mhati yakwe yoyo,
27 Naye amempa Mwanawe mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu.
shesho apiye Omwana abhe no womi wope oDaada apiye Omwana amamlaka ili aje alongaje afuatanaje Mwana wa Adamu.
28 “Msishangae kusikia haya, kwa maana saa inakuja ambapo wale walio makaburini wataisikia sauti yake.
Munganje shangale hweli afuatanaje zihwenza ensiku abhafwe hbonti bhabhali mumakaburi bhayonvwa izu lyakwe
29 Nao watatoka nje, wale waliotenda mema watafufuka wapate uzima na wale waliotenda maovu, watafufuka wahukumiwe.
na bhope bhaifuma hunze: hwabhabhombaga enyinza ulyovyosyolwe womi, bhabhabhombaga embibhi oluvyosnsyo lwa longwe.
30 “Mimi siwezi kufanya jambo lolote peke yangu. Ninavyosikia ndivyo ninavyohukumu, nayo hukumu yangu ni ya haki kwa kuwa sitafuti kufanya mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi yake yeye aliyenituma.
Sengabhomba ahantu hahonti afume huline nene. Nanshi shehovwa, shesho shelola alonje na alonje hwane hwe lyoli afuatanaje sehwanza she songwa ane, ila shasongwa omwane wantumile.
31 “Kama ningejishuhudia mimi mwenyewe, ushuhuda wangu si kweli.
Nkashe ehwihakikisya nene, luhakikisyo lwane selwabhanga lwe lyoli.
32 Lakini yuko mwingine anishuhudiaye na ninajua kwamba ushuhuda wake ni wa kweli.
Ahweli wamwabho wahakikisya ahusuane emanya aje lyoli uluhakikisho lwa hakikisizya ane we lyoli.
33 “Mlituma wajumbe kwa Yohana, naye akashuhudia juu ya kweli.
Mutumile hwa Yohana wope ahakikisizye lyoli.
34 Si kwamba naukubali ushuhuda wa mwanadamu, la, bali ninalitaja hili kusudi ninyi mpate kuokolewa.
Hata sheshi ulihakikisyo lwenduposhela selufuma hwa bhantu. Ninayasema haya ili kwamba mweze kuokolewa.
35 Yohana alikuwa taa iliyowaka na kutoa nuru, nanyi kwa muda mlichagua kuifurahia nuru yake.
O Yohana ali lukhozyo lwalwa hahaga, na khozye mwahali tayari aisongwe huu muda ododo olukhozyo lwakwe.
36 “Lakini ninao ushuhuda mkuu zaidi kuliko wa Yohana. Kazi zile nizifanyazo, zinashuhudia juu yangu, zile ambazo Baba amenituma nizikamilishe, naam, ishara hizi ninazofanya, zinashuhudia kuwa Baba ndiye alinituma.
Ulwetesho lwendi nalwo gosi ashile lula lwa Yohana, humbombo zila Odaada yza mpiye azikamilisye, anzyo embombo zyezibhomba zibhonesya aje Odaada antumile.
37 Naye Baba mwenyewe ameshuhudia juu yangu. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuona umbo lake,
Odaada wantumile yoyo ahakikisizye ahusu ane. Semuwaile ahomvwe izu lyakwe au alole obele gwakwe omuda gwagwonti.
38 wala hamna neno lake ndani yenu, kwa sababu hamkumwamini yeye aliyetumwa naye.
Semulinalyo izu lyakwe nkalikhale muhati afuatanaje semwamwetesheye omwene wantumile.
39 Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios )
Mugenyelezya amazu msewa aje muhati yakwe muli owomi wewila wila, gego amazu gahakikisya ehabari zyane (aiōnios )
40 Lakini mnakataa kuja kwangu ili mpate uzima.
semuhwanza ahwenez huline nkampate owomi wewilawila.
41 “Mimi sitafuti kutukuzwa na wanadamu.
Siposhela huhwhiyonvwe afume hwa wantu,
42 Lakini ninajua kwamba hamna upendo wa Mungu mioyoni mwenu.
ehwelewa aje nalumo olugano lwa Ngolobhe muhati yenyu.
43 Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, nanyi hamnipokei, lakini mtu mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea.
Enenzele hwitawa lya Daada wane, semwamposheye. Nkashe owenje ayenze hwitawa lyakwe handamwaposheye.
44 Ninyi mwawezaje kuamini ikiwa mnapeana utukufu ninyi kwa ninyi, lakini hamna bidii kupata utukufu utokao kwa Mungu?
Aje mwahenzaga ahweteshele amwe mwamposhela esifa afume hwa kila muntu wenyu ila semuhwanza esifa yefuma hwa Ngolobhe mwene?
45 “Lakini msidhani kuwa mimi nitawashtaki mbele za Baba, mshtaki wenu ni Mose, ambaye mmemwekea tumaini lenu.
Msagaje ane embabhatake hwitazi lya Daada. Wabhataka amwe yo Musa, ambayo mubheshele ategemele hwa mwa hale.
46 Kama mngelimwamini Mose, mngeliniamini na mimi kwa maana aliandika habari zangu.
Mugali aje mhumweteshele oMusa, handamunetesheye nane afuatanaje ahaandishe ahusu ane.
47 Lakini ikiwa hamwamini aliyoandika Mose, mtaaminije ninayoyasema?”
Nkase muhwetehsele bhole amazu gane?