< Yohana 4 >
1 Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana,
Jisuh ni Jawhan hlak tami moikapap a hnukkâbang lah a coung sak tie Farasinaw ni a thai awh e hah Jisuh ni a panue.
2 ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
Atangcalah Jisuh ma roeroe ni apihai baptisma poe hoeh, a hnukkâbangnaw ni doeh a poe.
3 Bwana alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.
Hatdawkvah, Judah ram lahoi Galilee lah let bout a ban.
4 Wakati huo ilimlazimu apitie Samaria.
Samaria ram a rakan teh,
5 Akafika kwenye mji mmoja wa Samaria uitwao Sikari, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa mwanawe Yosefu.
Jakop ni a capa Joseph a poe e tâpit teng Samaria khopui Sikhar vah a pha.
6 Huko ndiko kulikokuwa na kile kisima cha Yakobo. Naye Yesu alikuwa amechoka kwa kuwa alikuwa ametoka safarini. Akaketi karibu na hicho kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
Hote hmuen koe Jakop e tuikhu a tai e ao. Jisuh teh a tawn dawkvah hote tuikhu teng vah a tahung. Hote atueng nah kanî boung a thun.
7 Mwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka maji, Yesu akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
Hawvah Samaria napui teh tui do hanlah a tho. Jisuh ni hote napui koevah, tui nei hane na poe haw atipouh.
8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
A hnukkâbangnaw teh rawca ran han khothung a cei awh.
9 Yule mwanamke Msamaria akamjibu, “Wewe ni Myahudi na mimi ni Msamaria. Yawezekanaje uniombe nikupe maji ya kunywa?” (Wayahudi walikuwa hawashirikiani kabisa na Wasamaria.)
Hote napui ni hai nang teh Judah tami nahoehmaw. Bangkong Samaria napui kai koe tui nei hane na hei vaw atipouh. Bangkongtetpawiteh Judahnaw teh Samarianaw hoi cungtalah ouk awm awh hoeh.
10 Yesu akajibu akamwambia, “Kama ungelijua karama ya Mungu, naye ni nani anayekuambia, Nipe maji ninywe, wewe ungelimwomba yeye, naye angelikupa maji yaliyo hai.”
Jisuh nihai, Cathut e a pahrennae hoi nang koe tui ka hete heh apipatet e ne tie na panuek pawiteh ahni koe na hei han ei te atipouh. Ahni ni hai hringnae tui teh na poe han, atipouh.
11 Yule mwanamke akamjibu, “Bwana, wewe huna chombo cha kutekea maji na kisima hiki ni kirefu. Hayo maji ya uzima utayapata wapi?
Hote napui ni Bawipa nang koe do nahane awm hoeh bo. Hete tuikhu haiyah hroung a dung dawkvah, hringnae tui na e maw ka hmu han vaw.
12 Kwani wewe ni mkuu kuliko baba yetu Yakobo ambaye alitupatia kisima hiki, ambacho yeye pamoja na watoto wake na mifugo yake walikitumia?”
Nang teh kaimae mintoe Jakop hlak na cue maw. Jakop ni hete tuikhu heh kaimouh na poe awh teh, ama hoi a canaw pueng ni a do awh hloilah saring ka khoumnaw pueng ni hai hete tui hah a pânei awh atipouh.
13 Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.
Jisuh ni, hete tui ka net e pueng teh tui bout a kahran han rah.
14 Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn , aiōnios )
Kai ni ka poe hane tui ka net e tami teh, nâtuek hai tui bout kahran mahoeh toe. Hothloilah Kai ni ka poe hane tui teh, a yungyoe ditouh ka phuek e tuikahring lah ao han telah bout atipouh. (aiōn , aiōnios )
15 Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, tafadhali nipe maji hayo ili nisipate kiu tena na wala nisije tena hapa kuteka maji!”
Napui ni, Bawipa, kai hai tui bout kahran hoe nahan hoi hie hmuen koe tuido hanlah bout ka tho hoeh nahanelah hote tui na poe haw atipouh.
16 Yesu akamjibu, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”
Jisuh ni cet nateh na vâ kaw nateh, hi bout tho ei atipouh.
17 Yule mwanamke akajibu, “Sina mume.” Yesu akamwambia, “Umesema kweli kuwa huna mume.
Napui nihai, kai ka vâ ka tawn hoeh atipouh, Jisuh ni ka vâ ka tawn hoeh na tie teh atang doeh,
18 Kwa maana umeshakuwa na wanaume watano na mwanaume unayeishi naye sasa si mume wako! Umesema ukweli.”
Hatei, na vâ panga touh na tawn toe. Atu na okhai e hai na vâ katang nahoeh bokheiyah, atipouh.
19 Yule mwanamke akasema, “Bwana, naona bila shaka wewe ni nabii.
Napui nihai, Bawipa, nang teh profet lah na o tie ka panue.
20 Baba zetu waliabudu kwenye mlima huu, lakini ninyi Wayahudi mnasema ni lazima tukaabudu huko Yerusalemu.”
Kaimae mintoenaw teh hete mon dawk Cathut a bawk awh. Hatei, nangmouh Judahnaw ni teh Jerusalem kho dawk dueng doeh Cathut ka bawk awh ouk na ti awh, atipouh.
21 Yesu akamjibu, “Mwanamke, niamini, wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala huko Yerusalemu.
Jisuh ni, napui nang, ka lawk yuem haw. Hete mon koe cet laipalah, Jerusalem kho hai cet laipalah Cathut bawk nahane atueng a pha han toe.
22 Ninyi Wasamaria mnaabudu msichokijua. Sisi Wayahudi tunamwabudu Mungu tunayemjua kwa sababu wokovu unatoka kwa Wayahudi.
Rungngangnae teh Judahnaw koehoi a tâco dawkvah, kaimouh teh kamamouh ni ka panue awh e hah ka bawk awh. Nangmouh teh namamouh ni na panue awh hoeh e hah na bawk awh.
23 Lakini saa yaja, tena ipo, ambapo wale waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na kweli. Watu wanaoabudu namna hii, ndio Baba anawatafuta.
Ka bawk katangnaw ni Pa hah muitha hoi lawkkatang hoi bawknae a tue atu a pha toe. Bangkongtetpawiteh hottelah bawk hanelah doeh Pa ni a ngainae ao.
24 Mungu ni Roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”
Cathut teh Muitha lah ao dawkvah, ka bawk e pueng ni teh muitha hoi lawkkatang hoi a bawk awh han atipouh.
25 Yule mwanamke akamwambia, “Ninafahamu kwamba Masiya (aitwaye Kristo) anakuja. Yeye akija, atatueleza mambo yote.”
Napui ni hai Khrih tie Messiah a tho han tie ka panue. Ama a tho hnin toteh bangpueng kaimouh koe a pâpho han, atipouh.
26 Yesu akamwambia, “Mimi ninayezungumza nawe, ndiye.”
Jisuh ni, ahni teh kai doeh, atu nang hoi lawk kâpan e teh Messiah doeh atipouh.
27 Wakati huo wanafunzi wake wakarudi, wakashangaa sana kumwona akizungumza na mwanamke. Lakini hakuna aliyemuuliza, “Unataka nini kwake?” Au “Kwa nini unazungumza naye?”
Hatnavah a hnukkâbangnaw a tho awh teh hote napui hoi a kâpan e hah a hmu awh navah a kângairu awh. Hatei, bangmaw a ngai, hote napui hoi bangkongmaw lawk a kâpan roi tie hah apinihai pacei hoeh.
28 Yule mwanamke akaacha mtungi wake, akarudi mjini akawaambia watu,
Hote napui ni tuium a ceitakhai teh kho thung lah a cei.
29 “Njooni mkamwone mtu aliyeniambia kila kitu nilichotenda! Je, yawezekana huyu ndiye Kristo?”
Kaie ka to ka sak e naw pheng ka panuek e tami heh khenhaw! ahni teh Messiah tie Khrih paka han doeh, telah taminaw hah a dei pouh.
30 Basi wakamiminika watu kutoka mjini wakamwendea Yesu.
Kho thung e taminaw teh, Jisuh koe a tho awh.
31 Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Rabi, kula angalau chochote.”
Hatnae tueng dawk a hnukkâbangnaw ni Rabbi bu cat ei, atipouh awh.
32 Lakini yeye akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkifahamu.”
Hatei, nangmouh ni na panue hoeh e cakawi kai koe ao, atipouh.
33 Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
A hnukkâbangnaw ni, tami buetbuet touh ni rawca a la poe toung ma aw ti teh a kâ pacei awh.
34 Lakini Yesu akawajibu, “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya Mungu ambaye amenituma na kuikamilisha kazi yake.
Jisuh ni, kai na kapatounkung e a ngainae tawk e hoi ahnie thaw cum e doeh kaie rawca lah ao.
35 Je, ninyi hamsemi, ‘Bado miezi minne tuvune?’ Inueni macho yenu myaangalie mashamba jinsi mazao yalivyo tayari kuvunwa!
Nangmouh ni canga nahan thapa yung pali touh a ngai rah na ti awh nahoehmaw. Kai ni ka dei e teh lawnaw hah khenhaw. Canga hane coungkacoelah koung a hmin toe.
36 Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
Cang ka a kung ni kutphu a hmu teh yungyoe hring nahanelah capai dawk a pâkhueng awh. Hatdawkvah cati ka patue e hoi cang ka a e teh reirei a konawm awh han. (aiōnios )
37 Hivyo kule kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.
Tami buet touh ni a patue, buet touh ni a a telah dei e heh hitueng vah a kuep.
38 Niliwatuma mkavune mazao ambayo hamkupanda, wengine walifanya kazi ngumu, nanyi mmevuna faida ya taabu yao.”
Nangmouh ni thaw na tawkhoehnae lawhmuen koevah canga hanlah na kâ patoun awh, ayâ ni a tawk tangcoung e nangmouh ni youn na pang awh, atipouh.
39 Wasamaria wengi katika mji ule wakamwamini Yesu kwa sababu ya ushuhuda wa yule mwanamke alipowaambia kwamba, “Ameniambia kila kitu nilichotenda.”
Samaria napui ni vah, kaie ka tawksak e pueng ahni ni be a pâpho tie a dei dawkvah kho thung kaawm e Samaria taminaw ni Jisuh hah a yuem awh.
40 Hivyo wale Wasamaria walipomjia, wakamsihi akae kwao. Naye akakaa huko siku mbili.
Hatdawkvah Samarianaw ni hai Jisuh koe a cei awh teh ahnimouh koe hnin o hanelah a haw awh. Hawvah hnin hni touh a roe.
41 Kwa sababu ya neno lake, watu wengi wakaamini.
Ama e lawk khei a thai awh dawkvah taminaw pueng ni a tang awh.
42 Wakamwambia yule mwanamke, “Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako tu, bali kwa kuwa tumemsikia sisi wenyewe. Tumejua hakika kweli ya kwamba huyu ndiye Kristo, Mwokozi wa ulimwengu.”
Hote napui koevah, nang ni na dei dawk dueng yuem e tho hoeh. Ama e a lawk khei ka thai awh dawkvah, hete tami teh talaivan rungngangkung Bawi Messiah tie atuvah ka panue awh toe atipouh awh.
43 Baada ya zile siku mbili, Yesu aliondoka kwenda Galilaya.
Hnin hni touh aloum hoi haw hoi a tâco teh, Nazareth kho a roun teh Galilee ram lah a cei.
44 (Basi Yesu mwenyewe alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.)
Bangkongtetpawiteh, profet teh ama khovah barinae awmhoeh telah Jisuh ma ni ati.
45 Alipofika Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha, kwani walikuwa wameona yale aliyoyatenda huko Yerusalemu wakati wa Sikukuu ya Pasaka. Kwa maana wao pia walikuwa wamehudhuria hiyo Sikukuu.
Galilee lah a pha navah ahnimouh ni Bawipa teh a dawn awh, bangkongtetpawiteh ahnimouh hai pawi koe a cei awh van teh, Jerusalem kho pawi koevah Jisuh ni a sak e hnonaw pueng hah a hmu awh.
46 Hivyo Yesu akaja tena mpaka Kana ya Galilaya, kule alikokuwa amebadili maji kuwa divai. Huko kulikuwepo na afisa mmoja wa mfalme, ambaye mwanawe alikuwa mgonjwa huko Kapernaumu.
Tui he misurtui lah a coung saknae Galilee ram kanâ khovah bout a pha. Hatnavah Kapernuam kho e kalaw bawi buet touh e a capa teh a pataw.
47 Huyo mtu aliposikia kwamba Yesu alikuwa amewasili Galilaya kutoka Uyahudi, alimwendea na kumwomba ili aje kumponya mwanawe, aliyekuwa mgonjwa karibu ya kufa.
Jisuh hah Judah ram hoi Galilee ram lah a pha tie hote kalaw bawi ni a thai navah, Jisuh koe a cei teh, meimei kadout e a ca damnae a hmu thai nahanelah a kaw.
48 Yesu akamwambia, “Ninyi watu msipoona ishara na miujiza kamwe hamtaamini.”
Jisuh ni nangmouh ni mithmu kângairunae na hmawt awh hoehpawiteh na yuem a mahoeh atipouh.
49 Yule afisa wa mfalme akamwambia, “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu hajafa.”
Bawipa, ka capa a due hoehnahlan uren tho ei, telah kalaw bawi ni atipouh.
50 Yesu akamjibu, “Enenda zako, mwanao yu hai.” Yule afisa akaamini yale maneno Yesu aliyomwambia, akaondoka akaenda zake.
Jisuh ni cet leih, na capa teh yo a dam toe atipouh nah, kalaw bawi ni hai a yuem teh a cei.
51 Alipokuwa bado yuko njiani, akakutana na watumishi wake wakamwambia kwamba mwanawe yu mzima.
A cei lahun nah a vaicanaw ni a dawn awh teh, na capa yo a dam toe atipouh awh.
52 Akawauliza saa ambayo alianza kupata nafuu. Wakamwambia, “Jana yapata saa saba, homa ilimwacha.”
Nâtuek maw damnae a hmu titeh a pacei navah paduem tangmin suimilam sari nah atipouh awh.
53 Ndipo baba wa huyo mtoto akakumbuka kuwa huo ndio wakati ambapo Yesu alikuwa amemwambia, “Mwanao yu hai.” Kwa hiyo yeye pamoja na wote wa nyumbani mwake wakamwamini Yesu.
Hote tueng teh Jisuh ni na capa a dam toe tinae tueng doeh tie a na pa ni a panue dawkvah, ama hoi imthungkhu abuemlah ni a yuem awh.
54 Hii ilikuwa ishara ya pili ambayo Yesu alifanya aliporudi Galilaya kutoka Uyahudi.
Hete mitnout teh Jisuh ni Judah hoi Galilee lah a cei hnukkhu avai hni nah e a sak e doeh.