< Yohana 4 >
1 Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana,
Jesuh naw Johana kthaka Baptican jah pe lü, axüisaw hea jah pyangki tia mawng, Pharisee naw ngjakie.
2 ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
(Akcanga ta, Jesuh amät naw baptican am jah pe, axüisaw he naw ami jah peta kyaki),
3 Bwana alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.
Ami pyena mawng Jesuh naw a ngjak ja Judah khaw ceh ta lü, Kalile khaw da,
4 Wakati huo ilimlazimu apitie Samaria.
Samarih khaw sunpah lü cit yahki.
5 Akafika kwenye mji mmoja wa Samaria uitwao Sikari, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa mwanawe Yosefu.
Jakop naw a capa Josep üng a peta khaw pei, Samarih khaw hne Sukhar mlüha pha lawki.
6 Huko ndiko kulikokuwa na kile kisima cha Yakobo. Naye Yesu alikuwa amechoka kwa kuwa alikuwa ametoka safarini. Akaketi karibu na hicho kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
Acuia Jakopa tuikhui veki. Jesuh lam a lawnak bawngbai lü, tuikhui peia ngawki. Acun cun mhnüp ngsunga kyaki.
7 Mwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka maji, Yesu akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
Samarih nghnumi tui than khaia law se Jesuh naw, “Ka awk vai tui na pea,” a ti.
8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
(Acun k'um üng, axüisaw he cun mlüh k’uma ei vai khyäi acun hea citkie.)
9 Yule mwanamke Msamaria akamjibu, “Wewe ni Myahudi na mimi ni Msamaria. Yawezekanaje uniombe nikupe maji ya kunywa?” (Wayahudi walikuwa hawashirikiani kabisa na Wasamaria.)
Samarih nghnumi naw, “Ihawkba, nang Judah khyang naw, kei Samarih nghnumia veia tui na awk vai na täeiki ni?” ti lü, a kthäh be. (Judah khyang mjüe cun Samarih khyangea eiawknak tuikhawt üng eiawk am thum na u.)
10 Yesu akajibu akamwambia, “Kama ungelijua karama ya Mungu, naye ni nani anayekuambia, Nipe maji ninywe, wewe ungelimwomba yeye, naye angelikupa maji yaliyo hai.”
Jesuh naw, “Pamhnam naw nang üng i ning pet hlüki ti am ksingki, u naw tui ning täeiki ti pi am ksingki. Na ksinga ta, angsäia xünnak tui ning pet vaia na na täei khai sü,” a ti.
11 Yule mwanamke akamjibu, “Bwana, wewe huna chombo cha kutekea maji na kisima hiki ni kirefu. Hayo maji ya uzima utayapata wapi?
Nghnumi naw, “Saja aw, tuikhui thuki, vähnak vai tuipung pi am na taki. Hawia kaa xünnak tui na taki ni?
12 Kwani wewe ni mkuu kuliko baba yetu Yakobo ambaye alitupatia kisima hiki, ambacho yeye pamoja na watoto wake na mifugo yake walikitumia?”
“Hina tuikhui, amät naw aw khawi lü, a cae ja, a khyüngseie naw pi ami awk khawi, kami pu Jakop naw a jah pet, nang ania kthaka kyäp bawk aih lü,” a ti.
13 Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.
Jesuh naw msang lü, “Hina tui awki naküt ta, tui cawi be ham khai.
14 Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn , aiōnios )
Acunsepi, kei naw ka pet vaia tui awki naküt ta, tui am cawi ti. Kei naw ka pet vaia tui cun a puk k'uma hna lü, angsäi xünnak tuia kya se, anglät xünnak pi yah khai,” a ti. (aiōn , aiōnios )
15 Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, tafadhali nipe maji hayo ili nisipate kiu tena na wala nisije tena hapa kuteka maji!”
Nghnumi naw, “Saja aw, tui am cawi ti lü, tui than khaia hia käh ka law be ti vaia, acuna tui na pea,” a ti.
16 Yesu akamjibu, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”
Jesuh naw, “Cita, na cei va khü lü, law bea,” a ti.
17 Yule mwanamke akajibu, “Sina mume.” Yesu akamwambia, “Umesema kweli kuwa huna mume.
Nghnumi naw, “Ka cei am ve,” ti se, Jesuh naw, “Ka cei am ve na ti cang veki,
18 Kwa maana umeshakuwa na wanaume watano na mwanaume unayeishi naye sasa si mume wako! Umesema ukweli.”
Na cei mhma ve pängki, tuh na vepüi pi na ceia am kya; acen üng akcang pyen veki,” a ti.
19 Yule mwanamke akasema, “Bwana, naona bila shaka wewe ni nabii.
Nghnumi naw, “Saja aw, sahma mata na kya khaia ning ksing veng.
20 Baba zetu waliabudu kwenye mlima huu, lakini ninyi Wayahudi mnasema ni lazima tukaabudu huko Yerusalemu.”
“Kami pupae naw hina mcung üng Pamhnam a na hjawkhah khawikie. Nangmi Judahe naw, ‘Jerusalema ni Pamhnam hjawkhahnak’ nami tiki” a ti.
21 Yesu akamjibu, “Mwanamke, niamini, wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala huko Yerusalemu.
Jesuh naw, “Nghnumi aw, ka pyen hin juma. Khyang he naw Pa cun ahina mcung ja Jerusalem mlüha am ami hjawkhahnak tia kcün pha law khai.
22 Ninyi Wasamaria mnaabudu msichokijua. Sisi Wayahudi tunamwabudu Mungu tunayemjua kwa sababu wokovu unatoka kwa Wayahudi.
“Nangmi Samarihe naw nami hjawkhah am ksing uki. Cunüngpi, keimi Judahe naw ta u kami hjawkhahki ti kami ksingki. Isetiakyaküng, küikyannak cun Judahe üngka naw lawkia kyaki.
23 Lakini saa yaja, tena ipo, ambapo wale waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na kweli. Watu wanaoabudu namna hii, ndio Baba anawatafuta.
“Acunsepi, akcün pha law khai, hjawkhahkie naw Ngmüimkhya ja akcanga ami hjawkhah vai cun tukbäih yea kya ve. Pa naw acukba hjawkhah khaie jah hlüeiki.
24 Mungu ni Roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”
“Mhnam cun Ngmüimkhyaa kyaki. Hjawkhahki naküt naw Ngmüimkhya ja ngthungtak am hjawkhah yah vai,” a ti.
25 Yule mwanamke akamwambia, “Ninafahamu kwamba Masiya (aitwaye Kristo) anakuja. Yeye akija, atatueleza mambo yote.”
Nghnumi naw, “Mesijah law khai ti ka ksingki. Ani a law üng, ani naw ahmäi naküt jah mtheh law khai,” a ti.
26 Yesu akamwambia, “Mimi ninayezungumza nawe, ndiye.”
Jesuh naw, “Nang ning ngthuheipüiki hin ani ni,” a ti.
27 Wakati huo wanafunzi wake wakarudi, wakashangaa sana kumwona akizungumza na mwanamke. Lakini hakuna aliyemuuliza, “Unataka nini kwake?” Au “Kwa nini unazungumza naye?”
Acunüng axüisaw he law bekie naw nghnumi am a na ngthuhei se hmuh u lü müncankie. Acunsepi, u naw pi, “I na ngaihki? Ise hina nghnumi na ngthuheipüiki ni?” ti lü, am kthäh u.
28 Yule mwanamke akaacha mtungi wake, akarudi mjini akawaambia watu,
Nghnumi naw a tui um hawih hüt lü, a lawnak khaw da citki naw khyange üng jah mtheh lü,
29 “Njooni mkamwone mtu aliyeniambia kila kitu nilichotenda! Je, yawezekana huyu ndiye Kristo?”
“Law ua, ka awmih khawi naküt ksingkia khyang mat ve ve, teng law u. Mesijah am niki aw?” a ti.
30 Basi wakamiminika watu kutoka mjini wakamwendea Yesu.
Mlüh ceh ta u lü, Jesuha veia citkie.
31 Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Rabi, kula angalau chochote.”
Acun k'um üng axüisaw he naw, “Rabbi, na ei eia” ti lü, ami mtheh.
32 Lakini yeye akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkifahamu.”
Acunsepi Jesuh naw, “Nangmi naw am nami ksing ka ei vai ta veng,” a ti.
33 Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
Axüisawe amimät üng, “A ei vai tha lawki veki aw” ti lü, ngthähkie.
34 Lakini Yesu akawajibu, “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya Mungu ambaye amenituma na kuikamilisha kazi yake.
Jesuh naw, “Na tüih lawkia a ngjak hlü bilawh ja, a khut kpäng vai cun keia eiawka kyaki ni.
35 Je, ninyi hamsemi, ‘Bado miezi minne tuvune?’ Inueni macho yenu myaangalie mashamba jinsi mazao yalivyo tayari kuvunwa!
“‘Khya kphyü ve hamki, acun käna cang ahnaka kcün pha law khai’ am nami ti khawiki aw? Teng u, ka ning jah mthehki, mang hü u lü, loe jah teng süm ua, hmin päng lü, ah vai kcün ve u.
36 Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
“Atki naw ngkhyengnak yah lü anglät xünnak vaia a ktheipai mcun ve, sawki ja atki ani nghngih atänga je yüm khai xawi. (aiōnios )
37 Hivyo kule kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.
“Ahin üng, ‘mat naw saw se, mat naw atki’ tia khuisui cun cang ve.
38 Niliwatuma mkavune mazao ambayo hamkupanda, wengine walifanya kazi ngumu, nanyi mmevuna faida ya taabu yao.”
“Am nami khüinak khawia loa cang at khaia ka ning jah tüihki. Acuia akce he naw khüi u se, ami khüinak kce cun nangmia ngmangnak ni,” a ti.
39 Wasamaria wengi katika mji ule wakamwamini Yesu kwa sababu ya ushuhuda wa yule mwanamke alipowaambia kwamba, “Ameniambia kila kitu nilichotenda.”
Acunüng, “Ka awmih naküt ksingki ve ve,” tia, ngthu, nghnumi naw a pyena phäha Samarih khyang khawhah naw Jesuh jum lawkie.
40 Hivyo wale Wasamaria walipomjia, wakamsihi akae kwao. Naye akakaa huko siku mbili.
Samarih khyange Jesuh veia ami law üng ami veia a ve vaia nghui na u se, acuia Jesuh cun mhnüp nghngih awmki.
41 Kwa sababu ya neno lake, watu wengi wakaamini.
Jesuh a ngthu pyena phäh khyang khawkän naw jum lawkie.
42 Wakamwambia yule mwanamke, “Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako tu, bali kwa kuwa tumemsikia sisi wenyewe. Tumejua hakika kweli ya kwamba huyu ndiye Kristo, Mwokozi wa ulimwengu.”
Acunakyase, nghnumia veia, “Tuh ta, nanga pyena phäha am kya lü, kamimät naw kami ngjak ja akcanga hin hin khawmdeka Küikyan Bawia kyaki ti, kami ksinga phäha kami jumki,” ami ti.
43 Baada ya zile siku mbili, Yesu aliondoka kwenda Galilaya.
Amhnüp nghngih käna, acun üngka naw Kalile hne da citki.
44 (Basi Yesu mwenyewe alikuwa amesema kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.)
Isetiakyaküng, Jesuh amät naw, “Sahma cun amäta hminaka khawa mhlünmtainak am yah khawi naw,” a ti.
45 Alipofika Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha, kwani walikuwa wameona yale aliyoyatenda huko Yerusalemu wakati wa Sikukuu ya Pasaka. Kwa maana wao pia walikuwa wamehudhuria hiyo Sikukuu.
Jerusalem Lätnak Pawia cit u lü Pawi k’um üng Jesuh naw a jah pawhmsah naküt jah hmukie naw ta, Kalile khawa Jesuh a law üng, Kalile khyange naw dokhamkie.
46 Hivyo Yesu akaja tena mpaka Kana ya Galilaya, kule alikokuwa amebadili maji kuwa divai. Huko kulikuwepo na afisa mmoja wa mfalme, ambaye mwanawe alikuwa mgonjwa huko Kapernaumu.
Acun käna Jesuh Kalile khaw Kana, tui cun capyituia a nglatnak sak hnüna law beki. Acuia khyang ngvai mat a capa Kapenawm mlüha a mhnatei veki.
47 Huyo mtu aliposikia kwamba Yesu alikuwa amewasili Galilaya kutoka Uyahudi, alimwendea na kumwomba ili aje kumponya mwanawe, aliyekuwa mgonjwa karibu ya kufa.
Ani naw Jesuh Judah khaw üngka naw Kalile khawa lawki ti a ngjak üng, a capa thih law hlüki, law lü a mdaw law be vaia cit lü a va nghuinak.
48 Yesu akamwambia, “Ninyi watu msipoona ishara na miujiza kamwe hamtaamini.”
Jesuh naw, “U naw pi müncanksee ja cäiletnake am nami hmuh üng amdanga am jum hlü uki,” a ti.
49 Yule afisa wa mfalme akamwambia, “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu hajafa.”
Khyang ngvai naw, “Saja aw, ka ca am a thih ham üng akjanga lawa,” a ti.
50 Yesu akamjibu, “Enenda zako, mwanao yu hai.” Yule afisa akaamini yale maneno Yesu aliyomwambia, akaondoka akaenda zake.
Jesuh naw, “Cit bea, na capa daw be khai ni,” a ti. Khyang ngvai cun Jesuha pyen jum lü nghlat beki.
51 Alipokuwa bado yuko njiani, akakutana na watumishi wake wakamwambia kwamba mwanawe yu mzima.
A nghlat be lama a mpyae naw a na khyum u lü, “Na capa dawei law be ve,” ti lü, ami mtheh.
52 Akawauliza saa ambayo alianza kupata nafuu. Wakamwambia, “Jana yapata saa saba, homa ilimwacha.”
Ngvai naw iti üng a capa a daw law bea mawng jah kthäh se, amimi naw, “Müta, mü lam naji mat üng mhnat naw khyah ve,” ti lü, ami mtheh.
53 Ndipo baba wa huyo mtoto akakumbuka kuwa huo ndio wakati ambapo Yesu alikuwa amemwambia, “Mwanao yu hai.” Kwa hiyo yeye pamoja na wote wa nyumbani mwake wakamwamini Yesu.
Jesuh naw, “Na capa daw be khai ni,” a tinaka kcüna kyaki ti a ksing. Acunakyase, amät ja a khuiim kyawnglawng ami van naw jumkie.
54 Hii ilikuwa ishara ya pili ambayo Yesu alifanya aliporudi Galilaya kutoka Uyahudi.
Ahin cun Jesuh Judah khaw üngka naw Kalile khawa a law käna anghngihnak müncankse a pawha kyaki.