< Yohana 21 >
1 Baada ya haya Yesu akawatokea tena wanafunzi wake kando ya Bahari ya Tiberia. Yeye alijionyesha kwao hivi:
with/after this/he/she/it to reveal themself again the/this/who Jesus the/this/who disciple upon/to/against the/this/who sea the/this/who (Sea of) Tiberias to reveal then thus(-ly)
2 Simoni Petro, Tomaso aitwaye Didimasi, yaani Pacha, Nathanaeli wa Kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawili walikuwa pamoja.
to be together Simon Peter and Thomas the/this/who to say: call Twin and Nathanael the/this/who away from Cana the/this/who Galilee and the/this/who the/this/who Zebedee and another out from the/this/who disciple it/s/he two
3 Simoni Petro akawaambia wenzake, “Mimi naenda kuvua samaki.” Nao wakamwambia, “Tutakwenda pamoja nawe.” Wakatoka, wakaingia ndani ya mashua, lakini usiku ule hawakupata chochote.
to say it/s/he Simon Peter to go to fish to say it/s/he to come/go and me with you to go out and (to climb *N(k)O*) toward the/this/who boat (immediately *K*) and in/on/among that the/this/who night to arrest/catch none
4 Mara baada ya kupambazuka, Yesu akasimama ufuoni, lakini wanafunzi hawakumtambua kwamba alikuwa Yesu.
early morning then already (to be *NK(o)*) to stand (the/this/who *k*) Jesus toward the/this/who shore no yet to perceive: know the/this/who disciple that/since: that Jesus to be
5 Yesu akawaambia, “Wanangu, je, mna samaki wowote?” Wakamjibu, “La.”
to say therefore/then it/s/he the/this/who Jesus child not one fish to have/be to answer it/s/he no
6 Akawaambia, “Shusheni nyavu upande wa kuume wa mashua yenu nanyi mtapata samaki.” Wakashusha nyavu na tazama wakapata samaki wengi mno hata wakashindwa kuvutia zile nyavu zilizojaa samaki ndani ya mashua.
the/this/who then to say it/s/he to throw: throw toward the/this/who right part the/this/who boat the/this/who net and to find/meet to throw: throw therefore/then and no still it/s/he to draw/persuade (be strong *N(k)O*) away from the/this/who multitude the/this/who fish
7 Yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu akamwambia Petro, “Huyu ni Bwana!” Simoni Petro aliposikia haya, akajifunga nguo yake kwa kuwa alikuwa uchi, naye akajitosa baharini.
to say therefore/then the/this/who disciple that which to love the/this/who Jesus the/this/who Peter the/this/who lord: God to be Simon therefore/then Peter to hear that/since: that the/this/who lord: God to be the/this/who coat to tie around to be for naked and to throw: throw themself toward the/this/who sea
8 Wale wanafunzi wengine wakaja kwa ile mashua huku wakikokota ule wavu uliyojaa samaki, maana hawakuwa mbali na nchi kavu, ilikuwa yapata dhiraa 200
the/this/who then another disciple the/this/who small boat to come/go no for to be far away from the/this/who earth: country but as/when away from cubit/hour two hundred to drag the/this/who net the/this/who fish
9 Walipofika ufuoni, wakaona moto wa makaa na samaki wakiokwa juu yake na mikate.
as/when therefore/then to get out toward the/this/who earth: country to see charcoal fire to lay/be appointed and fish to lay on and bread
10 Yesu akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”
to say it/s/he the/this/who Jesus to bear/lead away from the/this/who fish which to arrest/catch now
11 Simoni Petro akapanda kwenye mashua na kuukokota ule wavu pwani. Ulikuwa umejaa samaki wakubwa 153. Ingawa samaki walikuwa wengi kiasi hicho, ule wavu haukuchanika.
to ascend (therefore/then *NO*) Simon Peter and to draw/persuade the/this/who net (toward the/this/who earth: country *N(k)O*) full fish great hundred fifty Three and so great to be no to split the/this/who net
12 Yesu akawaambia, “Njooni mpate kifungua kinywa.” Hakuna hata mmoja wa wanafunzi aliyethubutu kumuuliza, “Wewe ni nani?” Kwa sababu walijua ya kuwa ni Bwana.
to say it/s/he the/this/who Jesus come to eat early meal none then be bold the/this/who disciple to find out it/s/he you which? to be to know that/since: that the/this/who lord: God to be
13 Yesu akaja, akachukua ule mkate, akawapa na vivyo hivyo akawagawia pia wale samaki.
to come/go (therefore/then *K*) (the/this/who *ko*) Jesus and to take the/this/who bread and to give it/s/he and the/this/who fish similarly
14 Hii ilikuwa mara ya tatu Yesu kuwatokea wanafunzi wake baada yake kufufuliwa kutoka kwa wafu.
this/he/she/it already third to reveal (the/this/who *ko*) Jesus the/this/who disciple (it/s/he *k*) to arise out from dead
15 Walipokwisha kula, Yesu akamuuliza Simoni Petro, “Je, Simoni mwana wa Yohana, unanipenda kweli kuliko hawa?” Yeye akamjibu, “Ndiyo Bwana, wewe unajua ya kuwa ninakupenda.” Yesu akamwambia, “Lisha wana-kondoo wangu.”
when therefore/then to eat early meal to say the/this/who Simon Peter the/this/who Jesus Simon (John *N(K)O*) to love me greater this/he/she/it to say it/s/he yes lord: God you to know that/since: that to love you to say it/s/he to feed the/this/who lamb me
16 Yesu akamwambia tena, “Simoni, mwana wa Yohana, wanipenda?” Petro akamjibu, “Ndiyo Bwana, wewe unajua ya kuwa ninakupenda.” Yesu akamwambia, “Chunga kondoo zangu.”
to say it/s/he again secondly Simon (John *N(K)O*) to love me to say it/s/he yes lord: God you to know that/since: that to love you to say it/s/he to shepherd the/this/who sheep me
17 Kwa mara ya tatu Yesu akamuuliza Petro, “Simoni mwana wa Yohana, unanipenda?” Petro akahuzunika sana kwa kuwa Yesu alimuuliza mara ya tatu, “Unanipenda?” Akamjibu, “Bwana, wewe unajua yote, unajua ya kuwa ninakupenda.” Yesu akamwambia, “Lisha kondoo wangu.
to say it/s/he the/this/who third Simon (John *N(K)O*) to love me to grieve the/this/who Peter that/since: since to say it/s/he the/this/who third to love me and (to say *N(k)O*) it/s/he lord: God all you to know you to know that/since: that to love you to say it/s/he the/this/who Jesus to feed the/this/who sheep me
18 Amin, amin nakuambia, ulipokuwa kijana ulivaa na kwenda unakotaka, lakini utakapokuwa mzee utanyoosha mikono yako na mtu mwingine atakuvika na kukupeleka usipotaka kwenda.”
amen amen to say you when to be new to dress you and to walk where(-ever) to will/desire when(-ever) then to grow old to stretch out the/this/who hand you and another you to dress and to bear/lead where(-ever) no to will/desire
19 Yesu alisema haya ili kuashiria ni kifo cha aina gani Petro atakachomtukuza nacho Mungu. Kisha Yesu akamwambia Petro, “Nifuate!”
this/he/she/it then to say to signify what? death to glorify the/this/who God and this/he/she/it to say to say it/s/he to follow me
20 Petro akageuka, akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu akiwafuata. (Huyu ndiye yule mwanafunzi aliyeegama kifuani mwa Yesu walipokula naye chakula cha mwisho na kuuliza, “Bwana, ni nani atakayekusaliti?”)
to turn (then *k*) the/this/who Peter to see the/this/who disciple which to love the/this/who Jesus to follow which and to recline in/on/among the/this/who dinner upon/to/against the/this/who chest it/s/he and to say lord: God which? to be the/this/who to deliver you
21 Petro alipomwona huyo mwanafunzi, akamuuliza Yesu, “Bwana na huyu je?”
this/he/she/it (therefore/then *NO*) to perceive: see the/this/who Peter to say the/this/who Jesus lord: God this/he/she/it then which?
22 Yesu akamjibu, “Ikiwa nataka aishi mpaka nitakaporudi, inakuhusu nini? Wewe inakupasa unifuate!”
to say it/s/he the/this/who Jesus if it/s/he to will/desire to stay until to come/go which? to/with you you me to follow
23 Kwa sababu ya maneno haya ya Yesu, uvumi ukaenea miongoni mwa ndugu kwamba huyu mwanafunzi hangekufa. Lakini Yesu hakusema kuwa hangekufa. Yeye alisema tu kwamba, “Ikiwa nataka aishi mpaka nitakaporudi, inakuhusu nini?”
to go out therefore/then this/he/she/it the/this/who word toward the/this/who brother that/since: that the/this/who disciple that no to die (and *k*) no to say (then *no*) it/s/he the/this/who Jesus that/since: that no to die but if it/s/he to will/desire to stay until to come/go which? to/with you
24 Huyu ndiye yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye ambaye ameandika habari hizi. Nasi tunajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli.
this/he/she/it to be the/this/who disciple the/this/who to testify about this/he/she/it and (the/this/who *no*) to write this/he/she/it and to know that/since: that true it/s/he the/this/who testimony to be
25 Lakini kuna mambo mengine mengi ambayo Yesu alifanya. Kama yote yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa. Amen.
to be then and another much (which *N(k)O*) to do/make: do the/this/who Jesus who/which if to write according to one nor it/s/he to suppose the/this/who world (to make room for *NK(o)*) the/this/who to write scroll (amen *KO*)