< Yohana 19 >
1 Ndipo Pilato akamtoa Yesu akaamuru apigwe mijeledi.
Basi u Pilato atolile u Yesu nu hutova.
2 Askari wakasokota taji ya miiba, wakamvika Yesu kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau.
Vala avasihali vahasohota amatoni nuhutengenesia elitaji. Vahaveha hukianya hutwa ugwa Yesu nu hufualecha umwenda ugasamalawe.
3 Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu! Mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.
Vahamwichela nuhuchova, “Uve veve imbaha vavayahudi! navahatova humavoho gavene.
4 Pilato akatoka tena nje akawaambia wale waliokusanyika, “Tazameni, namkabidhi Yesu kwenu kuwajulisha kwamba mimi sikumwona ana hatia.”
U Pilato ahumile hunji na huvavula avanu, “Lola nihuvaletela umunu uyu huliumwe ili mmanye uhuta alebila nongwa yuyoni.”
5 Kwa hiyo Yesu akatoka nje akiwa amevaa ile taji ya miiba na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, “Tazameni, huyu hapa huyo mtu!”
U Yesu ahumile hunji afwalile amavuva gamatoni nemienda egwa sambalawe. Ndipo u Pilato ahavavula, “Lola umnu uyu apa!”
6 Wale viongozi wa makuhani na maafisa walipomwona, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi mkamsulubishe, mimi sioni hatia juu yake.”
Usehe ugwa ndongochi umbaha vavile vambwane u Yesu, vahatova ikelele vahata, “Isulubeswe, sulubeswe.” U Pilato ahavavula, “Itole yumwemha sulubeswe uhuva une sanevu uvutula nogwa mgati mmwene.”
7 Wayahudi wakamjibu, “Sisi tunayo sheria na kutokana na sheria hiyo, hana budi kufa kwa sababu yeye alijiita Mwana wa Mungu.”
Avayahudi vahajibu Pilato vahata, “Ufwe tule bila seliya, neseliya tule vuvule eya hunogwa uhubuda uhuva umwene ahefanyile uhuta mwana va Nguluve.”
8 Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi.
U Pilato avileipoleha amamenyu aga ahanja uhuduada,
9 Akaingia tena ndani ya jumba la kifalme, akamuuliza Yesu, “Wewe umetoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.
ahingela Praitorio tena nuhumbula u Yesu, “Uve uhumile ndahu? hata hivyo u Yesu sahajibu.
10 Pilato akamwambia, “Wewe unakataa kuongea na mimi? Hujui ya kuwa nina mamlaka ya kukuachia huru au kukusulubisha?”
U Pilato ahavuliwa, “Je, uve sawichova nune? Je, uvesulumanyile uhuta une nelena mamlaka ga huhufungula na mamlaka ahuhu sulubisia?”
11 Ndipo Yesu akamwambia, “Wewe hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa kutoka juu. Kwa hiyo yeye aliyenitia mikononi mwako ana hatia ya dhambi iliyo kubwa zaidi.”
U Yesu ahajibu, “Ahata suhale wiva ni ngofu uhusidi hulione kamauhale sitolile hukianya. Ivyo umnu uva ang'echiche huliove alenimbivi imaha.”
12 Tangu wakati huo, Pilato akajitahidi kutafuta njia ya kumfungua Yesu, lakini Wayahudi wakazidi kupiga kelele wakisema, “Ukimwachia huyu mtu, wewe si rafiki wa Kaisari. Mtu yeyote anayedai kuwa mfalme anampinga Kaisari.”
Uhuhumana nelijibu eli, u Pilato ahanogwa uhundeha hulu, lakini Avayahudi vaha tova ekelele vahachova, “Kama vuhundeha hulu uve sio ule lafiki va Kaisari: Hela uvivomba henyune hundongochi umbaha iva henyume nu Kaisari.”
13 Pilato aliposikia maneno haya akamtoa Yesu nje tena akaketi katika kiti chake cha hukumu, mahali palipoitwa Sakafu ya Jiwe, kwa Kiebrania paliitwa Gabatha
U Pilato avileihugapoleha amamenyu aga, ahandeta u Yesu hunzi kisha ahatama nave huhegoda ehia vuhegi pama hali papo pijulehana mahali pasumenti, lakini huhe kiebrania, Gabatha.
14 Basi ilikuwa siku ya Maandalio ya Pasaka, yapata kama saa sita hivi. Pilato akawaambia Wayahudi, “Huyu hapa mfalme wenu!”
ya maandalizi ga pasaha yavile yefihe pasehe uga saa sita. Pilato ahavavula Avayahudi, “Lola umbaha venyu uyu apa!”
15 Wao wakapiga kelele, “Mwondoe! Mwondoe! Msulubishe!” Pilato akawauliza, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Wale viongozi wa makuhani wakamjibu, “Sisi hatuna mfalme mwingine ila Kaisari.”
Vagatova ekelele, “asulubiswe umbaha vennyo undongochi umbaha ahajibu ufwe tule bila undongochi umbaha isipo kuwa Kaisari.”
16 Ndipo Pilato akamkabidhi Yesu kwao ili wamsulubishe. Kwa hiyo askari wakamchukua Yesu.
Ndipo u Pilato aha ngumia u Yesu vuvene ili asubihe.
17 Yesu, akiwa ameubeba msalaba wake, akatoka kuelekea mahali palipoitwa Fuvu la Kichwa (kwa Kiebrania ni Golgotha).
Navene vahatola u Yesu numwene ahahuma hali ahagega ehe da miling'na hiamwine ipaha huli eneo ilihelangiwa fuvu lia intwe huheebrania Golgotha.
18 Hapo ndipo walipomsulubisha. Pamoja naye walisulubisha watu wengine wawili, mmoja kila upande wake, naye Yesu katikati.
Apo pavahasulubisia u Yesu, pamoja navagosi vavele yumo uvupande uvu nuyunge uvupande uvu nu Yesu katikati yavene.
19 Pilato akaamuru tangazo liandikwe na liwekwe juu kwenye msalaba wa Yesu, likasema: “Yesu wa Nazareti, Mfalme wa Wayahudi.”
U Pilato ahasimba ealama nuhuyeveha hukianya mheda miling'ana apo pasimbiwe: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
20 Kwa kuwa mahali hapo Yesu aliposulubiwa palikuwa karibu na mjini, Wayahudi wengi walisoma maandishi haya yaliyokuwa yameandikwa kwa lugha za Kiebrania, Kiyunani na Kilatini.
Vingi Avayahudi vale huemba eyo amahali apo pasulubisie u Yesu pale kalibu nu mji. Ealama eya ya simbiwe hujovele ya Kiebrania, huhe lumi ne Heyunani.
21 Viongozi wa makuhani wa Wayahudi wakapinga, wakamwambia Pilato, “Usiandike ‘Mfalme wa Wayahudi,’ bali andika kwamba mtu huyu alisema yeye ni mfalme wa Wayahudi.”
Avalongochi avavaha ava vayahudi vahambula u Pilato, “Usite, 'Uhusimba umbaha vavayahudi.”
22 Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”
Nu Pilato ahavajibu gago, “Nesimbile gunesimbile.”
23 Askari walipokwisha kumsulubisha Yesu, walichukua nguo zake wakazigawa mafungu manne, kila askari fungu lake. Ila walikubaliana wasilichane lile vazi lake kwa maana lilikuwa halina mshono bali limefumwa tangu juu hadi chini.
Baada avasihali uhusulubisia u Yesu, vahatola emienda egia mwene nuhugaha katika amafungu gane, hela usihali fungu lemo, ne kanzu nayope nayekanzo yale sayahoniwe ya suhiwe uhuhuma hukianya.
24 Wakaambiana, “Tusilichane ila tulipigie kura ili kuamua ni nani atalichukua.” Hili lilitukia ili Maandiko yapate kutimizwa yale yaliyosema, “Wanagawana nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura.” Hayo ndiyo waliyoyafanya wale askari.
Kisha vahachovana vavo hwa vavo, “Tusite, uhugeda katikati bali tuyetovele ikula yiva ya veni.” Elio lia humile ili uvusimbe votimesiwe, lelio liachoviwe vagivine emwenda giango, neligandaliango vahale tovela ekula.”
25 Wakati huo huo karibu na msalaba wa Yesu walikuwa wamesimama mama yake, na dada wa mamaye, na Maria mke wa Klopa, na Maria Magdalene.
vahavomba amambo aga. Umama yake u Yesu, udada va mamaye, u Mariamu udala va Kleopa nu Mariamu Magdalena - avadala ava va emile kalibu neheda milingana enja Yesu.
26 Yesu alipomwona mama yake mahali pale pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, huyo hapo ndiye mwanao,”
U Yesu avile ambwene. Umama yake nula uvasiule uvaganile vuvemile kalibu ahambula umama vamwene, “Udala, lola, umwana vaho uyu apa!”
27 kisha akamwambia yule mwanafunzi, “Nawe huyo hapo ndiye mama yako.” Tangu wakati huo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake.
Ahambula uvasiule, “Lola, umama vaho uyu apa. “Uhuhuma usehe ugwa uvasiule ahatola uhuluta hunyumba yamwene.
28 Baada ya haya, Yesu hali akijua kuwa mambo yote yamemalizika, alisema ili kutimiza Maandiko, “Naona kiu.”
Baada ya ago, u Yesu ahelawa ahata aga gatali gasilile ili uvusimbe vitimesiwe ahachova ahata numilwe.
29 Hapo palikuwa na bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachovya sifongo kwenye hiyo siki, wakaiweka kwenye ufito wa mti wa hisopo, wakampelekea mdomoni.
Uhwa hwale ehiombo hia degile siki basi va hahanjani isifongo eyeye degile siki hukianya hulusitu ulwa hisopo, vahaelehela mndomo.
30 Baada ya kuionja hiyo siki, Yesu akasema, “Imekwisha.” Akainamisha kichwa chake, akaitoa roho yake.
Basi u Yesu avile ipohela siki ahachova yesilile ahainamamisia. Utwe ahavula enumbula yamwene.
31 Kwa kuwa ilikuwa siku ya Maandalio ya Pasaka, Wayahudi hawakutaka miili ibaki msalabani siku ya Sabato, hasa kwa kuwa hiyo Sabato ingekuwa Sikukuu. Wakamwomba Pilato aamuru miguu ya wale waliosulubiwa ivunjwe ili wafe haraka miili iondolewe kwenye misalaba.
avayahudi kwa sababu ya maandalio emivele gesite uhutama hukianya auhedamilingana esihu ya Sabato (maana esabato yake sihu baha vahadova u Pilato amalunde vadenye vahaswemiwe.
32 Kwa hiyo askari wakaenda wakavunja miguu ya mtu wa kwanza aliyesulubiwa pamoja na Yesu na yule mwingine pia.
Basi avasihalivahaluta vahadenya amalunde uva huanza nu vavele aliye na Yesu pamoja nu mwene.
33 Lakini walipomkaribia Yesu, wakaona ya kuwa amekwisha kufa, hivyo hawakuvunja miguu yake.
Lakini vavile vandutile u Yesu nu hulola vahavuna ahamalile uhufwe savaha keda amalunde.
34 Badala yake mmoja wa wale askari akamchoma mkuki ubavuni na mara pakatoka damu na maji.
Lakini uasihali yumo ahang'ome paluvafu mala ahahumi ukisa na magasi.
35 Mtu aliyeona mambo hayo ndiye alitoa ushuhuda, nao ushuhuda wake ni kweli. Anajua kuwa anasema kweli, naye anashuhudia ili pia nanyi mpate kuamini.
Nayumwene avalolile asihudile uvusuhuda wamwene aweni vuyelweli uvusuhuda wamwene aweni vuyelweli ili nayofwetupate uhusadihi.
36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
Uhuva ago gahumile ili uvusimbe vutimele, “Hapana elichege ilipia lidenyeha”.
37 Tena Andiko lingine lasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma.”
Netena uvusimbe wichova, wingi “Valandola yuywa valehungoma”
38 Baada ya mambo haya, Yosefu wa Arimathaya, aliyekuwa mfuasi wa Yesu, ingawa kwa siri kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato ruhusa ili kuuchukua mwili wa Yesu. Pilato alimruhusu, hivyo akaja, akauchukua.
Baada ya Yusufu wa Arimathaya, navope vasiule va Yesu lakini husili ya woduachi wa Vayahudi ahadova u Pilato ang'eche umbele ugwa Yesu. Nu Pilato ahapa uluhusa. Bali ahaluta ahahecha umbele gwa mwene.
39 Naye Nikodemo, yule ambaye kwanza alimwendea Yesu usiku, akaja, akaleta mchanganyiko wa manemane na manukato, yenye uzito wa zaidi ya kilo thelathini
Ahaluta u Nikodemo navope ula uvi ahandutile pakelo hapo huanza ahaheleha amachanganyo ga mamenyu aga udi yapata uvuchito wa ratili mia moja.
40 Wakauchukua mwili wa Yesu, wakaufunga katika sanda ya kitani safi pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya Wayahudi.
Basi vahagutola umbele gwa Yesu vahagukonga umwenda kitani pamoja mafuta agamanukato, kama vuyelevu imila chavayahudi katika kuzika.
41 Basi palikuwa na bustani karibu na mahali pale aliposulubiwa, na pale ndani ya ile bustani palikuwa na kaburi jipya, ambalo halikuwa limezikiwa mtu bado.
Na pala apasulubiswe pale ne bustani; na igati mbustani mwale nelipomba ilipya abalo savasilile umnu yuyoni igati umwa.
42 Kwa hiyo, kwa kuwa ilikuwa siku ya Wayahudi ya Maandalio, nalo kaburi hilo lilikuwa karibu, wakamzika Yesu humo.
Basi hwasababu ya isimbe cha Vayahudi vahambeha u Yesu huhwa elikabuli lele kalibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.