< Yohana 18 >
1 Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo.
Yesu mpwalapwisha kwamba walaya pamo nebeshikwiya bakendi kutala kwa cisapa ca Kedroni, nkobalakengila mulibala lya bitondo bya maolifi,
2 Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara.
Uko Yesu nebeshikwiya bakendi nkobalikukumanina cindi conse. Neco Yuda walamuyaba walikwishiba musena wopelowo.
3 Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha.
Yuda walanyamuka pamo nebashilikali baku Loma nebamalonda baku Nga'nda ya Lesa abo balatumwa nebamakulene beshimilumbo neBafalisi. Nabo balaya kulibala uko kabalibamanta malampi ne nsakamwenge kayi ne byensho byankondo.
4 Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”
Nomba Yesu walikwinshiba byeshibimwinshikile. Weco nendi walemana patuba, nekubepusheti, “Nomba mulayandanga bani?”
5 Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.” Yesu akawajibu, “Mimi ndiye.” Yuda, yule aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao.
Balamukumbuleti, “tulayandanga Yesu waku Nasaleti.” Yesu walambeti, “Njame.” Yuda walamuyaba kubalwani bakendi, neye walikubapo.
6 Yesu alipowaambia, “Mimi ndiye,” walirudi nyuma na kuanguka chini!
Yesu mpwalabakumbuleti, “Njame,” Balabwelela kunyuma nekuwa panshi.
7 Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Nao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”
Kayi Yesu walabepusha, “Nomba mulayandanga bani?” Nabo balambeti, “tulandanga Yesu wa ku nazaleti.”
8 Yesu akawaambia, “Nimekwisha kuwaambia kuwa, mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa watu waende zao.”
Yesu walambeti, “Ndamwambili eti njame, nomba na mulayandanga njame, aba balekeni bayenga.”
9 Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”
Walambeco kwambeti bikwanilishiwe mbyalambeti, “Ndiya kutayapo naba umo pali abo mbomwalampa.”
10 Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.
Shimoni Petulo walikukute cingwebe. Walasokolola nekukwempula litwi lyakululyo lya Makasi musebenshi wa shimilumbo mukulene.
11 Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?”
Lino Yesu walambila Petulo, “Bwesha cingwebe cakobe mumukopa. Sena ulayeyengeti mbule kunwa nkomeshi ya mapensho njobalampa Bata?”
12 Hivyo wale askari, wakiwa pamoja na majemadari wao na maafisa wa Wayahudi, wakamkamata Yesu na kumfunga.
Mushilikali mukulene nebashilikali bakendi, kayi nebamalondabamuNg'anda ya Lesa, balamwikata Yesu nekumusunga.
13 Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule.
Pakutanguna balaya nendi kuli Anasi, mupongoshi wa Kayafa, walikuba mukulene wa beshimilumbo bonse mucaka copeleco.
14 Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.
Kayafa eusa walambila bamakulene baBayuda kumasuba akunyuma kwambeti caina namuntu umo ufwa kupita kwambeti bantu bonse bafwe.
15 Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia ndani ya ukumbi pamoja na Yesu.
Shimoni Petulo neshikwiya naumbi balamukonkela Yesu. Shikwiya naumbi uyo walikuba wenshibana neshimilumbo mukulene. Lino walengila pamo ne Yesu munga'nda ya shimilumbo mukulene.
16 Lakini Petro alisimama nje karibu na lango, ndipo yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na kuhani mkuu, akazungumza na msichana aliyekuwa analinda lango, akamruhusu Petro aingie ndani.
Nsombi Petulo walemana kunsa pepi necishinga, usa shikwiya walikuba wenshibikwa walapula nekuya kwamba nemutukashi pacishinga kwambeti ambile Petulo engile,
17 Yule msichana akamuuliza Petro, “Je, wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?” Petro akajibu, “Sio mimi.”
Nomba mutukashi musebenshi walepusha Petulo, “Sena obe ntobe umo wa beshikwiya bamuntuyu?” Petulo walambeti, “Ame? Sobwe.”
18 Wale watumishi na askari walikuwa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
Kwalikuba kwatontola, neco basebenshi ne bamalonda balakunka mulilo ngobalikuyota bwimene, neye Petulo walayakwimanapo kayota mulilo.
19 Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.
Pacindi copeleco shimilumbo mukulene walepusha Yesu sha beshikwiya bakendi, kayi nebintu mbyalikwiyisha.
20 Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza waziwazi mbele ya watu wote. Siku zote nimefundisha katika masinagogi na Hekaluni, mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Sikusema jambo lolote kwa siri.
Yesu walambeti, “Ame ndalikwamba mwakutasoleka ku muntu uliyense. Ndalikwiyisha mumanda akupaililamo kayi ne mu Nga'nda ya Lesa, bantu bonse mobakute kubungana. Ndiya kwambapo bintu mwakusoleka sobwe.
21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”
Nomba lino mulanjipushilinga cani? Kamwipushani abo balanyumfwa bintu mbyondalikwamba bacishi ncendalikwiyisha.”
22 Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa askari aliyekuwa amesimama karibu naye, akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?”
Mpwalambeco, umo wa bamalonda walikuba wemana popelapo walamuma Yesu nekwambeti, “Ngokumbula aconi mushoboyo shimilumbo mukulene?”
23 Yesu akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”
Yesu walamukumbuleti, “na ndamba bintu byaipa kobishumbula. Nsombi na ndamba byakubinga nomba ulangumininga cani?”
24 Ndipo Anasi akampeleka Yesu kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.
Lino Anasi walamutuma Yesu kaliwasungwa kuli Kayafa shimilumbo mukulene.
25 Wakati huo Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Baadhi ya wale waliokuwepo wakamuuliza, “Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wake?” Petro akakana, akasema, “Sio mimi.”
Simoni Petulo mpwalikuba wemana nkaciyota mulilo, nabambi balamwipusheti, “Sena obe ntobe umo wabeshikwiya ba muntusa?” Petulo walakaneti, “Sobwe ntame.”
26 Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa amemkata sikio, akamuuliza, “Je, mimi sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?”
Musebenshi naumbi wa mukulene wabeshimilumbo bonse, mwanse muntusa Petulo ngwalakwempula litwi, walamwipusheti, “Sena ndiya kukubonapo mulibala musa nkoli nendi?”
27 Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye jogoo akawika wakati huo huo.
Petulo walakana kayi, pacindi copeleco kombwe walalila.
28 Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka.
Mumene mene bamakulene baBayuda balamumanta Yesu kufuma kuli Kayafa nekuya nendi kunga'nda ya mwendeleshi wa Loma. Bantu bangi balashala pansa, kutina kwambeti ningababa babulakuswepa, kayi nkabela kusuminishiwa kulyako Pasika.
29 Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa akawauliza, “Mmeleta mashtaka gani kumhusu mtu huyu?”
Neco Pilato walapulapansa nekubepusheti, “Mulamucana nemulandu cini muntuyu?”
30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”
Nabo balambeti, “Nalabula kwinsa byaipa muntuyo netuliya kumuleta kuli njamwe sobwe.”
31 Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.”
Neco Pilato walabambileti, “Mumanteni mwenga mumomboloshe kwelana ne milawo yenu.” Nsombi Bayuda basa balambeti, “Afwe nkatwasuminishiwa kushina muntu sobwe.”
32 Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.
Ibi byalenshika kwambeti maswi Yesu ngalamba sha lufu lwakendi akwanilishiwe.
33 Kwa hiyo Pilato akaingia ndani ya jumba la kifalme, akamwita Yesu, akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”
Pilato walengila munga'nda yakendi kayi, nekukuwa Yesu. Walamwipusheti, “Sena obe, njobe Mwami wa Bayuda?”
34 Yesu akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”
Yesu walambeti, “Sena kwamba kulico nikwenu mobene, nambi pali bantu balamwambilapo sha njame?”
35 Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, ama sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya kosa gani?”
Pilato walambeti, “Sena ulayeyengeti njame Muyuda? Nibantu bakobe kayi ne beshimilumbo bamakulene endibo balakulete kulinjame, nomba walensa cani?”
36 Yesu akajibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, wafuasi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini kama ilivyo, ufalme wangu hautoki hapa ulimwenguni.”
Yesu walakumbuleti, “Bwami bwakame ntebo bwapacishi capanshi sobwe. Bwami bwakame nebwanga bwapacishi capanshi pano batuloba bakame nebalandwaninini nkondo kwambeti babule kuntwala kuli bamakulene baBayuda. Nsombi bwami bwakame ntebo bwa pacishi capanshi sobwe.”
37 Pilato akamuuliza, “Kwa hiyo wewe ni mfalme?” Yesu akajibu, “Wewe wasema kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili nilizaliwa, na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Mtu yeyote aliye wa kweli husikia sauti yangu.”
Pilato walambeti, “Lino ekwambeti njobe Mwami ntendimo?” Yesu walambeti, “Mulalyambili mobene kwambeti njame Mwami. Ame ndalesa pacishi capanshi pano kayi ndalasemwa nekwisa mucishi kusakwamba cancine ncine. Uliyense usuni cancine ncine ukute kunyumfwa maswi akame.”
38 Pilato akamuuliza Yesu, “Kweli ni nini?” Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena akawaambia wale viongozi wa Wayahudi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lolote alilotenda mtu huyu.
Pilato walamwipusha Yesu, “Anu cancine ncine nicani?” Pilato mpwalamba maswi awa, walapula kunsa kwalikuba Bayuda, nekubambileti, “Ame ndiya kumucanapo ne mulandu uli wonse muntuyu.
39 Lakini ninyi mna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”
Nsombi kukonka cinga cenu, pacindi ca kusekelela Pasika nkute kumusungulwila muntu umo. Sena mulayandanga kwambeti ndimusungwilile Mwami waBayuda uyu?”
40 Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyangʼanyi.
Popelapo nabo balolobesha nekwambeti, “Uyo sobwe nsombi Balaba.” Balaba walikuba cigabenga.