< Yohana 18 >

1 Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo.
Baada jha Yesu kujobha malobhi agha, akabhoka ni bhanafunzi bha muene kul'otela bonde lya Kidron, ambako kwajhele ni bustani, ambako muene ni bhanafunzi bha muene bhakajhingila mugati.
2 Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara.
Henu Yuda, jhola jhaalondeghe kun'saliti, ni muene alimanyili lilobhi e'lu, kwani Yesu ajhele illota lieneo lela mara kadhaa ni bhanafunzi bha muene,
3 Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha.
Ni muene Yuda baada jhakubhona akabhili likundi lya maaskari ni maofisa kuhomela kwa bhabhaha bha makuhani, bhakahida ni taa, kurunzi ni silaha.
4 Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”
Nu muene Yesu, akajha amanyili khila khenu kyakibhombeleghe dhidi jha muene, akakitokesya pa longolo ni kubhakota, “Niani mukandonda?”
5 Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.” Yesu akawajibu, “Mimi ndiye.” Yuda, yule aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao.
Ni bhene bhan'jibili, “Yesu Mnazareth.” Yesu akabhajobhela, “Ndo nene” Ni muene Yuda jha an'saliti, ajhele ajhemili pamonga ni bhala askari.
6 Yesu alipowaambia, “Mimi ndiye,” walirudi nyuma na kuanguka chini!
Henu bho abhajobhili, “Ndio nene” bhakerebhuiki kinyume bhakabina pasi.
7 Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Nao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”
Halafu akabhakota kabhele, “Niani mukandonda? Ni bhene bhakan'jibu kabhele “Yesu mnazareth.”
8 Yesu akawaambia, “Nimekwisha kuwaambia kuwa, mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa watu waende zao.”
Yesu akabhajibu, “Nimalili kubhajobhela Ndio nene; henu kama mkanilonda nene, mubhalekayi bhangi abha bhalotayi.”
9 Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”
Agha ghajhele naha ili lilobhi lela litimilikayi; pa ajobhi pala; “Katika bhaukanipelili, nikanjasilepi hata mmonga.”
10 Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.
Ndipo Simoni Petro, jha ajhele ni upanga akaufuta ni kun'dumula mb'olokoto lya kulia n'tumishi ghwa Kuhani mbaha. Ni lihina lya muene n'tumishi jhola lya jhele Malko.
11 Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?”
Yesu akan'jobhela Petro, “Ubhukerusiajhi upanga ghwa jhobhi mu ala jhike. Kwa ndabha jha kiki nisikinyweli kikombi khela kyaanipelili Dadi?”
12 Hivyo wale askari, wakiwa pamoja na majemadari wao na maafisa wa Wayahudi, wakamkamata Yesu na kumfunga.
Basi likundi lela lya askari ni jemedari, ni bhatumishi bha Bhayahudi, bhan'kamuili Yesu ni kun'konga.
13 Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule.
Na bhene bhandonguisi mpaka kwa Anasi, kwani muene ajhele mkwe ghwa Kayafa, ambaye ajhele Kuhani mbaha kwa mwaka obhu.
14 Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.
Henu Kayafa ndo abhapelili ushauri Bhayahudi jhi kujha jhilondeka munu mmonga afuayi kwa ndabha jha bhanu.
15 Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia ndani ya ukumbi pamoja na Yesu.
Simoni Petro an'kesisi Yesu, mebhu ni bhanafunzi bhangi. Ni mwanafunzi jhola jha amanyikene kwa kuhani mbaha, ni muene akajhingila pamonga ni Yesu mu libehewa lya kuhani mbaha;
16 Lakini Petro alisimama nje karibu na lango, ndipo yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na kuhani mkuu, akazungumza na msichana aliyekuwa analinda lango, akamruhusu Petro aingie ndani.
lakini Petro ajhemili kwibhala kundiangu. Mwanafunzi jhola jha amanyikene kwa kuhani mbaha apitili kwibhala akalota kulongela ni n'dala jhola n'tumishi jhaalendeghe ndiangu ni kunjhingisya Petro mugati.
17 Yule msichana akamuuliza Petro, “Je, wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?” Petro akajibu, “Sio mimi.”
Basi kijakazi jhola jha alandeghe pandiangu, an'jobhili Petro, “Je bhebhe sio ndo mmonga ghwa bhafuasi bha munu ojho?” Ni muene akajobha, “Ne lepi.”
18 Wale watumishi na askari walikuwa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
Ni bhala bhatumishi ni bhabhaha bhajhemili mahali pala, bhakajha bhakosili muoto bhijhota kwa ndabha kwa jhele ni mepu, bhakajha bhijhota ili kukabha joto. Ni Petro ajhenabhu ijhota muoto ajhemili.
19 Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.
Kuhani mbaha akan'kota Yesu juu jha bhanafunzi bha muene ni mafundisu gha muene.
20 Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza waziwazi mbele ya watu wote. Siku zote nimefundisha katika masinagogi na Hekaluni, mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Sikusema jambo lolote kwa siri.
Yesu akajibu, “Nibhujobhili waziwazi bhulimwengu; Nene nafundisi mara kwa mara mu masinagogi ni mahekalu mahali ambapo bhayahudi bhikusanyika. Nani najobhilepi lyolyoha kwa kufigha.
21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”
Kwandabha jha kiki mwanikotili? Mubhakotayi bhabhanip'elekisi juu jha khela kya nikijobhili. Bhanu abha bhamanyili mambo ghala ghanighajobhili.
22 Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa askari aliyekuwa amesimama karibu naye, akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?”
Yesu bho amalikujobha aghu, mmonga ghwa bhabhaha jha ajhemili akan'tobha Yesu kwa kibhoko kya muene ni kujobha, “Je, ndo jhilondeka naha kun'jibu kuhani mbaha?”
23 Yesu akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”
Ni Yesu akan'jibu, “Kama nijobhili lijambo lyolyoha linofu lepi basi ujhelayi shahidi kwa ndabha jha uovu, na kama nirijibili kinofu kwandabha jha kiki ukanitobha?
24 Ndipo Anasi akampeleka Yesu kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.
Ndipo Anasi ampeliki Yesu kwa Kayafa kuhani mbaha khoni akongibhu.
25 Wakati huo Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Baadhi ya wale waliokuwepo wakamuuliza, “Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wake?” Petro akakana, akasema, “Sio mimi.”
Henu Simoni Petro akajha ajhemili ijhota muoto. Halafu bhanu bhala bhakan'jobhela. “Je, bhebhe pia si mmonga ghwa bhanafunzi bha muene?” Akabele akajobha “Nene lepi.”
26 Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa amemkata sikio, akamuuliza, “Je, mimi sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?”
Mmonga ghwa bhatumishi bha kuhani mbaha ambajhe ajhele ndongomunu ghwa jhola jha adumulibhu mbolokhoto ni Petro akajobha, “Je sio bhebhe nikakubhwene naku ku bustani?”
27 Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye jogoo akawika wakati huo huo.
Petro akabela kabhele, ni mara likongobhe likabheka.
28 Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka.
Kisha bhakan'tola Yesu kuhoma kwa Kayafa mpaka ku Praitorio. Kwajhelukhela lubhuliku. Bhabhu bhene bhaijhingi lepi jhela Praitorio ili bhasihidi bhakanajisika ni kujhilya pasaka.
29 Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa akawauliza, “Mmeleta mashtaka gani kumhusu mtu huyu?”
Henu Pilato akabhalotela akajobha. “Lishitaka lelekhu lyalikan'husu munu ojho?”
30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”
Bhakan'jibu ni kun'jobhela, “Munu ojho nga ajhiabhombi lepi makosa ngatundetili lepi kwa bhebhe.”
31 Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.”
Pilato akabhajobhela, “Mun'tolayi mwejhomu, mukan'hukumuayi kul'engana ni sheria jha muenga.” Ni bhene Bhayahudi bhakan'jobhela, “Sheria jhikaturuhusu lepi tete kun'koma munu jhejhioha.”
32 Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.
Bhajobhili agha ili lilobhi lya Yesu litimilikayi, lilobhi ambalyo amalikujobha juu jha aina jha kifo kya kya muene.
33 Kwa hiyo Pilato akaingia ndani ya jumba la kifalme, akamwita Yesu, akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”
Basi Pilato akajhingila kabhele Praitorio ankutilepi Yesu; akan'jobhela, “Je, bhebhe ndo mfalme ghwa Bhayahudi?”
34 Yesu akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”
Yesu an'jibili, “Je, bhebhe ukanikota lisuali e'le kwa ndabha wilonda kumanya au kwandabha bhangi bhakutumili ili unikotayi nene?”
35 Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, ama sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya kosa gani?”
Ni muene pilato akan'jibu, “Nene na Myahudi, au lepi?” Litaifa lya bhebhe ni kuhani mbaha ndo bhakuletili kwa nene; bhebhe uketili kiki?
36 Yesu akajibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, wafuasi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini kama ilivyo, ufalme wangu hautoki hapa ulimwenguni.”
Yesu akajibu; “Ufalme bhwa nene sio bhwa ulimwengu obho, kama ufalme bhwa nene ngabhujhele bhwa ulimwengu obho bhatumwa bha nene ngabhajhemili ili nisibhekibhu kwa bhayahudi. Kwa kweli ufalme bhwa nene bhwihomela lepi apa”
37 Pilato akamuuliza, “Kwa hiyo wewe ni mfalme?” Yesu akajibu, “Wewe wasema kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili nilizaliwa, na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Mtu yeyote aliye wa kweli husikia sauti yangu.”
Basi Pilato akan'jobhela, “Je, bhebhe wa mfalme?” Yesu akajibu, “bhebhe ndo kya wijobha kujha nene na mfalme, Kwandabha ejhe nene nahogoliki na kwandabha nene nihidili pa ulimwengu ili nijhelayi shahidi ghwa kweli jhela. Jhejhioha jha ajhele ghwa ejhu kweli akajhipelekesya sauti jha nene.
38 Pilato akamuuliza Yesu, “Kweli ni nini?” Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena akawaambia wale viongozi wa Wayahudi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lolote alilotenda mtu huyu.
Pilato akan'jobhela, “Kweli ndo kiki?” Ni muene bho amalikujobha agha akalota kwa Bhayahudi ni kujobha “Nikalibhona lepi likosa lyolyoha kwa munu ojho.
39 Lakini ninyi mna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”
Muenga mujhele ni utamaduni bhwa ukanifuanya nimfungulilayi mfungwa mmonga wakati wa Pasaka. Je mwilonda nibhafungulilayi mfalme ghwa Bhayahudi.”
40 Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyangʼanyi.
Kisha bhapigili majhuegha bhakajobha, ojho lepi, tufungulilayi Baraba.” Ni muene Baraba ajhele mnyang'anyi.

< Yohana 18 >