< Yohana 18 >
1 Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo.
Jesuh ktaiyü law päng se axüisaw he am Kidron Lawngca caye da va citkie. Acuna hnüna ngvawng veki, acun üng axüisaw he am atänga lutkie.
2 Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara.
Jesuh cun axüisaw he am acuna hnüna khawvei cit khawikiea kyase, cengkia Judah Iskarot naw acuna hnün cun ksingki.
3 Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha.
Judah ngvawng da citki. Romah yekape, ktaiyü ngvaie ja Pharisee naw ami jah tüi law Temple ngängkia khyange avang jah lawpüi se, mthikcime, meiim ja ngtukmei jah kawteikie cun acuia a jah lawpüi.
4 Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”
Jesuh naw a khana pha law khai naküt jah ksingei lü, va cit lü, “U nami suiki ni?” a ti.
5 Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.” Yesu akawajibu, “Mimi ndiye.” Yuda, yule aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao.
Amimi naw, “Nazaret Jesuh,” ni ami ti. Jesuh naw, “Acun cun kei ni” a ti. Cengkia Judah pi ami ksunga ngdüi hngaki.
6 Yesu alipowaambia, “Mimi ndiye,” walirudi nyuma na kuanguka chini!
Jesuh naw, “Acun cun kei ni” a ti ja, ami hnua ngnawn u lü mdeka kyukie.
7 Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Nao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”
Jesuh naw, “U nami suiki ni?” ti lü a jah kthäh betü. Amimi naw, “Nazaret Jesuh” ami ti.
8 Yesu akawaambia, “Nimekwisha kuwaambia kuwa, mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa watu waende zao.”
Jesuh naw, “Acun cun kei ni, ti lü ka ning jah mtheh päng; kei nami na suikia a kyak üng akce he cit u se” a ti.
9 Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”
(Acun cun, “Nang naw na na jah pet mat pi käh ka mkhyüh khai ni” ti lü a ngthu pyen akümnak vaia kyaki.)
10 Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.
Sihmon Pita naw kcim a kbahei kset lü Ktaiyü Ngvai säiha mpyaa nghnga khet da a ksawm pat. Acuna mpyaa ngming cun Malakhuha kyaki.
11 Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?”
Jesuh naw Pita üng, “Kcim a im üng xawn bea; ka Pa naw a na peta khuikhatnak khawt hin am ka aw khai aw?” a ti.
12 Hivyo wale askari, wakiwa pamoja na majemadari wao na maafisa wa Wayahudi, wakamkamata Yesu na kumfunga.
Acunüng, Romah yekape ja Temple ngängkia Judah khyange naw Jesuh man u lü, khitkie naw,
13 Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule.
Annaa veia ami cehpüi ma u. Anna cun acuna kum üng Ktaiyü Ngvaisäih Kaiphaha pupua kyaki.
14 Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.
Kaiphah cun, “Khyang khawhaha phäh khyang mat a thih daw bawki” ti lü, Judah ngvaie jah mthehkia khyanga kyaki.
15 Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia ndani ya ukumbi pamoja na Yesu.
Sihmon Pita ja axüisaw he üngka mat naw Jesuh läki xawi. Acuna axüisaw üngka mat cun Ktaiyü Ngvaisäih naw ksingki; Ktaiyü Ngvai säiha im ngvawng mkawt k’uma Jesuh am lutki xawi.
16 Lakini Petro alisimama nje karibu na lango, ndipo yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na kuhani mkuu, akazungumza na msichana aliyekuwa analinda lango, akamruhusu Petro aingie ndani.
Acunsepi Pita cun khawkpung mkawt peia ngdüiki. Acunüng axüisaw kce mat va nghlat be lü mkawt ksawh ngängki nghnumica kthäh lü Pita a luh lawpüi.
17 Yule msichana akamuuliza Petro, “Je, wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?” Petro akajibu, “Sio mimi.”
Mkawt ksawh ngängkia nghnumica naw Pita üng, “Nang pi ania xüisawa am na kyaki aw?” a ti. “Am ni nawng” Pita naw a ti.
18 Wale watumishi na askari walikuwa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
Khawsikia kyase, mpyae ja Romah yekape naw mei tik lü ngdüi lü mei omkie. Pita pi ami hlawnga va ngdüi lü mei awmei hngaki.
19 Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.
Ktaiyü Ngvaisäih naw axüisaw hea mawng ja a jah mtheia mawng Jesuh üng a kthäh.
20 Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza waziwazi mbele ya watu wote. Siku zote nimefundisha katika masinagogi na Hekaluni, mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Sikusema jambo lolote kwa siri.
Jesuh naw msang lü, “Ngthu ka pyen üng khyanga hmuh ngjaka va ka pyenki. Sinakok ja Judahea ami ngbumnak Templea ka jah mthei khawiki, khyange pi ngcun lawkie, ampyua i am pyen khawi nawng.
21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”
“Ise na na kthäh ni? Ami veia ka ngthu pyena mawng cun ka ngthu ngjakie jah kthäha; acune naw i ka pyen ksingki he” a ti.
22 Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa askari aliyekuwa amesimama karibu naye, akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?”
Acun a pyen üng a peia ngdüiki, yekap mat naw Jesuh kbei lü, “Ktaiyü Ngvaisäih ahikba na msangki aw?” a ti.
23 Yesu akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”
Jesuh naw, “Ka pyen mkhye a ve üng ahin üng veki naküt üng jah mtheha. Ka pyen cangki ani üng, ise na na kbeiki ni?” a ti.
24 Ndipo Anasi akampeleka Yesu kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.
Acunüng Anna naw Jesuh a ngkhihnak mahmaha Ktaiyü Ngvaisäih Kaiphah a veia a tüih.
25 Wakati huo Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Baadhi ya wale waliokuwepo wakamuuliza, “Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wake?” Petro akakana, akasema, “Sio mimi.”
Sihmon Pita ngdüi lü mei om ham se, khyang kce he naw, “Nang pi ania xüisawa am na kyaki aw?” ami ti üng, “Am ni nawng,” ti lü, ngcim betüki.
26 Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa amemkata sikio, akamuuliza, “Je, mimi sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?”
Ktaiyü Ngvai säiha a mpya Pita naw a nghnga a ksawm pata a mjükphyüi mat naw, “Ani am ngvawnga ve niki se ka ning jah hmuh am ni mä?” a ti.
27 Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye jogoo akawika wakati huo huo.
Pita a ngcim betü ja; ainghlüi khawngki.
28 Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka.
Khawa ngawi law üng, Jesuh Kaiphaha im üngkhyüh sangpuxanga Bawingawhnaka ami cehpüi u. Judah ngvaie cun sangpuxanga Bawingawhnaka am lut u. Lätnak Pawi buh ami einak thei vaia, ngcingcaihnak am amimät ami ve vaia phäh kyaki.
29 Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa akawauliza, “Mmeleta mashtaka gani kumhusu mtu huyu?”
Acunüng, Pilat akpunga lut law lü, “Hina khana i nami mkatnak ve se aw?” a ti.
30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”
Amimi naw, “Hin hin khyangkaa am a ni üng na veia am lawpüi sawxat u nawng” ti lü ami msang.
31 Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.”
Pilat naw, “Namimät naw cehpüi u lü, nami thuma kba cijang ua,” a ti. Judah mkhawnge naw, “Kami ngaiha u hnim vaia thum am ve” ami ti.
32 Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.
(Acun cun a thih vaia mawng Jesuh naw a pyena mäiha akümnak law vaia kyaki.)
33 Kwa hiyo Pilato akaingia ndani ya jumba la kifalme, akamwita Yesu, akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”
Pilat naw Bawingawhnaka lut be lü Jesuh khüki naw, “Nang Judahea sangpuxanga na kyaki aw?” ti lü a kthäh.
34 Yesu akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”
Jesuh naw, “Hina ngthu hin namäta mlung üngka naw lut lawki aw. Am ani üng ka mawngma khyange naw ning mtheh u se na pyen aw?” ti lü a kthäh be.
35 Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, ama sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya kosa gani?”
Pilat naw, “Kei Judah khyanga na ngaih aw? Namäta khyang mjüe ja ktaiyü ngvaie naw ka kut üng ami na msum lawa na kyaki. Ia mkhyenak na pawh ni?” ti lü a msang.
36 Yesu akajibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, wafuasi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini kama ilivyo, ufalme wangu hautoki hapa ulimwenguni.”
Jesuh naw, “Ka khaw ta hina khawmdek üng am sängei; ka khaw hin hina khawmdek üng a sängei vai sü ta ka hnukläke naw Judah ngvaiea kut üngkhyüh na yung khaie sü; ka khaw hin hina khawmdeka am ni” ti lü a pyen.
37 Pilato akamuuliza, “Kwa hiyo wewe ni mfalme?” Yesu akajibu, “Wewe wasema kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili nilizaliwa, na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Mtu yeyote aliye wa kweli husikia sauti yangu.”
Pilat naw, “Acunüng, nang sangpuxang aw?” ti se, Jesuh naw, “Ä, na pyena mäiha kei sangpuxang ni. Ka hmi lawnak ja khawmdek khana ka lawnak hin ngthungtak saksinak vaia phäha kyaki. Au pi ngthungtak üng sängeiki naküt naw ka ngthu ngaiki” a ti.
38 Pilato akamuuliza Yesu, “Kweli ni nini?” Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena akawaambia wale viongozi wa Wayahudi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lolote alilotenda mtu huyu.
Pilat naw Jesuh üng, “Ngthungtak cun i ni?” a ti. Acuna ngthu a pyen päng ja Judahea veia cit lü, “Thihnak awng vaia mkhyenak ani üng am hmu veng,
39 Lakini ninyi mna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”
acunsepi Lätnak Pawi k’um üng thawng kyum mat ka ning jah mhlät pet vaia thum nami taki. Acunakyase, Judahea sangpuxang hin ka ning jah mhlät pet vaia nami ngaiki aw?” a ti.
40 Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyangʼanyi.
Amimi naw ngpyang u lü, “Ani käh mhläta. Barabah jah mhlät peta” ami ti. (Barabah cun mawa ve lü kcim kcei bikia mpyukeia kyaki.)