< Yohana 17 >

1 Baada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema: “Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe.
Jesu hamana ku wamba izi zintu, ncha katwila menso akwe kwi wulu mi na ti, “Itayo, inako chi yasika, ulumbeke Mwanako njo kuti Mwana naye aku lumbeke-
2 Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios g166)
sina kamo ba muheli buyendisi he wulu lya zi bumbantu zonse njo kuti awole kuha buhalo busamani kwa zumwi ni zumwi yo ba muhi. (aiōnios g166)
3 Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios g166)
Ubu buhalo busamani: kuti ba kwizi, Ireeza yenke we niti, mi iye yo ba tumi, Jesu Kerisite. (aiōnios g166)
4 Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.
Ni baku tembi hansi. Ni ba mani mutendo oba nihi kuti ni tende.
5 Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ulimwengu haujakuwepo.
Linu, Tayo, ni tembe hamwina nawe cha ku tembwa ku ni bena nawe pili inkanda ni seni ku bumbwa.
6 “Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako.
Ni ba sinululi izina lya ko ku bantu bo banihi kuzwilila mwi nkanda. I bali bako, mi ni waba ni ha, mi baba kuteki inzwi lya ko.
7 Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako,
Hanu chi bezi kuti zintu zonse zo banihi zi zwa kwako,
8 kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma.
mukuti ni babahi ma nzwi anse oba nihi. Ba ba atambuli mi cho buniti ba be zibi kuti nibazwi kwako, mi baba zumini kuti ubani tumi.
9 Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako.
Ni ba lapelela. Kani lapeleli inkanda kono ni lapelela abo boba nihi, mukuti nji bako.
10 Wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao.
Chonse chili cha ngu nji chako, mi chako nji changu, mi ni tembetwe mu bali.
11 Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa jina lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
Kani si mwina mwi inkanda, kono aba bantu bena mwi inkanda, mi ni keza kwako. I tayo yo Jolola, ba bike mwi zina lyako abo boba nihi njikuti babe ba mwina, sina hatuli umwina.
12 Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda, wakawa salama kwa lile jina ulilonipa. Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa upotevu, ili Maandiko yapate kutimia.
Hani ba sina nabo, ni baba bikite mwi zina lyako, lyo banihi. Ni baba silelezi, mi nanta yenke wabo ya ba sinyehi, kwanda ya mwana we nsinyeho, njo kuti mañolo e zuzilizwe.
13 “Lakini sasa naja kwako, nami ninasema mambo haya wakati bado nikiwa ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu kamili ndani yao.
Hanu ni keza kwako, kono ni wamba izi zintu mwi inkanda nji kuti babe ni ku saanga kwangu kwi zuzilizwe mu bali.
14 Nimewapa neno lako, nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu huu.
Ni ba bahi inzwi lya ko, mi inkanda ibaba toyi kakuti kahena be nkanda, sina hani sali we nkanda.
15 Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu.
Kani kukumbili kuti uba zwise mwi inkanda kono uba wungule ku mubilala.
16 Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu.
Kahena be inkanda, sina hani sali we inkanda.
17 Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.
Ba kungule kumbali cho buniti. Inzwi lyako buniti.
18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.
Sina mo bani tumini mwi inkanda, linu nibaba tumi mwi inkanda.
19 Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.
Che baka lyabo ni bali kunguli kumbali, mukuti abo beene nabo ba kungwilwe kumbali mubu niti.
20 “Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao
Kani lapeli bulyo chaba, kono nabo bonse bani zumine kache nzwi lyabo.
21 ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi.
Njo kuti bonse babe bamwina, sina iwe, Tayo, mwina mwa ngu, mi nina mwenu. Ni lapela kuti nabo babe mwetu njo kuti inkanda mwi zumine kuti ubani tumi.
22 Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.
Kutembwa kuna kobanihi, ni ba kubahi, njo kuti babe ba mwina, sina hatuli bamwina.
23 Mimi ndani yako na wewe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja na ulimwengu upate kujua ya kuwa umenituma, nami nimewapenda wao kama unavyonipenda mimi.
I me mu baali, mi iwe mwangu. Njo kuti be zuzilizwe mu mwina, njo kuti inkanda izibe kuti uba ni tumi, mi uba ba suni, sina mo ba ni sunini.
24 “Baba, shauku yangu ni kwamba, wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili waweze kuuona utukufu wangu, yaani, utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.
Tayo, Ni saka kuti abo bo banihi nabo babe name kwete nibe njo kuti ba bone ku tembwa kwangu, ko banihi. Mukuti ubani suni kuzwililila ku matangilo a ku bumbwa kwe inkanda.
25 “Baba Mwenye Haki, ingawa ulimwengu haukujui, mimi ninakujua, nao wanajua ya kuwa umenituma.
Itayo yo lukiti, inkanda kena iba kwizi, kono ni kwizi: mi aba bezi kuti ubani tumi.
26 Nimefanya jina lako lijulikane kwao nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili kwamba upendo ule unaonipenda mimi uwe ndani yao na mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.”
Ni be zibisi izina lya ko kubali, mi ni sili izibisa njo kuti ke lato lyo bani saki kalyo libe mubali, mi munibe mubali.”

< Yohana 17 >