< Yohana 16 >

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.
“Eu lhe disse estas coisas para que você não tropeçasse”.
2 Watawatenga na masinagogi. Naam, saa yaja ambayo mtu yeyote atakayewaua atadhani kwa kufanya hivyo anamtumikia Mungu.
Eles o colocarão fora das sinagogas. Sim, está chegando a hora de que quem matar você pensará que ele oferece serviço a Deus.
3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
Eles farão estas coisas porque não conheceram o Pai nem a mim.
4 Lakini nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo ikiwadia mpate kukumbuka ya kuwa nilikuwa nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
Mas eu lhes disse estas coisas para que quando chegar a hora, vocês possam se lembrar que eu lhes falei sobre elas. Eu não lhes disse estas coisas desde o início, porque estava com vocês.
5 “Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?’
Mas agora eu vou até aquele que me enviou, e nenhum de vocês me pergunta: “Para onde vocês vão?”
6 Kwa sababu nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.
Mas porque eu lhes disse estas coisas, a tristeza encheu seu coração.
7 Lakini nawaambia kweli, yafaa mimi niondoke, kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.
No entanto, digo-lhes a verdade: É vantajoso para vocês que eu vá embora; pois se eu não for embora, o Conselheiro não virá até vocês. Mas se eu for, eu o mandarei até você.
8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.
Quando ele vier, condenará o mundo sobre o pecado, sobre a justiça e sobre o julgamento;
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,
sobre o pecado, porque eles não acreditam em mim;
10 kwa habari ya haki, kwa sababu ninakwenda kwa Baba, nanyi hamtaniona tena,
sobre a justiça, porque eu vou para meu Pai, e vocês não me verão mais;
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
sobre o julgamento, porque o príncipe deste mundo foi julgado.
12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
“Eu ainda tenho muitas coisas para lhe dizer, mas você não pode suportá-las agora.
13 Atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.
Entretanto, quando ele, o Espírito da verdade, tiver chegado, ele vos guiará em toda a verdade, pois não falará de si mesmo; mas o que quer que ele ouça, falará. Ele declarará a vocês as coisas que estão por vir.
14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
Ele me glorificará, pois tirará do que é meu e o declarará a vocês.
15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho atachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
Todas as coisas que o Pai tem são minhas; por isso eu disse que ele toma do que é meu e o declarará a Vós.
16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.”
“Um pouco de tempo e você não me verá. De novo um pouco, e você me verá”.
17 Baadhi ya wanafunzi wakaulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’? Naye ana maana gani asemapo, ‘Kwa sababu ninakwenda kwa Baba’?”
Alguns de seus discípulos disseram uns aos outros: “O que é isto que ele nos diz: 'Um pouco de tempo, e não me vereis, e novamente um pouco, e me vereis;' e, 'Porque eu vou para o Pai'”?
18 Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Kitambo kidogo’? Hatuelewi hilo analosema.”
Disseram então: “O que é isto que ele diz: 'Um pouco de tempo'? Nós não sabemos o que ele está dizendo”.
19 Yesu akatambua kuwa walitaka kumuuliza juu ya hilo, hivyo akawaambia, “Je, mnaulizana nina maana gani niliposema, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’?
Therefore Jesus percebeu que eles queriam perguntar-lhe, e disse-lhes: “Inquiriram entre vocês a respeito disso, que eu disse: 'Um pouco, e não me verão, e novamente um pouco, e me verão...'
20 Amin, amin nawaambia, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi. Ninyi mtahuzunika, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
Certamente lhes digo que vão chorar e lamentar, mas o mundo vai se alegrar. Você ficará triste, mas sua tristeza será transformada em alegria.
21 Mwanamke anapokuwa na utungu wa kuzaa huwa na maumivu kwa sababu saa yake imewadia. Lakini mtoto akiisha kuzaliwa, yule mwanamke husahau maumivu hayo kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtoto ulimwenguni.
Uma mulher, quando dá à luz, tem tristeza porque chegou a sua hora. Mas quando ela dá à luz, ela não se lembra mais da angústia, pela alegria de um ser humano ter nascido no mundo.
22 Hivyo ninyi mna maumivu sasa, lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi na furaha yenu hakuna awaondoleaye.
Portanto, agora você tem tristeza, mas eu o verei novamente, e seu coração se alegrará, e ninguém lhe tirará sua alegria.
23 Katika siku hiyo hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lolote kwa jina langu, yeye atawapa.
“Naquele dia você não me fará perguntas. Certamente eu lhe digo que tudo o que você pedir ao Pai em meu nome, ele lhe dará”.
24 Mpaka sasa hamjaomba jambo lolote kwa Jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate kuwa kamili.
Até agora, você não perguntou nada em meu nome. Pedi, e recebereis, para que vossa alegria seja plena.
25 “Nimewaambia mambo haya kwa mafumbo. Saa yaja ambapo sitazungumza nanyi tena kwa mafumbo bali nitawaeleza waziwazi kuhusu Baba.
“Eu lhes falei estas coisas em figuras de linguagem. Mas está chegando o momento em que não falarei mais a vocês em figuras de linguagem, mas lhes falarei claramente sobre o Pai”.
26 Siku hiyo mtaomba kwa Jina langu. Wala sitawaambia kwamba nitamwomba Baba kwa ajili yenu,
Nesse dia pedireis em meu nome; e não vos digo que rezarei ao Pai por vós,
27 kwa maana Baba mwenyewe anawapenda, kwa sababu mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
pois o próprio Pai vos ama, porque me amastes, e acreditastes que eu vim de Deus”.
28 Nilitoka kwa Baba na kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba.”
Eu vim do Pai e vim ao mundo. Novamente, deixo o mundo e vou para o Pai”.
29 Ndipo wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo.
Seus discípulos lhe disseram: “Eis que agora você está falando claramente, e não usa figuras de linguagem.
30 Sasa tumejua kwamba wewe unajua mambo yote, wala hakuna haja ya mtu kukuuliza maswali. Kwa jambo hili tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”
Agora sabemos que você sabe tudo, e não precisa que ninguém o questione. Por isso, acreditamos que você veio de Deus”.
31 Yesu akawajibu, “Je, sasa mnaamini?
Jesus respondeu-lhes: “Vocês agora acreditam?
32 Saa inakuja, naam, imekwisha kuwadia, mtakapotawanyika kila mmoja kwenda nyumbani kwake na kuniacha peke yangu. Lakini mimi siko peke yangu kwa sababu Baba yu pamoja nami.
Eis que a hora está chegando, sim, e chegou agora, que vocês serão dispersos, cada um em seu próprio lugar, e vocês me deixarão em paz. Mas eu não estou só, porque o Pai está comigo.
33 Nimewaambia mambo haya, ili mpate kuwa na amani mkiwa ndani yangu. Ulimwenguni mtapata dhiki. Lakini jipeni moyo, kwa maana mimi nimeushinda ulimwengu.”
Eu lhes disse estas coisas, que em mim vocês podem ter paz. No mundo vocês têm problemas; mas animem-se! Eu venci o mundo”.

< Yohana 16 >