< Yohana 16 >

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.
this/he/she/it to speak you in order that/to not to cause to stumble
2 Watawatenga na masinagogi. Naam, saa yaja ambayo mtu yeyote atakayewaua atadhani kwa kufanya hivyo anamtumikia Mungu.
excommunicated to do/make: do you but to come/go hour in order that/to all the/this/who to kill you to think ministry to bring to the/this/who God
3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
and this/he/she/it to do/make: do (you *k*) that/since: since no to know the/this/who father nor I/we
4 Lakini nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo ikiwadia mpate kukumbuka ya kuwa nilikuwa nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
but this/he/she/it to speak you in order that/to when(-ever) to come/go the/this/who hour (it/s/he *no*) to remember it/s/he that/since: that I/we to say you this/he/she/it then you out from beginning no to say that/since: since with/after you to be
5 “Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?’
now then to go to/with the/this/who to send me and none out from you to ask me where? to go
6 Kwa sababu nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.
but that/since: since this/he/she/it to speak you the/this/who grief to fulfill you the/this/who heart
7 Lakini nawaambia kweli, yafaa mimi niondoke, kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.
but I/we the/this/who truth to say you be profitable you in order that/to I/we to go away if for (I/we *o*) not to go away the/this/who counsellor (no to come/go *NK(o)*) to/with you if then to travel to send it/s/he to/with you
8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.
and to come/go that to rebuke the/this/who world about sin and about righteousness and about judgment
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,
about sin on the other hand that/since: since no to trust (in) toward I/we
10 kwa habari ya haki, kwa sababu ninakwenda kwa Baba, nanyi hamtaniona tena,
about righteousness then that/since: since to/with the/this/who father (me *k*) to go and no still to see/experience me
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
about then judgment that/since: since the/this/who ruler the/this/who world this/he/she/it to judge
12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
still much to have/be you to say but no be able to carry now
13 Atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.
when(-ever) then to come/go that the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who truth to guide you (in/on/among the/this/who truth all *N(k)O*) no for to speak away from themself but just as/how much (if *k*) (to hear *N(k)(o)*) to speak and the/this/who to come/go to report you
14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
that I/we to glorify that/since: since out from the/this/who I/we to take and to report you
15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho atachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
all just as/how much to have/be the/this/who father I/we to be through/because of this/he/she/it to say that/since: that out from the/this/who I/we (to take *N(k)O*) and to report you
16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.”
small and (no still *N(K)O*) to see/experience me and again small and to appear me (that/since: that I/we to go to/with the/this/who father *K*)
17 Baadhi ya wanafunzi wakaulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’? Naye ana maana gani asemapo, ‘Kwa sababu ninakwenda kwa Baba’?”
to say therefore/then out from the/this/who disciple it/s/he to/with one another which? to be this/he/she/it which to say me small and no to see/experience me and again small and to appear me and that/since: since (I/we *k*) to go to/with the/this/who father
18 Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Kitambo kidogo’? Hatuelewi hilo analosema.”
to say therefore/then which? to be this/he/she/it which to say the/this/who small no to know which? to speak
19 Yesu akatambua kuwa walitaka kumuuliza juu ya hilo, hivyo akawaambia, “Je, mnaulizana nina maana gani niliposema, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’?
to know (therefore/then *K*) the/this/who Jesus that/since: that to will/desire it/s/he to ask and to say it/s/he about this/he/she/it to seek with/after one another that/since: that to say small and no to see/experience me and again small and to appear me
20 Amin, amin nawaambia, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi. Ninyi mtahuzunika, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
amen amen to say you that/since: that to weep and to lament you the/this/who then world to rejoice you (then *k*) to grieve but the/this/who grief you toward joy to be
21 Mwanamke anapokuwa na utungu wa kuzaa huwa na maumivu kwa sababu saa yake imewadia. Lakini mtoto akiisha kuzaliwa, yule mwanamke husahau maumivu hayo kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtoto ulimwenguni.
the/this/who woman when(-ever) to give birth to grief to have/be that/since: since to come/go the/this/who hour it/s/he when(-ever) then to beget the/this/who child no still to remember the/this/who pressure through/because of the/this/who joy that/since: that to beget a human toward the/this/who world
22 Hivyo ninyi mna maumivu sasa, lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi na furaha yenu hakuna awaondoleaye.
and you therefore/then now on the other hand grief to have/be again then to see: see you and to rejoice you the/this/who heart and the/this/who joy you none (to take up *NK(o)*) away from you
23 Katika siku hiyo hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lolote kwa jina langu, yeye atawapa.
and in/on/among that the/this/who day I/we no to ask none amen amen to say you (that/since: that *k*) if (one *N(k)O*) to ask the/this/who father in/on/among the/this/who name me to give you
24 Mpaka sasa hamjaomba jambo lolote kwa Jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate kuwa kamili.
until now no to ask none in/on/among the/this/who name me to ask and to take in order that/to the/this/who joy you to be to fulfill
25 “Nimewaambia mambo haya kwa mafumbo. Saa yaja ambapo sitazungumza nanyi tena kwa mafumbo bali nitawaeleza waziwazi kuhusu Baba.
this/he/she/it in/on/among proverb to speak you (but *K*) to come/go hour when no still in/on/among proverb to speak you but boldness about the/this/who father (to announce *N(k)O*) you
26 Siku hiyo mtaomba kwa Jina langu. Wala sitawaambia kwamba nitamwomba Baba kwa ajili yenu,
in/on/among that the/this/who day in/on/among the/this/who name me to ask and no to say you that/since: that I/we to ask the/this/who father about you
27 kwa maana Baba mwenyewe anawapenda, kwa sababu mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
it/s/he for the/this/who father to love you that/since: since you I/we to love and to trust (in) that/since: that I/we from/with/beside the/this/who (God *NK(O)*) to go out
28 Nilitoka kwa Baba na kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba.”
to go out (from/with/beside *NK(o)*) the/this/who father and to come/go toward the/this/who world again to release: leave the/this/who world and to travel to/with the/this/who father
29 Ndipo wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo.
to say (it/s/he *k*) the/this/who disciple it/s/he look! now (in/on/among *no*) boldness to speak and proverb none to say
30 Sasa tumejua kwamba wewe unajua mambo yote, wala hakuna haja ya mtu kukuuliza maswali. Kwa jambo hili tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”
now to know that/since: that to know all and no need to have/be in order that/to one you to ask in/on/among this/he/she/it to trust (in) that/since: that away from God to go out
31 Yesu akawajibu, “Je, sasa mnaamini?
to answer it/s/he (the/this/who *k*) Jesus now to trust (in)
32 Saa inakuja, naam, imekwisha kuwadia, mtakapotawanyika kila mmoja kwenda nyumbani kwake na kuniacha peke yangu. Lakini mimi siko peke yangu kwa sababu Baba yu pamoja nami.
look! to come/go hour and (now *k*) to come/go in order that/to to scatter each toward the/this/who one's own/private I/we and alone to release: leave and no to be alone that/since: since the/this/who father with/after I/we to be
33 Nimewaambia mambo haya, ili mpate kuwa na amani mkiwa ndani yangu. Ulimwenguni mtapata dhiki. Lakini jipeni moyo, kwa maana mimi nimeushinda ulimwengu.”
this/he/she/it to speak you in order that/to in/on/among I/we peace to have/be in/on/among the/this/who world pressure to have/be but take heart I/we to conquer the/this/who world

< Yohana 16 >