< Yohana 16 >

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.
«Hambe, jaman itsh t keew it imnetiyatse it giwawok'owa etaatniye.
2 Watawatenga na masinagogi. Naam, saa yaja ambayo mtu yeyote atakayewaua atadhani kwa kufanya hivyo anamtumikia Mungu.
Ayhudiyots Ik' k'oni mootse kishder iti gishitno, mank'o itn ud'itu jamwots dab́ Ik'osh bofinirwok'o boosh bí arit aawo weetwe.
3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.
Hanowere bok'alir nihono taano bodanawotsene.
4 Lakini nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo ikiwadia mpate kukumbuka ya kuwa nilikuwa nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
Han itsh tkeewiriye bíaawo b́bodor itsh eeg tkeewtsok'o gaw itdekishe.» Jaman haniyere shin itsh keewo tk'aziye itnton t teshtsotsne.
5 “Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?’
«Andmó taan woshtsok amishee, b́wotiyalor ititse ‹Eewke niameti› err taan aatitwo aaliye.
6 Kwa sababu nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni.
Jaman itsh t keewtsotse it nibo shiyanon s'eenwtsere.
7 Lakini nawaambia kweli, yafaa mimi niondoke, kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.
Taamó arikon aroniye itsh tietiriye, ti amo itsh k'anefe, taa amo t k'azal kup'shitwo itook waratse, taa tiamalmó bín itsh deyitwe.
8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.
Bí b́woor morri jangosh, kááw woti jango, angshi jangosho datsatsi ashuwotsi wok'asitwe.
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi,
Morri jango b́ kitsitiye taan amano bok'azirwoshe.
10 kwa habari ya haki, kwa sababu ninakwenda kwa Baba, nanyi hamtaniona tena,
Kááw woti jango kish b́ kitsitiye niho maants tiametwonat haniye haniyak taan bek'o it k'azetwoshe,
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
Angshi jango kish b́kitsit datsan keewtsoats angshetsoshe.
12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.
«Itsh t keewitwo andoor ay keewo detsfe, ernmó and itatse b́mangiti,
13 Atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.
Arik wotts Shayiro b́ woor ar jamo maants itn jishitwe. Bí b́ keewitwo b́ shishtsoni bako b́tokk woto b́ k'aztsotse bí shinomaants wotit keewo itsh keewitwe.
14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
Tik wottsotse de'er itsh b́keitwotse taan mangitwe.
15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho atachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.
Nihok wotts jamo tikee, ‹Tik wottso de'er itsh keewitwe› ti et manshe.
16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.”
«Muk'i it teshiyakon taan be'atste, ando muk'i it teshiyakon taan bek'etute.»
17 Baadhi ya wanafunzi wakaulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’? Naye ana maana gani asemapo, ‘Kwa sababu ninakwenda kwa Baba’?”
B́ danifwotsitse ik ikwots, «Han, ‹Muk'i b́ teshihakon taan be'atste, ando muk'i it teshihakon taan bek'etute, ando aani nihomaants ametuwe› b́ etiru keewo eebi?» ett boatsatseyo bo aateyi.
18 Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Kitambo kidogo’? Hatuelewi hilo analosema.”
«Eshe han ‹Muk'i b́teshihakon› bí etiru keewo eebi? B́ keewiru keewo danatsone» ett anansh dek't́ boaateyi.
19 Yesu akatambua kuwa walitaka kumuuliza juu ya hilo, hivyo akawaambia, “Je, mnaulizana nina maana gani niliposema, ‘Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona’?
Iyesuswere bín aatosh bogeyirwok'o dank'rat hank'o boosh bíet, «It atsatseyo it aateyirwo, ‹Muk'i b́ teshiyakon taan be'atste, ando aani múk'ibteshiyakon taan bek'etute, › ti ettsosheya?
20 Amin, amin nawaambia, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi. Ninyi mtahuzunika, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
Ariko aron itsh etirwe, it eepetutee, kuhitutee, datsanmó genee'uwitwee, it shiyanitute, ernmó it shiyano gene'o maants woneetwe.
21 Mwanamke anapokuwa na utungu wa kuzaa huwa na maumivu kwa sababu saa yake imewadia. Lakini mtoto akiisha kuzaliwa, yule mwanamke husahau maumivu hayo kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtoto ulimwenguni.
Máátsu bshuwor b shambi aawo b́bodtsotse shiyanitwaniye, bshuwihakonmó datsats na'i marmat'o bshuwetsotse bgene'utsatse tuutson bali b kic'o gawratsaniye.
22 Hivyo ninyi mna maumivu sasa, lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi na furaha yenu hakuna awaondoleaye.
Mank'o and it shiyanitute, ernmó taa aani iti bek'etwe, it mac'onwere gene'uitwe, it gene'uwere itatse dek'etwo aaliye.
23 Katika siku hiyo hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lolote kwa jina langu, yeye atawapa.
«Manots aawots tiyoke eegor k'onratste, ariko arikon itsh etirwe niho tshútson it k'oniyal jam keewo itsh ímetwe.
24 Mpaka sasa hamjaomba jambo lolote kwa Jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate kuwa kamili.
Han b́ borfetsosh t shútson eegor ik keewo k'onrafa'atee, it k'oniyal itsh imetwe, mannowere it gene'uo s'een wotitwe.
25 “Nimewaambia mambo haya kwa mafumbo. Saa yaja ambapo sitazungumza nanyi tena kwa mafumbo bali nitawaeleza waziwazi kuhusu Baba.
«Andish b́borfetso jewron itsh keewre, haniyako jewron itsh t keeweraw aawo weetwe, ernmó niho jangosh jam keewo kishde itsh keewitwe.
26 Siku hiyo mtaomba kwa Jina langu. Wala sitawaambia kwamba nitamwomba Baba kwa ajili yenu,
Manots aawots tshútson k'onitute, taawere ‹Niho it jangosh k'onitwe› eraatse.
27 kwa maana Baba mwenyewe anawapenda, kwa sababu mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
Man eegoshe niho b́tookon iti b́shuntsoshe, nihonwere iti b́shunir taan it shuntsonat Ik'oke twatsok'o it amantsotsne.
28 Nilitoka kwa Baba na kuja ulimwenguni, sasa naondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba.”
Nihoke keshat datsats waare, ando aaniy datsani k'ayr nihok ametuwe.»
29 Ndipo wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo.
B́danifwotswere hank'owa boet, «Hamb! andee jewron b́woterawon shanone n keewi,
30 Sasa tumejua kwamba wewe unajua mambo yote, wala hakuna haja ya mtu kukuuliza maswali. Kwa jambo hili tunaamini kwamba ulitoka kwa Mungu.”
Nee jamo n dantsok'onat nee konnwor neesh aato t'intso b́geyirawok'o and t'iwintsdek'roone, mansh Ik'oke keshat n waatsok'o amanirwone.»
31 Yesu akawajibu, “Je, sasa mnaamini?
Iyesuswere boosh hank'o ett bíaaniy, «Andmó amanertya?
32 Saa inakuja, naam, imekwisha kuwadia, mtakapotawanyika kila mmoja kwenda nyumbani kwake na kuniacha peke yangu. Lakini mimi siko peke yangu kwa sababu Baba yu pamoja nami.
It ik ikets it kaat kaaton bad'arr tiyali k'ayitk'rit sa'ato weetwe, b́ sa'atonwere andbodre, ernomó niho taanton b́wottsotse tiyaltanaliye.
33 Nimewaambia mambo haya, ili mpate kuwa na amani mkiwa ndani yangu. Ulimwenguni mtapata dhiki. Lakini jipeni moyo, kwa maana mimi nimeushinda ulimwengu.”
Han itsh tkeewir tiats deshar jeeno it datsitwok'owa etaatniye, datsanatse it befetsosh gondbek'o itaatse'faee, ernmó shatk'ayere, taa datsani da'adek're.»

< Yohana 16 >