< Yohana 15 >
1 “Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima.
“Ngo singnv hampo ngv, okv ngoogv Abu nayam mvnv atuv.
2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, Baba yangu hulikata, nalo kila tawi lizaalo, hulisafisha ili lipate kuzaa matunda zaidi.
Hv ngoogvlo hakbv asi svvma nvnga pala paa dunv, okv asi svvnv hakbv vdwa hv mvngi riadunv, vkvlvgavbolo abuyayabv asi svvmu dubv vla hv mvngi dunv.
3 Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililonena nanyi.
Nonua mvngi ropvkunv (darwk dubv mvpvkunv) ngoogv nonua tamsar kolokv.
4 Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa matunda lisipokaa ndani ya mzabibu, vivyo hivyo ninyi msipokaa ndani yangu hamwezi kuzaa matunda.
Ngoogvlo doolwk laka, okv ngo ka nonu gvlo doolwkre. Hakbv ngv atuv asi svvnyu madunv; hakbv ngv asi svvlare vdwlo hv hampo nga hargap tvla dooridw. Vkv aingbv nonu asi svvnyu mare vdwlo nonu ngam rwkrwk mvla gakbwngla doomaredw.”
5 “Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa sana, maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya jambo lolote.
“Ngo hampo ngv, okv nonu hakbv ngv. Yvvdw ngam rwkrwk mvla gakbwng doonv, ngo ka ninyia, hv achialvbv asi svvre; ngam kayu tvla nonu oguka rinyu mare.
6 Mtu yeyote asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka. Matawi kama hayo hukusanywa na kutupwa motoni, yakateketea.
Yvvdw ngam gakbwng madunv (ngoogvlo doolwk madunv), hakbv nga mvnam apiabv ora dunv okv simudunv; vkvnv hakbv nga naakum dukunv okv vmvlo orlwk dukunv, hoka bunua vmv ramdu kunv.
7 Ninyi mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo, nanyi mtatendewa.
Nonu ngoogvlo doobwng bolo okv ngoogv gamchar vdwv nonu gvlo doore, vbvrikunamv nonugv mvngnam lokv ogugo kooridw, nonu um paare.
8 Kwa hiyo Baba yangu hutukuzwa, kwa vile mzaavyo matunda mengi, nanyi mtakuwa wanafunzi wangu.
Nonugv achialvbv asi svvku lokv ngo Abu gv kairungnam ha kaapa dunv; okv vbvrila nonu ngoogv lvbwlaksu bv ridunv.
9 “Kama vile Baba alivyonipenda mimi, hivyo ndivyo mimi nilivyowapenda ninyi. Basi kaeni katika pendo langu.
Abu gv ngam paknam aingbv, ngo nonua pakdunv; ngoogv pakkulo doobwng laka.
10 Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Nonu ngoogv gamki nama tvboribolo, nonu ngoogv paknam lo doobwngre, ngo Abu gv gamki nama tvvla rila ninyigv paknam lo doobwng nam aingbv.”
11 Nimewaambia mambo haya ili furaha yangu iwe ndani yenu na furaha yenu iwe kamili.
“Ngo sum nonua mintam pvkunv, vkvlvgavbolo ngoogv mvngpuv nonu gvlo doolwk dubv okv nonugv mvngpuv achialv dukubv vla mindunv.
12 Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.
Ngoogv gamki la minammv siinv: akonv akonyi pakmi sulaka, ngoogv nonua paknam aingbv.
13 Hakuna mtu mwenye upendo mkuu kuliko huu, mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Akonv ajin vdwgv lvgabv ninyigv turnama mvngnga jikunv v kaiyachokbv paknam jinamv.
14 Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
Okv vdwlo nonu ngoogv gamki nama ribolo, nonu ngoogv ajin v.
15 Siwaiti ninyi watumishi tena, kwa sababu watumishi hawajui bwana wao analofanya, bali nimewaita ninyi rafiki, kwa maana nimewajulisha mambo yote niliyoyasikia kutoka kwa Baba yangu.
Ngo nonua pakbu vla minku mare, ogulvgavbolo pakbuv chima ninyigv atuv ogugo ridudw. Vmabvya, ngo nonua ajin vla mindunv, ogulvgavbolo ngo vdwgo ngo Abu gvlo tvvpvkudw nonua mintam pvkunv.
16 Si ninyi mlionichagua, bali mimi ndiye niliyewachagua ninyi na kuwaweka mwende mkazae matunda, na matunda yenu yapate kudumu. Ili nalo lolote mtakalomwomba Baba katika Jina langu, awape ninyi.
Nonu ngam darma; ngo nonua darpvkunv okv vngla turbwngnv asi lokv achialvbv svvmudubv tolwk pvkunv, okv nonu ngoogv amin bv Abunyi ogugo kooredw nw nonua jire.
17 Amri yangu ndiyo hii: Mpendane.
Vbvrikunamv, sum ngo gamki la mindunv: akonv akonyi pakmi sulaka.”
18 “Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba ulinichukia mimi kabla yenu.
“Nyiamooku hv nonua kaanwng madubolo, nonu mvngpa dalaka hv ngam kaanwng mabv richo dunv.
19 Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungeliwapenda kama vile unavyowapenda walio wake. Kwa sababu ninyi si wa ulimwengu, lakini mimi nimewachagua kutoka ulimwengu, hii ndiyo sababu ulimwengu unawachukia.
Nonu nyiamooku gvngvbolo, vbvrikunamv, nonua nyiamooku v atu gvngv vla pakdu nvpv. Vbvritola ngo nonua nyiamooku loka darpvkunv, okv nonu nyiamooku gvbv rikuma; vkvlvgabv nyiamookuv nonua kaanwng madunv.
20 Kumbukeni lile neno nililowaambia, ‘Hakuna mtumishi aliye mkuu kuliko bwana wake.’ Kama wamenitesa mimi, nanyi pia watawatesa. Kama wamelishika neno langu, watalishika na neno lenu pia.
Mvngpa laka ngo nonua ogugo minpvkudw: ‘pakbuv ninyigv atua kaiyama dunv.’ Bunu ngam mvdwkmvku bolo, bunu nonua ka mvdwkmvkure; bunu ngoogv tamsar nama tvvdu bolo, bunu nonua ka tvvre.
21 Watawatendea ninyi haya yote kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu hawamjui yeye aliyenituma.
Vbvritola bunu nonua so mvnwng sum rire ogulvgavbolo nonu ngo gvngv; bunu ngam so imunv anga chima.
22 Kama sikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia ya dhambi. Lakini sasa hawana udhuru kwa ajili ya dhambi zao.
Ngo bunu gvlo aala mima nvgoilo, bunu vdwloka chinsu mare bunu rimur nvngv vla; vjak vbvrikujeka, bunugv rimur gungnying nga vjak anyubv kayu laku mare.
23 Yeyote anayenichukia mimi, anamchukia pia na Baba yangu.
Yvvdw ngam kaanwng madunv hv ngoogv Abu nyika kaanwng madunv.
24 Kama sikuwa nimefanya miujiza ambayo haijapata kufanywa na mtu mwingine yeyote, wasingalikuwa na hatia ya dhambi. Lakini sasa wameiona miujiza hii na bado wakatuchukia mimi na Baba yangu.
Bunu rimurnvngv vla chinsu mapvnvpv, ngo bunu gvlo nyi gv rikw manam vdwa rima nvgolo; vbvdvdvbv, bunu kaato ngo ogugo ripvkudw, okv bunu ngam okv Abu ngunyia kaanwng madu.
25 Lakini hii ni kutimiza lile neno lililoandikwa kwenye Sheria kwamba, ‘Walinichukia pasipo sababu.’
Svbvrinam si bunugv Pvbv kitaplo ogugo lvkchola lvkpv pvdw um jvjvbv rilin monam lvgabv ripv, ho vbv lvkpv: ‘Bunu ngam oguguka gungnying kaamabv kaanwng madu.’”
26 “Lakini atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, yaani, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
“Riduryanv aare—Dow v, hv Pwknvyarnv gvlokv aanv okv Pwknvyarnv gv jvjv nga kaatam mintam rianv. Ngo ninyia nonu gvlo vngmure, okv hv ngoogv lvkwng nga japjire.
27 Ninyi nanyi itawapasa kushuhudia kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzo.
Okv nonuka, ngoogv lvkwng nga japjire, ogulvgavbolo nonu ngam atuk lokv reming gvkunv.”