< Yohana 14 >
1 Yesu akawaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu, mnamwamini Mungu, niaminini na mimi pia.
“Usiruhusu muoyo ghwa jhobhi kujha mu mahangaiko. Ukan'kiera K'yara basi nikierayi ni nene.
2 Nyumbani kwa Baba yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningeliwaambia. Naenda kuwaandalia makao.
Mu nyumba jha Dadi jhangu ghajhele makazi ghamahele gha kutama; kama ngajhijhe lepi naha nganikujobhili, kwa vile nilota kuandalila mahali kwandabha jha bhebhe.
3 Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo, nanyi mpate kuwepo.
Kama nibetakulota kubhaandalila mahali, nibetakuhida kabhele kubhakaribisya kwa nene, ili mahali pa niyele namu mujhelayi.
4 Ninyi mnajua njia ya kufika ninakokwenda.”
Mumanyili paniyele namu mujhelayi.”
5 Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”
Tomaso an'jobhili Yesu, “Bwana, tumanyilepi mahali pa ghwilota; Je! Twibhwesya bhuli kujhimanya njela?
6 Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.
Yesu an'jobhili, “Nene ndo njela, kweli, ni uzima; ajhelepi jha ibhwesya kuhida kwa Dadi bila kup'etela kwa nene.
7 Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa, mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.”
Kama ngamu nimanyili nene, ngamumanyili ni Dadi jhangu kabhele; kubhwanjila henu nikuyendelela mumanyili na nimalili kumbona muene.”
8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”
Philipo an'jobhili Yesu, “Bwana, tulasiajhi Baba, ni naha jhibetakujha jhitutosisi.”
9 Yesu akamjibu, “Filipo, nimekaa nanyi muda huu wote hata usinijue? Mtu yeyote aliyeniona mimi, amemwona Baba. Sasa wawezaje kusema, ‘Tuonyeshe Baba’?
Yesu akan'jobhela, “Nijhelepi namu kwa mda mrefu, na bado unimanyilepi nene, Philipo? Jhejhioha jha anibhwene nene ambwene Dadi; Namna jheleku ghwijobha, 'Tulaseajhi Dadi'?
10 Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambia siyasemi kwa ajili yangu mwenyewe, bali Baba akaaye ndani yangu ndiye atendaye hizi kazi.
Mwikieralepi kujha nene mugati mwa Dadi, ni Dadi ajhe mugati mwa nene? Malobhi ghanijobha kwa muenga nijobhalepi kwa kusudi lya nene; badala jhiakhe, Dadi jha itama mugati mwa nene jhaibhomba mbombo jhiakhe.
11 Nisadiki mimi kwamba niko ndani ya Baba na Baba yuko ndani yangu, la sivyo, niaminini kwa sababu ya zile kazi nizitendazo.
Nikierayi nene, kujha nijhe mugati mwa Dadi, ni Dadi ajhele mugati mwa nene kadhalika nikierayi nene kwandabha jha mbombo jhangu hosi.
12 Amin, amin nawaambia, yeyote aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu mimi ninakwenda kwa Baba.
Aminiayi, aminiayi, nikabhajobhela, jhaibetakunikiera, mbombo syanibhomba nene, ibetakusibhomba ni muene pia; na ibetakusibhomba hata mbombo mbaha kwandabha nilota kwa Dadi.
13 Nanyi mkiomba lolote kwa Jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika Mwana.
Kyokyoha kya mwibetakus'oka kwa lihina lya nene, nibetakubhomba ili Dadi abhwesyayi kutukusibhwa katika Muana.
14 Kama mkiniomba lolote kwa Jina langu nitalifanya.
Kama mwibetakus'oka khenu kyokyoha khela kwa lihina lya nene, e'lu nibetakubhomba.
15 “Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.
Kama nibetakunigana, mwibetakusikamula amri sya nene.
16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn )
Na nibetakun'soka Dadi, Ni muene ibetakubhap'ela N'saidizi jhongi ili kujha abhwesiajhi kujha pamonga namu milele, (aiōn )
17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu.
Roho ghwa bhuwkeli. Ulimwengu ghwibhwesya lepi kumpokela muene kwa ndabha ukambona lepi, au kummanya muene. hata naha muenga, mummanyili muene, kwani itama pamonga namu na ibetakujha mugati mwa jhomu.
18 Sitawaacha ninyi yatima, naja kwenu.
Nibetalepi kubhaleka mwejhomu; Nibetakukerebhuka kwa jhomu.
19 Bado kitambo kidogo ulimwengu hautaniona tena, ila ninyi mtaniona, kwa kuwa mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.
Kwa lukhombi, ulimwengu wibetalepi kunibhona kabhele, lakini muenga mkanibhona, kwandabha nitama, namu mwiishi pia.
20 Wakati huo mtajua ya kuwa mimi niko ndani ya Baba na ninyi mko ndani yangu na mimi niko ndani yenu.
Katika ligono e'lu mwibetakumanya kujha nene nijhele mugati mwa Dadi, ni kwamba muenga mujhele mugati mwawnene, ni nene nijhele mugati mwa jhomu.
21 Yeyote mwenye amri zangu na kuzishika ndiye anipendaye, naye anipendaye atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
Jhejhioha jha ibetakusikamula amri sya nene ni kusikesya, ndo mmonga jhaaniganili nene; na jhaibeta kunigana nene basi ibetakuganikibhwa ni Dadi jhangu, na nibetakun'gana na nibetakwilasya ne muene kwa muene.”
22 Ndipo Yuda, siyo Iskariote, akamwambia, “Bwana, itakuwaje kwamba utajidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?”
Yuda (siyo Iskariote) akan'jobhela Yesu, “Bwana, Je! Kheleku kibetakuh'omela kwamba wibetakwilasya ghwe muene kwa tete na siyo kwa ulimwengu?
23 Yesu akamjibu, “Mtu yeyote akinipenda atalishika neno langu na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kufanya makao yetu kwake.
Yesu ajibili akan'jobhela, “Kama jhejhioha jhaaniganili, ibetakulikamula lilobhi lyangu. Dadi jhangu ibetakun'gana, na twibetakuhida kwa muene ni kubheka makao gha jhotu pamonga ni muene.
24 Mtu yeyote asiyenipenda hayashiki maneno yangu na maneno niliyowapa si yangu bali ni ya Baba aliyenituma.
Jhejhioha jha aniganilepi nene, ikamu lepi malobhi ghangu. Lilobhi ambalyo mkalip'eleka lya nene lepi bali lya Dadi jha anilaghisye.
25 “Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi.
Nighajobhili mambo agha kwa jhomu, wakati bado niishi miongoni mwa jh'omu.
26 Lakini huyo Msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Hata naha, Mfariji, Roho Mtakatifu, ambajhe Dadi ibetakundaghisya kwa lihina lya nene, ibetakubhamanyisya mambo ghoha ni kubhabhomba mkhomb'okayi ghoha ambagho maghajobhili kwa jhomu.
27 Amani nawaachia, amani yangu nawapa, amani hii niwapayo si kama ile ulimwengu utoayo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiogope.
Amani nikabhap'ela amani jha nene kwa muenga. Nikabhap'ela lepi kama ulimwengu kyawipisya. Musijhibhombi mioyo jha muenge kujha ni mahangaiko, ni bhuogha.
28 “Mlinisikia nikisema, ‘Ninakwenda zangu, lakini nitarudi tena.’ Kama kweli mngelinipenda mngelifurahi kwa kuwa naenda kwa Baba, kwani Baba ni mkuu kuniliko mimi.
Mwap'eliki kya nabhajobhili, 'Nibetakwilotela, na nibetakukerebhuka kwa jhomu.' Kama ngamuniganilli nene, ngamuhobhuiki kwandabha nilota kwa Dadi, kwa ndabha Dadi ndo mbaha kuliko nene.
29 Nimewaambia mambo haya kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini.
Henu nimalikubhajobhela kabla jhakhona kuh'omela ili kwamba wakati ikahomelayi mubhwesyayi kukiera.
30 Sitasema nanyi zaidi, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu anakuja, naye hana kitu kwangu,
Nibetalepi kulongela namu malobhi mingi, kwa kujha mbaha ghwa dunia ejhe ihida. Muene ajhelepi ni nghofu juu jha nene,
31 lakini ulimwengu upate kujua kuwa ninampenda Baba, nami hufanya vile Baba alivyoniamuru. “Haya inukeni; twendeni zetu.
lakini ili kwamba ulimwengu ukabhayi kumanya kujha nin'ganili Dadi, nibhomba ambakyo Dadi anilaghisi, kama vile kyaanipelili amri. Mujhinukayi, na mubhokayi mahali apa.