< Yohana 13 >

1 Ilikuwa mara tu kabla ya Sikukuu ya Pasaka. Yesu alijua ya kuwa wakati wake wa kuondoka ulimwenguni ili kurudi kwa Baba umewadia. Alikuwa amewapenda watu wake waliokuwa ulimwenguni, naam, aliwapenda hadi kipimo cha mwisho.
Isalezi seliseele eshikulukulu ye pasaka, afuatanaje oYesu amenye aje esala ya efishile eyaje aifuma munsi omo abhale hwa daada, endwemo abhagene abhantu bhakwe bhabhali munsi, abhagene oupeo.
2 Wakati alipokuwa akila chakula cha jioni na wanafunzi wake, ibilisi alikuwa amekwisha kutia ndani ya moyo wa Yuda Iskariote, mwana wa Simoni, wazo la kumsaliti Yesu.
Osetano abhehwelwe haani humwoyo gwa Yuda Iskariote, omwana wa simoni, ahushitushile oYesu.
3 Yesu akijua ya kwamba Baba ameweka vitu vyote chini ya mamlaka yake na kwamba yeye alitoka kwa Mungu na alikuwa anarudi kwa Mungu,
O Yesu amenye aje odaada abheshele evintu humakhono gakwe naje afumile hwa Ngolobhe nantele ali abhala hwa Ngolobhe.
4 hivyo aliondoka chakulani, akavua vazi lake la nje, akajifunga kitambaa kiunoni.
Abhoshele pashalye na ahalile pansi omwenda gwa honze. Ahejile itaulo ahwifunjile yoyo.
5 Kisha akamimina maji kwenye sinia na kuanza kuwanawisha wanafunzi wake miguu na kuikausha kwa kile kitambaa alichokuwa amejifunga kiunoni.
Nkahaponya amenze mumbakuri na wanda abhozye amagaga abhanafunzi bhakwe na bhapugute ni taulo lya hwifunjile yoyo.
6 Alipomfikia Simoni Petro, Petro akamwambia, “Bwana, je, wewe utaninawisha mimi miguu?”
Ahenza hwa Petro, na oPetro ahabhozya, “Gosi, uhwanza anazye amagaga gane?”
7 Yesu akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”
O Yesu ayanga na hubhozye, “Lyebhomba solimenye esalezi ila eshi obhahwelewe pamande.”
8 Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn g165)
O Petro abhozya, “Sobhanozye amagaga gane na mwaha.” O Yesu ajile, “Nkashe sembahumwezye sobhabhe ne sehemu pandwemo nane.” (aiōn g165)
9 Ndipo Simoni Petro akajibu, “Usininawishe miguu peke yake, Bwana, bali pamoja na mikono na kichwa pia!”
O Simoni Petro abhozya, “Gosi, onganjenozye amagaga gane wene, ila namakhono ni twe lyane.”
10 Yesu akamjibu, “Mtu aliyekwisha kuoga anahitaji kunawa miguu tu, kwani mwili wake wote ni safi. Ninyi ni safi, ingawa si kila mmoja wenu.”
O Yesu abhozya, “Wawonti wayojile sahwanziwa ahwoje ila amagaga gakwe, nahuje mwinza obele gwakwe gwonti; amwe muli bhinza, ila se mwenti.”
11 Kwa kuwa yeye alijua ni nani ambaye angemsaliti, ndiyo sababu akasema si kila mmoja aliyekuwa safi.
O Yesu amenye ola wanzahugalushile; ndio maana ajile, semwenti mli bhinza.”
12 Alipomaliza kuwanawisha miguu yao, alivaa tena mavazi yake, akarudi alikokuwa ameketi, akawauliza, “Je, mmeelewa nililowafanyia?
O Yesu lwali abhozizye amagaga gabho na wega omwenda gwakwe na khale nantele, abhabhozya, “Aje Muhwelewa hale hembabhombela?
13 Ninyi mnaniita mimi ‘Mwalimu’ na ‘Bwana,’ hii ni sawa, maana ndivyo nilivyo.
Mukwizya ane “Mwalimu” nantele myiga Gosi ene yoli, afuatanaje endi shesho.
14 Kwa hiyo, ikiwa mimi niliye Bwana wenu na Mwalimu wenu nimewanawisha ninyi miguu, pia hamna budi kunawishana miguu ninyi kwa ninyi.
Nkashe ane ne Gosi ne mwalimu, embozizye amagaga genyu, amwe namwe ehwanziwa abhozye amwenyu amagaga.
15 Mimi nimewawekea kielelezo kwamba imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea ninyi.
Embapiye ofwana aje amwe mubhombe nanshi ane zyanabhombile hulimwe.
16 Amin, amin nawaambia, mtumishi si mkuu kuliko bwana wake, wala aliyetumwa si mkuu kuliko yule aliyemtuma.
Etesheli, Etesheli, embabhozya, oboyio segosi ashile ogosi wakwe; wala yule ambaye ametumwa ni mkuu kuliko yule aliye mtuma.
17 Sasa kwa kuwa mmejua mambo haya, heri yenu ninyi kama mkiyatenda.
Nkashe ozimenye enongwa ezi osaiwaje nkobhazibhombe.
18 “Sisemi hivi kuhusu ninyi nyote. Ninawajua wale niliowachagua. Lakini ni ili Andiko lipate kutimia, kwamba, ‘Yeye aliyekula chakula changu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.’
Seyanga aje amwe mwenti, afuatanaje embamenye bhala bhembachaguye - eyanga ezi ili aje amazu gawezye akamilishe: 'Omwene walya ibumunda lyane ambasesezye ikhaata lyakwe.'
19 “Ninawaambia mambo haya kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa Mimi ndiye.
Embabhozya izii esalezi shalilisele afume aje nkalyaifumila, mwawezye ahweteshele aje ane NENE.
20 Amin, amin nawaambia, yeyote anayempokea yule niliyemtuma anipokea mimi, naye anipokeaye mimi ampokea yeye aliyenituma mimi.”
“Etesheli, etesheli, embabhozya, wamposhela ane ahuposhela yayola wantumile mimi.”
21 Baada ya kusema haya, Yesu alifadhaika sana moyoni, akasema, “Amin, amin nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”
O Yesu lwa yangaga ega, ayanzihwe hu mwoyo, ahakikisizye na yanje, “Etesheli, etesheli, embabhozya aje omo wenyu aingaluha.”
22 Wanafunzi wake wakatazamana bila kujua kuwa alikuwa anamsema nani.
Abhanafunzi bhakwe bha henyanya, bhahuswiga aje wenu wahuyanga.
23 Mmoja wa wanafunzi wake ambaye Yesu alimpenda sana, alikuwa ameegama kifuani mwa Yesu.
Hwali ne meza, omo we bhanafunzi bhakwe ahagamiye musifubha mwa Yesu ola oYesu wagene.
24 Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi, akamwambia, “Muulize anamaanisha nani.”
O Simoni oPetro abhozezye omwanafunzi ono na huje, “Tibho wenu wahuyanga.”
25 Yule mwanafunzi akamwegemea Yesu, akamuuliza, “Bwana, tuambie, ni nani?”
Omwanafunzi ola wahagamiye mshifubha mwa Yesu na hubhozye, “Gosi, yonanu?”
26 Yesu akajibu, “Ni yule nitakayempa hiki kipande cha mkate baada ya kukichovya kwenye bakuli.” Hivyo baada ya kukichovya kile kipande cha mkate, akampa Yuda Iskariote, mwana wa Simoni.
O Yesu ajile, “Wemba tobhezye ishipande shi bumunda na hhupele.” Shesho nali atobhezezye ibumunda, apiye oYuda omwana wa Simoni Iskariote.
27 Mara tu baada ya kukipokea kile kipande cha mkate, Shetani akamwingia. Yesu akamwambia Yuda, “Lile unalotaka kulitenda litende haraka.”
Baada yi bumunda, Osetano amwinyiye. O Yesu ahabhozya, “Haala howanza abhombe habhombe nanali.”
28 Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Yesu alimwambia hivyo.
Nomo omuntu pameza wamenye emaana ya Yesu ayanje enongwa ezi hwa mwahale.
29 Kwa kuwa Yuda alikuwa mtunza fedha, wengine walifikiri Yesu alikuwa amemwambia akanunue vitu vilivyohitajika kwa ajili ya Sikukuu, au kuwapa maskini chochote.
Bhamo bhasebhele aje afuatanaje oYuda ekhete ifuko lye mpeya, oYesu abhozya, “Kala evintu vyatihwanza vye shikulukulu,” au aje ahwanziwa afumye evintu hwa peena.
30 Mara tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku.
O Yuda na hejelela ibumunda, ahafuma honze nanali; hwali sikuu.
31 Baada ya Yuda kutoka nje, Yesu akasema, “Sasa Mwana wa Adamu ametukuzwa, naye Mungu ametukuzwa ndani yake.
O Yuda lwali asogoye, oYesu ayanjile, “Eshi omwana wa Adamu amwamihwe, no Ngolobhe amwamihwe hwa mwehale.
32 Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani yake mwenyewe naye atamtukuza mara.
Ongolobhe anzahumwamishe hwa mwene yoyo, na anza humwamishe nanali.
33 “Watoto wangu, mimi bado niko pamoja nanyi kwa kitambo kidogo. Mtanitafuta, na kama vile nilivyowaambia Wayahudi, vivyo hivyo sasa nawaambia na ninyi. Niendako, ninyi hamwezi kuja.
Bhana mwadodo, ehwendi pamo namwe omuda dodo. Mubhananze, nkashe shanabhabhozizye Ayahudi, 'Hwembala, semuwezizye ahwenze.' esalaze embabhozya amwe, nantele.
34 “Amri mpya nawapa: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi mpendane.
Embapiye endizyo empya, aje mganane nanshi ane shehabhagene amwe, shesho shesho namwe ehwanziwa aganane mwemwe hu mwemwe.
35 Kama mkipendana ninyi kwa ninyi, kwa njia hii, watu wote watajua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.”
Afuatanaje neli awantu bhanzamanye aje amwe muli bhanafunzi bhane, nkashe muli no lugano shila omo no wamwabho.”
36 Simoni Petro akamuuliza, “Bwana, unakwenda wapi?” Yesu akamjibu, “Ninakokwenda huwezi kunifuata sasa, lakini utanifuata baadaye.”
O Simoni Petro abhozezye, “Gosi, ubhala hwii?” O Yesu ayanga, “Apantu pe haibhala esalezi sobhawezye anfuate, ila obhananze pamande.
37 Petro akamuuliza tena, “Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Mimi niko tayari kuutoa uhai wangu kwa ajili yako.”
O Petro abhozya, “Gosi, yenu ensafuate hata salezi? Ane embafumwe olwizyo lyane huliwe.”
38 Yesu akamjibu, “Je, ni kweli uko tayari kuutoa uhai wako kwa ajili yangu? Amin, amin nakuambia, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”
O Yesu ajile, “Aje obhafumwe olwizyo shauli ya huline? Etesheli etesheli ehubhozya, ehanda sebhakuje bila haana mara hatatu.”

< Yohana 13 >