< Yohana 13 >

1 Ilikuwa mara tu kabla ya Sikukuu ya Pasaka. Yesu alijua ya kuwa wakati wake wa kuondoka ulimwenguni ili kurudi kwa Baba umewadia. Alikuwa amewapenda watu wake waliokuwa ulimwenguni, naam, aliwapenda hadi kipimo cha mwisho.
Uganiya idi wa mu aye ba, yeso ma rusi uganiya uhira ume unee ukuro ahira aco, ma zinu su anu ame sa wara unee, mazinu su uwe uhana mara unee.
2 Wakati alipokuwa akila chakula cha jioni na wanafunzi wake, ibilisi alikuwa amekwisha kutia ndani ya moyo wa Yuda Iskariote, mwana wa Simoni, wazo la kumsaliti Yesu.
Azinu re imimare ini yee bi be bi burbamu ribe iriba iyahuza iskariyoti vanu saminu madi zizi Yeso.
3 Yesu akijua ya kwamba Baba ameweka vitu vyote chini ya mamlaka yake na kwamba yeye alitoka kwa Mungu na alikuwa anarudi kwa Mungu,
Yeso marusi kondi nyani ya cu udang ira atari tume, ma rusanya suro ahira Asere ani ya suroni, idi kuri ikuri ahira Asere.
4 hivyo aliondoka chakulani, akavua vazi lake la nje, akajifunga kitambaa kiunoni.
Manno ma ceki are imimare me, ma inki u gyeptu u impino umeme, ma ziki ku puri ma tiri utino.
5 Kisha akamimina maji kwenye sinia na kuanza kuwanawisha wanafunzi wake miguu na kuikausha kwa kile kitambaa alichokuwa amejifunga kiunoni.
Ma gamirka myei ukwano dan, ma kpici tibuna ta hana akatuma ka meme, madu vizi unu puri me sa ma tira utino umeme.
6 Alipomfikia Simoni Petro, Petro akamwambia, “Bwana, je, wewe utaninawisha mimi miguu?”
Sa ma aye kpicu utibuna ti Bitrus, bitrus magun me, “Ugomo Asere, hamani ini ce nuwe udi kpicum tibuna?”
7 Yesu akamjibu, “Hivi sasa hutambui lile ninalofanya, lakini baadaye utaelewa.”
Yeso ma kabirka magu, “Ana me utawe imum me sa izinu wuza me ba, inka ma mara udi rusi.”
8 Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn g165)
Bitrus ma gu me, “Mi ma hem ba, uda kpico mi tibuna ba sa unee wa mara!” Yeso ma kabirka me magu, “ingi da ma kpico we niba, uzo we unu um ba. (aiōn g165)
9 Ndipo Simoni Petro akajibu, “Usininawishe miguu peke yake, Bwana, bali pamoja na mikono na kichwa pia!”
Bitrus magu me, ugomo Asere azo tibuna nan nice num”
10 Yesu akamjibu, “Mtu aliyekwisha kuoga anahitaji kunawa miguu tu, kwani mwili wake wote ni safi. Ninyi ni safi, ingawa si kila mmoja wenu.”
Yeso magu me, De sa ma zoro mada nyara ukpico v iri mum ba, tibuna tini cas adi kpici, barki amu kpico me. Izi lau azo vat ushi ba.”
11 Kwa kuwa yeye alijua ni nani ambaye angemsaliti, ndiyo sababu akasema si kila mmoja aliyekuwa safi.
Barki ma rusa uye madi nyare me, ine ini ya wuna maguna, “Izi lau vat ushi ba.”
12 Alipomaliza kuwanawisha miguu yao, alivaa tena mavazi yake, akarudi alikokuwa ameketi, akawauliza, “Je, mmeelewa nililowafanyia?
Sa ma mara ukpico uwe tibuna me, ma, i ugyeptu u impino umeme ma impino ni ma duku gun we, irsa imum be sa ma wuza shi? I gusam unu nyetike, nan ugomo Asere.
13 Ninyi mnaniita mimi ‘Mwalimu’ na ‘Bwana,’ hii ni sawa, maana ndivyo nilivyo.
Ane ani daki ya hunne me ba, ane ani inzi.
14 Kwa hiyo, ikiwa mimi niliye Bwana wenu na Mwalimu wenu nimewanawisha ninyi miguu, pia hamna budi kunawishana miguu ninyi kwa ninyi.
Mi unu nyetike, nan ugomo Asere, ma kpico tibuna tishi, shi idi kpici tibuna ta cee ashi.
15 Mimi nimewawekea kielelezo kwamba imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea ninyi.
Ma wuza ani me bati shi iwuzi kasi mime.
16 Amin, amin nawaambia, mtumishi si mkuu kuliko bwana wake, wala aliyetumwa si mkuu kuliko yule aliyemtuma.
Kadure kani izinu boo shi, urere mada teki me una kura ame ba, vana uka dura mada teki me desa ma tuma me ba.
17 Sasa kwa kuwa mmejua mambo haya, heri yenu ninyi kama mkiyatenda.
Inki irusa anime, i kuri iwuzi imumu ihuma shi ana muriba murum muni.
18 “Sisemi hivi kuhusu ninyi nyote. Ninawajua wale niliowachagua. Lakini ni ili Andiko lipate kutimia, kwamba, ‘Yeye aliyekula chakula changu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.’
Azo vat ushini in boo shi ba, in rusa ande sa ma zauka. In wuzi anime barki amyinca tize ta Asere tini, unu guna desa mazina re imimare im, ma ga mi.
19 “Ninawaambia mambo haya kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa Mimi ndiye.
In di booki shi ana me uganiya wamu aye ba, in! i uganiya wa wuna inya mu riba mimani me.
20 Amin, amin nawaambia, yeyote anayempokea yule niliyemtuma anipokea mimi, naye anipokeaye mimi ampokea yeye aliyenituma mimi.”
Kadure kani, in booshi, desa ma hem indesa ma tuburko, ma hem in mi mamani. Desa ma hem in mi, ma hem indesa ma tumam.
21 Baada ya kusema haya, Yesu alifadhaika sana moyoni, akasema, “Amin, amin nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”
Ugainya sa yeso ma suka anime, iriba ya wume gitak ma boki magu, kadure kani in booshi uye anyimo ashime madi zizum.
22 Wanafunzi wake wakatazamana bila kujua kuwa alikuwa anamsema nani.
Ahana katuma kameme wa tunguno u hira acece, unu gusa aveni ma boo me.
23 Mmoja wa wanafunzi wake ambaye Yesu alimpenda sana, alikuwa ameegama kifuani mwa Yesu.
Uye anyimo ahana akatuma kameme, desa yeso mazinu su ume, ma ciki upuru umeme.
24 Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi, akamwambia, “Muulize anamaanisha nani.”
Bitrus ma dari me magu, “Bukan duru yeso ma boo aveni”.
25 Yule mwanafunzi akamwegemea Yesu, akamuuliza, “Bwana, tuambie, ni nani?”
Desa mara upuru uyeso magu me, “Ugomo Asere aveni?”
26 Yesu akajibu, “Ni yule nitakayempa hiki kipande cha mkate baada ya kukichovya kwenye bakuli.” Hivyo baada ya kukichovya kile kipande cha mkate, akampa Yuda Iskariote, mwana wa Simoni.
Yeso ma kabirka magu, “me mani desa indi inta imumare in nya me” sa ma inta imimare, ma wu yahuza iskariyoti vana usaminu ayo.
27 Mara tu baada ya kukipokea kile kipande cha mkate, Shetani akamwingia. Yesu akamwambia Yuda, “Lile unalotaka kulitenda litende haraka.”
Sa ma kaba imumare me, imum me irizi me iriba, yeso magun me, “Wuza imum be sa udi wuzi ana me”.
28 Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Yesu alimwambia hivyo.
Anyimo ande sa wazina re imumare me, wata we imum me sa ya wuna yeso ma boka anime ba.
29 Kwa kuwa Yuda alikuwa mtunza fedha, wengine walifikiri Yesu alikuwa amemwambia akanunue vitu vilivyohitajika kwa ajili ya Sikukuu, au kuwapa maskini chochote.
Wa gusi nani yeso maguna me ma kuri ma siri iri imumare in, nan ma nya anu dira akara ire imum, barki sa me yahuza mani ma canti ulalinta ikirfi iweme.
30 Mara tu baada ya kupokea ule mkate, Yuda akatoka nje. Wakati huo ulikuwa ni usiku.
Me yahuza sa ma kaba imimare me, ma ba soru, ini yeeme.
31 Baada ya Yuda kutoka nje, Yesu akasema, “Sasa Mwana wa Adamu ametukuzwa, naye Mungu ametukuzwa ndani yake.
Uganiya sa ma suro yeso ma kuri unu magun, ana ani adi nonziko vana unu bo aduku nonziko Asere ahira ameme.
32 Ikiwa Mungu ametukuzwa ndani ya Mwana, Mungu atamtukuza Mwana ndani yake mwenyewe naye atamtukuza mara.
Asere adi nonziko me, me ma nonziko Asere.
33 “Watoto wangu, mimi bado niko pamoja nanyi kwa kitambo kidogo. Mtanitafuta, na kama vile nilivyowaambia Wayahudi, vivyo hivyo sasa nawaambia na ninyi. Niendako, ninyi hamwezi kuja.
Ahana acincin am, ade uganiya cingilin inzi nashi, idi nyarum ma mu boka ayahudawa magu, ahira sa in hanzani idaki iha ba ane ani inboo shi ana me.
34 “Amri mpya nawapa: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi mpendane.
In nyiza shi tize tiso, ine ini iwuzi usu ace ashi, kasi sa ma wuna usu ushi ane shi idi wuzi.
35 Kama mkipendana ninyi kwa ninyi, kwa njia hii, watu wote watajua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.”
Uwuza anime ani udi wu marusi shi ahana akatuma kame kani, ingi izinu su ace ashi me.
36 Simoni Petro akamuuliza, “Bwana, unakwenda wapi?” Yesu akamjibu, “Ninakokwenda huwezi kunifuata sasa, lakini utanifuata baadaye.”
Bitrus magun me, “UgomoAsere, uhaza abani?” yeso ma kabirka magun, “Ahira sa in hazani udake utarsum ana me ba, udi tarsaum ana dumo”.
37 Petro akamuuliza tena, “Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Mimi niko tayari kuutoa uhai wangu kwa ajili yako.”
Bitrus magun me, “Ugomo Asere nyani ya wuna, adake in tarsuwe ana me ba? yeso magun me, indi. nya nice num barki hu”.
38 Yesu akamjibu, “Je, ni kweli uko tayari kuutoa uhai wako kwa ajili yangu? Amin, amin nakuambia, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”
Yeso kabirka magun, “Udi nya nice nu we barki mi? kadure kani in boo we, urunu ubi goro unu sana ahira, udi gu uda rusa mi ba kani ka taru”

< Yohana 13 >