< Yohana 11 >
1 Basi mtu mmoja jina lake Lazaro alikuwa mgonjwa. Yeye alikuwa akiishi Bethania kijiji cha Maria na Martha dada zake.
A był niektóry chory Łazarz z Betanii, z miasteczka Maryi i Marty, siostry jej.
2 Huyu Maria, ambaye Lazaro kaka yake alikuwa mgonjwa, ndiye yule ambaye alimpaka Bwana mafuta na kuifuta miguu yake kwa nywele zake.
(A to była ona Maryja, która pomazała Pana maścią, i ucierała nogi jego włosami swojemi, której brat Łazarz chorował.)
3 Hivyo hawa dada wawili walituma ujumbe kwa Yesu kumwambia, “Bwana, yule umpendaye ni mgonjwa.”
Posłały tedy siostry do niego, mówiąc: Panie! oto ten, którego miłujesz, choruje.
4 Lakini Yesu aliposikia hayo, akasema, “Ugonjwa huu hautaleta mauti bali umetokea ili kudhihirisha utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu apate kutukuzwa kutokana na ugonjwa huu.”
A usłyszawszy to Jezus, rzekł: Ta choroba nie jest na śmierć, ale dla chwały Bożej, aby był uwielbiony Syn Boży przez nią.
5 Pamoja na hivyo, ingawa Yesu aliwapenda Martha, Maria na Lazaro ndugu yao,
A Jezus umiłował Martę i siostrę jej, i Łazarza.
6 baada ya kusikia kwamba Lazaro ni mgonjwa, aliendelea kukawia huko alikokuwa kwa siku mbili zaidi.
A gdy usłyszał, iż choruje, tedy został przez dwa dni na onemże miejscu, gdzie był.
7 Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Haya, turudi Uyahudi.”
Lecz potem rzekł do uczniów swoich: Idźmy zasię do Judzkiej ziemi.
8 Wanafunzi wake wakamwambia, “Rabi, Wayahudi walikuwa wanataka kukupiga mawe, nawe unataka kurudi huko?”
Rzekli mu uczniowie: Mistrzu! teraz szukali Żydowie, jakoby cię ukamionowali, a zasię tam idziesz?
9 Yesu akawajibu, “Si kuna saa kumi na mbili za mchana katika siku moja? Wala watembeao mchana hawawezi kujikwaa kwa maana wanaona nuru ya ulimwengu huu.
Odpowiedział Jezus: Azaż nie dwanaście jest godzin dnia? Jeźli kto chodzi we dnie, nie obrazi się; bo widzi światłość tego świata.
10 Lakini wale watembeao usiku hujikwaa kwa sababu hakuna nuru ndani yao.”
A jeźli kto chodzi w nocy, obrazi się; bo w nim światła nie masz.
11 Baada ya kusema haya, Yesu akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini naenda kumwamsha.”
To powiedziawszy, potem rzekł do nich: Łazarz, przyjaciel nasz, śpi; ale idę, abym go ze snu obudził.
12 Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
Tedy rzekli uczniowie jego: Panie! jeźliże śpi, będzie zdrów.
13 Hata hivyo, Yesu alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.
Ale Jezus mówił o śmierci jego; lecz oni mniemali, iż o zaśnięciu snem mówił.
14 Kwa hiyo Yesu akawaambia waziwazi, “Lazaro amekufa.
Tedy im rzekł Jezus jawnie: Łazarz umarł.
15 Hata hivyo nafurahi kwa kuwa sikuwepo huko kabla ya Lazaro kufa, ili mpate kuamini. Lakini sasa twendeni kwake.”
I raduję się dla was, (abyście wierzyli), żem tam nie był; ale pójdziemy do niego.
16 Tomaso aliyeitwa Pacha akawaambia wanafunzi wenzake, “Sisi nasi twendeni tukafe pamoja naye.”
Rzekł zatem Tomasz, którego zwano Dydymus, spółuczniom: Pójdźmy i my, abyśmy z nim pomarli.
17 Yesu alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.
Przyszedłszy tedy Jezus, znalazł go już cztery dni w grobie leżącego.
18 Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali wa karibu maili mbili,
(A była Betania blisko Jeruzalemu, jakoby na piętnaście stajan.)
19 na Wayahudi wengi walikuwa wamekuja kuwafariji Martha na Maria kwa ajili ya kufiwa na ndugu yao.
A przyszło było wiele Żydów do Marty i Maryi, aby je cieszyli po bracie ich.
20 Martha aliposikia kwamba Yesu anakuja, alitoka kwenda kumlaki, ila Maria alibaki nyumbani.
Marta tedy, gdy usłyszała, że Jezus idzie, bieżała przeciwko niemu; ale Maryja w domu siedziała.
21 Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.
I rzekła Marta do Jezusa: Panie! byś tu był, nie umarłby był brat mój.
22 Lakini sasa ninajua kuwa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
Ale i teraz wiem, że o cokolwiek byś prosił Boga, da ci to Bóg.
23 Yesu akamwambia, “Ndugu yako atafufuka.”
Rzekł jej Jezus: Wstanieć brat twój.
24 Martha akamjibu, “Ninajua ya kuwa atafufuka wakati wa ufufuo wa wafu siku ya mwisho.”
Rzekła mu Marta: Wiem, iż wstanie przy zmartwychwstaniu w on ostateczny dzień.
25 Yesu akamwambia, “Mimi ndiye huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa atakuwa anaishi
I rzekł jej Jezus: Jam jest zmartwychwstanie i żywot; kto w mię wierzy, choćby też umarł, żyć będzie.
26 na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn )
A wszelki, który żyje, a wierzy w mię, nie umrze na wieki. Wierzyszże temu? (aiōn )
27 Martha akamwambia, “Ndiyo Bwana, ninaamini ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yeye ajaye ulimwenguni.”
Rzekła mu: I owszem Panie! Jam uwierzyła, żeś ty jest Chrystus, Syn Boży, który miał przyjść na świat.
28 Baada ya kusema haya Martha alikwenda, akamwita Maria dada yake faraghani na kumwambia, “Mwalimu yuko hapa anakuita.”
A to rzekłszy szła i potajemnie zawołała Maryję, siostrę swoję, mówiąc: jest tu nauczyciel, i woła cię.
29 Maria aliposikia hivyo, akaondoka upesi akaenda mpaka alipokuwa Yesu.
Ona skoro usłyszała, wnet wstała i szła do niego.
30 Yesu alikuwa hajaingia kijijini, bali alikuwa bado yuko mahali pale alipokutana na Martha.
(A Jezus jeszcze był nie przyszedł do miasteczka, ale był na temże miejscu, gdzie Marta była wyszła przeciwko niemu.)
31 Wale Wayahudi waliokuwa pamoja na Maria nyumbani wakimfariji walipoona ameondoka haraka na kutoka nje, walimfuata wakidhani ya kwamba alikuwa anakwenda kule kaburini kulilia huko.
Żydowie tedy, którzy z nią byli w domu, a cieszyli ją, ujrzawszy Maryję, iż prędko wstała i wyszła, szli za nią, mówiąc: Idzie do grobu, aby tam płakała.
32 Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa, alipiga magoti miguuni Pake na kusema, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.”
Ale Maryja, gdy tam przyszła, gdzie był Jezus, ujrzawszy go, przypadła do nóg jego i rzekła: Panie! byś tu był, nie umarłby był brat mój.
33 Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana.
Jezus tedy, gdy ją ujrzał płaczącą, i Żydy, którzy byli z nią przyszli, płaczące, rozrzewnił się w duchu i zafrasował się,
34 Akauliza, “Mmemweka wapi?” Wakamwambia, “Bwana, njoo upaone.”
I rzekł: Gdzieście go położyli? Rzekli mu: Panie! pójdź, a oglądaj.
36 Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama jinsi alivyompenda Lazaro!”
Tedy rzekli Żydowie: Wej! jakoć go miłował.
37 Lakini wengine wakasema, “Je, yule aliyefungua macho ya kipofu, hakuweza kumfanya na huyu asife?”
A niektórzy z nich mówili: Nie mógłże ten, który otworzył oczy ślepego, uczynić, żeby ten był nie umarł?
38 Yesu kwa mara nyingine akiwa amefadhaika sana, akafika penye kaburi. Hilo kaburi lilikuwa pango ambalo jiwe lilikuwa limewekwa kwenye ingilio lake.
Ale Jezus zasię rozrzewniwszy się sam w sobie, przyszedł do grobu; a była jaskinia, a kamień był położony na niej.
39 Yesu akasema, “Liondoeni hilo jiwe.” Martha ndugu yake yule aliyekuwa amekufa akasema, “Lakini Bwana, wakati huu atakuwa ananuka kwani amekwisha kuwa kaburini siku nne.”
I rzekł Jezus: Odejmijcie ten kamień. Rzekła mu Marta, siostra onego umarłego: Panie! jużci cuchnie; bo już cztery dni w grobie.
40 Yesu akamwambia, “Sikukuambia kwamba kama ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”
Powiedział jej Jezus: Azażem ci nie rzekł, iż jeźli uwierzysz, oglądasz chwałę Bożą?
41 Kwa hiyo wakaliondoa lile jiwe kutoka kaburini. Yesu akainua macho yake juu akasema, “Baba, ninakushukuru kwa kuwa wanisikia.
Odjęli tedy kamień, gdzie był umarły położony. A Jezus podniósłszy oczy swe w górę, rzekł: Ojcze! dziękuję tobie, żeś mię wysłuchał.
42 Ninajua ya kuwa wewe hunisikia siku zote, lakini nimesema haya kwa ajili ya umati huu uliosimama hapa, ili wapate kuamini ya kuwa wewe umenituma.”
A jamci wiedział, że mię zawsze wysłuchiwasz; alem to rzekł dla ludu wokoło stojącego, aby wierzyli, żeś ty mię posłał.
43 Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti yake akaita, “Lazaro, njoo huku!”
A to rzekłszy, zawołał głosem wielkim: Łazarzu! wynijdź sam!
44 Yule aliyekuwa amekufa akatoka nje, mikono yake na miguu yake ikiwa imeviringishiwa vitambaa vya kitani na leso usoni pake. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mwacheni aende zake.”
I wyszedł ten, który był umarł, mając związane ręce i nogi chustkami, a twarz jego była chustką obwiązana. Rzekł im Jezus: Rozwiążcie go, a niechaj odejdzie.
45 Hivyo Wayahudi wengi waliokuwa wamekuja kumfariji Maria, walipoona yale Yesu aliyoyatenda wakamwamini.
Wiele tedy z Żydów, którzy byli przyszli do Maryi, a widzieli to, co uczynił Jezus, uwierzyło weń.
46 Lakini baadhi yao wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia mambo Yesu aliyoyafanya.
Niektórzy też z nich odeszli do Faryzeuszów i powiedzieli im, co uczynił Jezus.
47 Kwa hiyo viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakaita mkutano wa baraza. Wakaulizana, “Tufanyeje? Huyu mtu anafanya ishara nyingi.
Tedy się zebrali przedniejsi kapłani i Faryzeuszowie w radę, i mówili: Cóż uczynimy? Albowiem ten człowiek wiele cudów czyni.
48 Kama tukimwacha aendelee hivi, kila mtu atamwamini, nao Warumi watakuja na kupaharibu mahali petu patakatifu na taifa letu.”
A jeźli go tak zaniechamy, wszyscy weń uwierzą, i przyjdą Rzymianie, a wezmą nam to miejsce nasze i lud.
49 Mmoja wao aliyeitwa Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo, akasema, “Ninyi hamjui kitu chochote!
A jeden z nich, Kaifasz, będąc najwyższym kapłanem onego roku, rzekł im: Wy nic nie wiecie,
50 Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”
Ani myślicie, iż nam jest pożyteczno, żeby jeden człowiek umarł za lud, a żeby wszystek ten naród nie zginął.
51 Hakusema haya kutokana na mawazo yake mwenyewe bali kama kuhani mkuu mwaka huo, alitabiri kuwa Yesu angelikufa kwa ajili ya taifa la Wayahudi,
A tegoć nie mówił sam od siebie, ale będąc najwyższym kapłanem roku onego, prorokował, iż Jezus miał umrzeć za on naród;
52 wala si kwa ajili ya taifa hilo pekee, bali pia kwa ajili ya watoto wa Mungu waliotawanyika, ili kuwaleta pamoja na kuwafanya wawe wamoja.
A nie tylko za on naród, ale żeby też syny Boże rozproszone w jedno zgromadził.
53 Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Yesu.
Od onego tedy dnia radzili się społem, aby go zabili.
54 Kwa hiyo Yesu akawa hatembei hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa huko na wanafunzi wake.
A Jezus już nie chodził jawnie między Żydami, ale stamtąd odszedł do krainy, która jest blisko puszczy, do miasta, które zowią Efraim, i tamże mieszkał z uczniami swoimi.
55 Basi Pasaka ya Wayahudi ilipokuwa imekaribia, watu wengi walitoka vijijini wakaenda Yerusalemu kabla ya Pasaka ili wakajitakase.
A była blisko wielkanoc żydowska, a wiele ich szło do Jeruzalemu z onej krainy przed wielkanocą, aby się oczyścili.
56 Watu wakawa wanamtafuta Yesu, nao waliposimama kwenye eneo la Hekalu waliulizana, Je, mtu huyu hatakuja kamwe kwenye Sikukuu?
I szukali Jezusa, i mówili jedni do drugich, w kościele stojąc: Co się wam zda, że nie przyszedł na święto?
57 Viongozi wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kuwa yeyote atakayejua mahali Yesu aliko, lazima atoe taarifa ili wapate kumkamata.
A przedniejsi kapłani i Faryzeuszowie wydali byli rozkazanie: Jeźliby się kto dowiedział, gdzie by był, żeby oznajmił, aby go pojmali.