< Yohana 10 >
1 “Amin, amin nawaambia, yeye asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia kwenye lango, lakini akwea kuingia ndani kwa njia nyingine, ni mwizi na mnyangʼanyi.
bilenke, bilenke, ma yi komti, wo na dobo yiloko yaken klan kwamero nineri, la co kwi kange nureri, nii wo nii kwiye kange nii werka.
2 Yeye anayeingia kwa kupitia kwenye lango ndiye mchungaji wa kondoo.
wo do nure co nii mobka kwama ko
3 Mlinzi humfungulia lango na kondoo huisikia sauti yake. Huwaita kondoo wake kwa majina yao na kuwatoa nje ya zizi.
nii yiloko an wom cinen, kwama nuwa dircero ti, co ki co kwama ki dencir, na ya ki ci kale.
4 Akiisha kuwatoa wote nje, hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa kuwa wanaijua sauti yake.
kambo co bo ki kale gwame, co tiken kab, kwama bwancinententi, kweri ci nyomom dircero.
5 Lakini kondoo hawatamfuata mgeni bali watamkimbia, kwa sababu hawaijui sauti ya mgeni.”
mani ciya bwang ten fabeti, cwa co, wori ci nyombo dir faber.
6 Yesu alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.
Yeecu yi ci kero ki dangke, di la ci nyombo dike borombo co yi ci tiye.
7 Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
Yeecu yila yiten ci. bilenke, bilenke, ma yi kom ti mo yilok kwameko.
8 Wote walionitangulia ni wevi na wanyangʼanyi, lakini kondoo hawakuwasikia.
kangem bo nimde mori, nob kub, kange nob werka, la kwama nuwa ci bo.
9 Mimi ndimi lango, yeyote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu ataokoka, ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
mo yiloko, wo gwam wo alo fiye ma wiye di an fiya fukma, can do co ceri, can fiya fiye cana.
10 Mwizi huja ili aibe, kuua na kuangamiza. Mimi nimekuja ili wapate uzima kisha wawe nao tele.
nii kwiye mani bower, ki bo kan kwii, co twallum kange kanka. ma bo na ci fiya dume, take na ci fiya dutce.
11 “Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
mo nii biyuware kendo, nii biyuware kendo ne dume ceu dor kwamarce.
12 Mtu wa kuajiriwa sio mchungaji mwenye kondoo. Amwonapo mbwa mwitu akija, yeye hukimbia na kuwaacha kondoo. Naye mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya.
wo bwe tomange, kebo nii biyuware wo kebo nii kwame, tono to bicwara bo tiri an cwa dobti kwame wii, la bicwara tam, kwame, yalumten ci.
13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.
cwo wori con nii nangen kiyeme, take yo co bo kange kwameru.
14 “Mimi ndimi mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu nao kondoo wangu wananijua.
mo nii biyuware kendo, ma nyomom mi, wo mi nyomom ye.
15 Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
te nyomom ye, mo ken ma nyomom te ma ne dume mi ker kwame.
16 Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili, inanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu, hivyo patakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.
mi wi ki kwame, kebo mor kilan do wo. birombo tam, bo ki ci, ciken ciyan nuwa dirmiro, beri ciya yila kilando win kange nii biyuware win.
17 Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.
nyo won co dike te cwiye tiye ma ne dume mi, beri na fiyaten co.
18 Hakuna mtu aniondoleaye uhai wangu, bali ninautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuutwaa tena. Amri hii nimepewa na Baba yangu.”
kange mani na wo a tum co ti minene, di la miki ne ki beimi. mi wi ki bi kwan ne kako, miwi ki kwan tuka ceko tok. ma you ciya kako te nin?
19 Kwa maneno haya Wayahudi waligawanyika.
yalkako yila kweni tiber yahudawa dor kero woro
20 Wengi wao wakasema, “Huyu amepagawa na pepo mchafu, naye amechanganyikiwa.”
dutce more ciye ciki wiki kelkeli, takeu twelum, ye bwi ko nuwa co tiye?
21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na pepo mchafu. Je, pepo mchafu aweza kufungua macho ya kipofu?”
kangem bo ki wurombo kebo ker nii ki kelkeli an wumom nuwe fukma?
22 Wakati huo ilikuwa Sikukuu ya Kuwekwa wakfu kwa Hekalu huko Yerusalemu, nao ulikuwa wakati wa majira ya baridi.
duklume wucakke mor urcalima lau.
23 Naye Yesu alikuwa akitembea ndani ya Hekalu katika ukumbi wa Solomoni.
la miyalale, Yeecu yakenti wi karak bikurwabe culaimanu.
24 Wayahudi wakamkusanyikia wakamuuliza, “Utatuweka katika hali ya mashaka mpaka lini? Kama wewe ndiye Kristo tuambie waziwazi.”
Yahudawa kentangum co, cin yi co fiyan mwa dob nyo ti mor nyomanka, tano mo mwa Almanciya di nyim nyo nyanglang.”
25 Yesu akawajibu, “Nimewaambia, lakini hamwamini. Mambo ninayoyatenda kwa jina la Baba yangu yananishuhudia.
Yeecu yi ci, “ma yi kom di kom ne bo bilenke. nangen do ma ma tiye mor den te mir, ci, ciwarkeroti dor mire.
26 Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si wa kundi la kondoo wangu.
kang wo kom ne bo bilenke, dike bwiye kom kebo kwame mi.
27 Kondoo wangu huisikia sauti yangu nami nawajua, nao hunifuata,
kwame mi nuwa dir miroti, ma nyomom ci, ci bwang mententi ken.
28 nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn , aiōnios )
mi ni ci dumeti diri, mani ciya bwiyati, ni mani a yociti kanmik. (aiōn , aiōnios )
29 Baba yangu aliyenipa hawa ni mkuu kuliko wote na hakuna awezaye kuwapokonya kutoka mikononi mwake.
te mi wo ne ye ciye, la nobo gwam duwi ka, ni mani a yociti kan temi.
30 Mimi na Baba yangu tu umoja.”
mo kange te mi win.
31 Kwa mara nyingine Wayahudi wakainua mawe ili wampige nayo,
la Yahudawa tu tero na cin mobang co ciko.
32 lakini Yesu akawaambia, “Nimewaonyesha miujiza mingi mikubwa kutoka kwa Baba yangu. Ni ipi katika hiyo mnataka kunipiga mawe?”
Yeecu ciya la yi ci ki, man nung kumen nangendo yoryori dute fiye te mi wiye la co nangendo wini mor nangendo ma mane, kom mobanye tiye?
33 Wayahudi wakamjibu, “Hatukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.”
Yahudawa kari ciya, kebo ki ker nangenero ken nyo cwiti, nyo mobangene, dila ker dilaka, mon nifir dila mo to dor mwero mo yilaken na kwama.”
34 Yesu akawajibu, “Je, haikuandikwa katika Sheria ya kwamba, ‘Nimesema kuwa, ninyi ni miungu?’
Yeecu ciya ciki mani mulangum mulange ka, mor bolange kume, nace kom bwel ka? 36 tano co ci ki bweldi, la wurombo ker kwamaro bo cinene (mani a dolti ki kero mor bifumere)
35 Kama aliwaita ‘miungu,’ wale ambao neno la Mungu liliwafikia, nayo Maandiko hayawezi kutanguka,
36 je, mwawezaje kusema kwamba yule ambaye Baba amemweka wakfu na kumtuma ulimwenguni anakufuru, kwa sababu nilisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu?’
kom ki yi niwo te cuki, tungu fo dorbitinereu, mon dillam, wori ma yi miki ma bebwe kwama ka'?
37 Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, basi msiniamini,
tano mani ma, ma nange temiro tiri kom nere bilenke.
38 lakini ikiwa nazifanya kazi za Mungu, hata kama hamniamini mimi ziaminini hizo kazi, ili mpate kujua na kuelewa kwamba Baba yu ndani yangu, nami ndani yake.”
tano mati mairi, bwen kom ne bo bilenke ki nangendo wori kom nyomom kom futangum kom ki te more mi, mi kenneu ma more te.”
39 Ndipo wakajaribu kumkamata kwa mara nyingine, lakini akaponyoka kutoka mikononi mwao.
cin maten na ci tam co, di la ta yamcem, cirum kangcik.
40 Akaenda tena ngʼambo ya Mto Yordani mpaka mahali pale ambapo Yohana alikuwa akibatiza hapo awali, naye akakaa huko.
taka yamcem, yaken kab kange caji urdun, fiye Yahuda yum mwem bo wucakke tiye, yiken wii.
41 Watu wengi wakamjia, nao wakawa wakisema, “Yohana hakufanya muujiza wowote, lakini kila jambo alilosema kumhusu huyu mtu ni kweli.”
nobo ki la ci bo fiye co wiye. ciki bilenke Yahuda mabo kange yirom, di la gwam dike Yahuda to ki dor mi wuro bilenke.
42 Nao wengi wakamwamini Yesu huko.
nobo dutce ne bilengke cinen fiye co.