< Joeli 1 >

1 Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.
Pa inge kas lun LEUM GOD nu sel Joel, wen natul Pethuel.
2 Sikilizeni hili, enyi wazee; sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika nchi. Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea katika siku zenu au katika siku za babu zenu?
Kowos mwet matu, lohng ma inge, Mwet Judah nukewa in porongo. Ku nu oasr kain ouiya inge sikyak in pacl lowos uh, Ku ke pacl lun papa tomowos?
3 Waelezeni watoto wenu, na watoto wenu wawaambie watoto wao, na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata.
Srumun ma inge nu sin tulik nutuwos, Ac elos fah srumun nu sin tulik natulos, Su ac fah srumun pac nu sin fwil tok ah.
4 Kilichosazwa na kundi la tunutu nzige wakubwa wamekula, kilichosazwa na nzige wakubwa parare wamekula, kilichosazwa na parare madumadu wamekula.
Fwilin locust puspis tuhwi tari fin ima lowos uh, Fahko ma lula tukun sie u in locust, u se toko ah kangla.
5 Amkeni, enyi walevi, mlie! Pigeni yowe enyi wanywaji wote wa mvinyo, pigeni yowe kwa sababu ya mvinyo mpya, kwa kuwa mmenyangʼanywa kutoka midomoni mwenu.
Ngutalik ac tung, kowos mwet sruhi; Tung, kowos mwet lungse nimnim, Mweyen grape mwe orek wain sasu kunausyukla.
6 Taifa limevamia nchi yangu, lenye nguvu tena lisilo na idadi; lina meno ya simba, magego ya simba jike.
Sie un locust na matol utyak tari nu in acn sesr oana un mwet mweun. Elos arulana fokoko ac pusla, tia ku in oaoala. Wihselos arulana kosroh oana wihsen soko lion.
7 Limeharibu mizabibu yangu na kuangamiza mitini yangu. Limebambua magome yake na kuyatupilia mbali, likayaacha matawi yake yakiwa meupe.
Elos kunausla ima in grape lasr, Ac kontonauk sak fig sunasr. Elos ngalesla kulun sak uh Nwe ke na lah nukewa fasrfasrla.
8 Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia anayehuzunika kwa ajili ya mume wa ujana wake.
Mwet uh in tung, oana sie mutan fusr su mwemelil ke misa Lun mukul se el akola in payuk nu se.
9 Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji zimekatiliwa mbali kutoka nyumba ya Bwana. Makuhani wanaomboleza, wale wanaohudumu mbele za Bwana.
Wangin wheat ku wain kowos ac kisakin in Tempul uh. Mwet tol elos asor mweyen wangin ma elos ac kisakin nu sin LEUM GOD.
10 Mashamba yameharibiwa, ardhi imekauka; nafaka imeharibiwa, mvinyo mpya umekauka, mafuta yamekoma.
Ima uh sikiyukla, Ac infohk uh mwemelil Mweyen wheat uh kunausyukla, Grape uh masla, Ac sak olive uli.
11 Kateni tamaa, enyi wakulima, lieni, enyi mlimao mizabibu; huzunikeni kwa ajili ya ngano na shayiri, kwa sababu mavuno ya shambani yameharibiwa.
Kowos mwet ima in arulana asor, Kowos su karingin ima in grape in tung, Mweyen wheat ac barley — Aok, mwe yok nukewa kunanula.
12 Mzabibu umekauka na mtini umenyauka; mkomamanga, mtende na mtofaa, miti yote shambani, imekauka. Hakika furaha yote ya mwanadamu imeondoka.
Ima grape ac sak fig nukewa uli; Sak nukewa ma isus fahko uli ac masla. Mwe akenganye mwet uh wanginla.
13 Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze; pigeni yowe, enyi mnaohudumu madhabahuni. Njooni, vaeni nguo ya gunia usiku kucha, enyi mnaohudumu mbele za Mungu wangu; kwa kuwa sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji zimezuiliwa kufika katika nyumba ya Mungu wenu.
Kowos mwet tol su kulansap ke loang uh, Nokomang nuknuk yohk eoa ac tung. Utyak nu in Tempul ac mwemelil fong fon! Wangin wheat ku wain in sang nu sin God lowos.
14 Tangazeni saumu takatifu; liiteni kusanyiko takatifu. Iteni wazee na wote waishio katika nchi waende katika nyumba ya Bwana Mungu wenu, wakamlilie Bwana.
Sapkin in oasr sie tukeni lulap, Ac mwet nukewa in lalo. Pangoneni mwet kol Ac mwet Judah nukewa Nu in Tempul lun LEUM GOD lowos Ac pang nu sel!
15 Ole kwa siku hiyo! Kwa kuwa siku ya Bwana iko karibu; itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.
Len lun LEUM GOD apkuranme, Len se ma God Kulana El ac kunausla ma nukewa. Fuka lupan sangeng ac rarrar ac sikyak ke len sac!
16 Je, chakula hakikukatiliwa mbali mbele ya macho yetu: furaha na shangwe kutoka nyumba ya Mungu wetu?
Kut ngetang na liye ke ima lasr uh masla, ac wangin ma kut ku in oru. Wanginla pwar in Tempul lun God lasr.
17 Mbegu zinakauka chini ya mabonge ya udongo. Ghala zimeachwa katika uharibifu, ghala za nafaka zimebomolewa, kwa maana hakuna nafaka.
Infohk uh paola ac fita uh masla. Wanginla wheat in oan ke nien filma, Ouinge lohm in filma uh musalla.
18 Jinsi gani ngʼombe wanavyolia! Makundi ya mifugo yanahangaika kwa sababu hawana malisho; hata makundi ya kondoo yanateseka.
Cow uh wowoyak ke keok lalos Mweyen wangin acn elos in mongo we. Un sheep uh wi pac keok.
19 Kwako, Ee Bwana, naita, kwa kuwa moto umeteketeza malisho ya mbugani na miali ya moto imeunguza miti yote shambani.
O LEUM GOD, nga pang nu sum, Mweyen ima uh ac insak uh paola ac masla, Oana in isisyak.
20 Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku; vijito vya maji vimekauka, na moto umeteketeza malisho yote ya mbugani.
Finne kosro lemnak elos wowoyak pac nu sum, Mweyen infacl uh paola.

< Joeli 1 >