< Ayubu 9 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Yoube da bu adole i,
2 “Naam, najua hili ni kweli. Lakini mwanadamu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu?
“Ma! Na da amo sia: huluane musa: nabi dagoi. Be osobo bagade dunu da habodane Godema moloma: ne fofada: ma: bela: ?
3 Ingawa mtu angetaka kushindana naye, asingaliweza kumjibu Mungu hata mara moja miongoni mwa elfu moja.
Osobo bagade dunu da Godema fofada: mu hamedei galebe. E da osia: i (1,000 agoane) adole ba: sea, nowa da Ema bu adole imunu dawa: ma: bela: ?
4 Hekima yake ni kubwa sana na ana uwezo mwingi mno. Ni nani aliyempinga naye akawa salama?
Gode da asigi dawa: su bagadedafa gala amola gasa bagade gala. Osobo bagade dunu da Ema dabele sia: mu da hamedei.
5 Aiondoa milima bila yenyewe kujua na kuipindua kwa hasira yake.
E da mae sisane, goumi gaguli asili eno sogebiga ligisisa. E da ougiba: le. goumi gugunufinisisa.
6 Aitikisa dunia kutoka mahali pake na kuzifanya nguzo zake zitetemeke.
Gode da bebeda: nima iasili, osobo bagade da yagugusa. Fedege agoane, E da osobo bagade golasu ifa bai amo yagugusa.
7 Husema na jua, nalo likaacha kuangaza; naye huizima mianga ya nyota.
E da eso ea mabe hedofamusa: dawa: E da gasia gasumuni ilia diga: be hou hedofamusa: dawa:
8 Yeye peke yake huzitandaza mbingu na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
Gode Hisu da mu hahamoi. Eno dunu da E hame fidisu. Gode hisu da hano wayabo bagade ganodini esalebe ohe bagade amo ea baligiga ososa: gisa.
9 Yeye ndiye Muumba wa nyota za Dubu, na Orioni, Kilimia, na makundi ya nyota za kusini.
Gode da gasumuni huluane muagado bugisisi. Gasumuni eno ilia dio da Bea Bagade, Olione, Bileidese, amola ga (south) gasumuni huluane.
10 Hutenda maajabu yasiyopimika, miujiza isiyoweza kuhesabiwa.
Ea gasa bagade hamobe, ninia da dawa: digimu hame dawa: Ea musa: hame ba: su hamobe da hamedafa dagomu.
11 Anapopita karibu nami, siwezi kumwona; apitapo mbele yangu, simtambui.
Gode da bobaligila ahoa, be na da E hame ba: sa.
12 Anapochukua kwa ghafula, ni nani awezaye kumzuia? Ni nani awezaye kumwambia, ‘Unafanya nini?’
E da hi hanaiga liligi laha. Amola Ea logo enoga hedofamu da hamedei. Dunu huluane da beda: iba: le, Ema, “Di adi hamosala: ?” amane sia: mu da hamedei ba: sa.
13 Mungu hataizuia hasira yake; hata jeshi kubwa la Rahabu lenye nguvu linajikunyata miguuni pake.
Gode Ea ougi hou da eso huluane dialumu. Hano wayabo bagade ohe (La: iha: be) da Godema gegei. Godema ha lai dunu da La: iha: be fuligala: i. Be Gode da ili huluane hasalasi.
14 “Ni vipi basi mimi nitaweza kubishana naye? Nawezaje kupata maneno ya kuhojiana naye?
Amaiba: le, na da habodane Godema bu fofada: ma: bela: ?
15 Ingawa sikuwa na hatia, sikuweza kumjibu; ningeweza tu kumsihi Mhukumu wangu anihurumie.
Na da wadela: i hou hamedafa hamoi. Be Gode da na fofada: su dunu. Amaiba: le, na da logo hame gala. E da nama asigima: ne fawane, na da Ema edegemu.
16 Hata kama ningemwita kwenye shauri, naye akakubali, siamini kama angenisikiliza.
Be E da na Ema sia: mu logo doasisia, E da na sia: nabima: bela: ?
17 Yeye angeniangamiza kwa dhoruba na kuongeza majeraha yangu pasipo na sababu.
E da udigili na se nabima: ne, isu gibula bobodobe, na fama: ne, iasisa.
18 Asingeniacha nipumue bali angenifunika kabisa na huzuni kuu.
Ea hamobeba: le, na da mifo lamu gogolei. Ea hamobeba: le, na esalusu da da: i dioi amoga nabai gala.
19 Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye nguvu! Kama ni suala la haki, ni nani awezaye kumwita mahakamani?
Na da Ema sesele hamoma: bela: ? Osobo bagade dunu da Godema sesemu hamedei. Na da E fofada: su diasuga oule masa: bela: ? Be nowa da E amoga masa: ne sesema: bela: ?
20 Hata kama sikuwa na hatia, kinywa changu kingenihukumu; kama sikuwa na kosa, kingenitangaza kuwa mwenye hatia.
Na da wadela: i hou hamedafa hamoi, amola dafawaneyale dawa: su hou hame fisi. Be na sia: da wadela: i hamosu dunu ea sia: agoai gala. Na sia: be huluane da nama se dabe imunu fofada: su liligi agoai ba: sa.
21 “Ingawa mimi sina kosa, haileti tofauti katika nafsi yangu; nauchukia uhai wangu.
22 Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema, ‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
Na da wadela: i hou hame hamoi. Be na da da: i dioiba: le, bu hame dawa: digisa. Na da bu esalumu higa: i gala. Liligi huluane da hamedei. Gode da wadela: i dunu amola moloidafa dunu, amo defele, gugunufinisimu.
23 Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula, yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
Moloidafa dunu da hedolo bogosea, Gode da nodosa.
24 Wakati nchi inapoangukia mikononi mwa waovu, yeye huwafunga macho mahakimu wake. Kama si yeye, basi ni nani?
Gode da osobo bagade amo wadela: i hou hamosu dunu ilima i dagoi. E da moloidafa fofada: su dunu huluane ilia si wadela: lesi dagoi. Gode da amo hame hamoi ganiaba, nowa da hamobela: ?
25 “Siku zangu zapita mbio kuliko mkimbiaji; zinapita upesi bila kuona furaha hata kidogo.
Na esalebe eso da hehenasa. Amo eso huluane da wadela: i gala.
26 Zinapita upesi kama mashua ya mafunjo, mfano wa tai ayashukiaye mawindo kwa ghafula.
Na esalusu da dusagai ea hehenasu agoai gala. Na esalusu da buhiba ea ohe fonobahadi famusa: , adogomusa: hagili dabe agoane daha.
27 Kama nikisema, ‘Nitayasahau malalamiko yangu, nitabadili sura ya uso wangu na kutabasamu,’
28 bado ninahofia mateso yangu yote, kwa kuwa ninajua hutanihesabu kuwa sina hatia.
Na da se nabasu gogolema: ne, onigisia, na da bu se naba. Gode da na da wadela: le hamosu dunu dawa: sa.
29 Kwa kuwa nimeonekana mwenye hatia, kwa nini basi nitaabishwe bure?
Amaiba: le, Gode da nama fofada: nanu, na da wadela: i dunu sia: beba: le, na da abuliba: le Ema dawa: ma: bela: ?
30 Hata kama ningejiosha kwa sabuni na kutakasa mikono yangu kwa magadi,
Safoga da na wadela: i hou dodofemu hamedei galebe.
31 wewe ungenitupa kwenye shimo la utelezi kiasi kwamba hata nguo zangu zingenichukia sana.
Gode da na amola ledo bagade gilisili uli dogoiga ha: digi dagoi. Fedege agoane, na abula da na da: i hodo ba: sea, gogosiasa.
32 “Yeye si mwanadamu kama mimi ili niweze kumjibu, ili kwamba tuweze kushindana naye mahakamani.
Gode da osobo bagade dunu ganiaba, na da Ema adole ia: noba. Ania da sia: ga gegei hahamoma: ne, fofada: su diasuga ahoa: noba.
33 Laiti angelikuwepo mtu wa kutupatanisha kati yetu, aweke mkono wake juu yetu sote wawili,
Be ania dogoa aligili, gaga: su dunu da hame gala. Gode amola na, anima fofada: su dunu da hamedafa.
34 mtu angeliiondoa fimbo ya Mungu juu yangu, ili utisho wake usiendelee kunitia hofu.
Gode! Nama se iabe yolesima! Na bu beda: ma: ne, maedafa hamoma!
35 Ndipo ningenena naye, bila kumwogopa, lakini kama ilivyo kwangu sasa, sitaweza.
Na da Dima hame beda: i! Na da sia: mu! Bai na da na asigi dawa: su dawa: !

< Ayubu 9 >