< Ayubu 7 >
1 “Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani? Siku zake si kama zile za mtu aliyeajiriwa?
それ人の世にあるは戰鬪にあるがごとくならずや 又其日は傭人の日のごとくなるにあらずや
2 Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni, au mtu aliyeajiriwa anavyoungojea mshahara wake,
奴僕の暮を冀がふが如く傭人のその價を望むがごとく
3 ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili, nami nimeandikiwa huzuni usiku hata usiku.
我は苦しき月を得させられ 憂はしき夜をあたへらる
4 Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’ Usiku huwa mrefu, nami najigeuzageuza hadi mapambazuko.
我臥ば乃はち言ふ何時夜あけて我おきいでんかと 曙まで頻に輾轉ぶ
5 Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu, ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.
わが肉は蟲と土塊とを衣服となし 我皮は愈てまた腐る
6 “Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
わが日は機の梭よりも迅速なり 我望む所なくし之を送る
7 Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.
想ひ見よ わが生命が氣息なる而已 我目は再び福祉を見ること有じ
8 Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.
我を見し者の眼かさねて我を見ざらん 汝目を我にむくるも我は已に在ざるべし
9 Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol )
雲の消て逝がごとく陰府に下れる者は重ねて上りきたらじ (Sheol )
10 Kamwe harudi tena nyumbani mwake; wala mahali pake hapatamjua tena.
彼は再びその家に歸らず 彼の郷里も最早かれを認めじ
11 “Kwa hiyo sitanyamaza; nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu, nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.
然ば我はわが口を禁めず 我心の痛によりて語ひ わが神魂の苦しきによりて歎かん
12 Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini, hata uniweke chini ya ulinzi?
我あに海ならんや鰐ならんや 汝なにとて我を守らせおきたまふぞ
13 Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji, nacho kiti changu cha fahari kitapunguza malalamiko yangu,
わが牀われを慰め わが寢床わが愁を解んと思ひをる時に
14 ndipo wanitisha kwa ndoto na kunitia hofu kwa maono,
汝夢をもて我を驚かし 異象をもて我を懼れしめたまふ
15 hivyo ninachagua kujinyonga na kufa, kuliko huu mwili wangu.
是をもて我心は氣息の閉んことを願ひ我この骨よりも死を冀がふ
16 Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi. Niache; siku zangu ni ubatili.
われ生命を厭ふ 我は永く生るをことを願はず 我を捨おきたまへ 我日は氣のごときなり
17 “Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki, kwamba unamtia sana maanani,
人を如何なる者として汝これを大にし 之を心に留
18 kwamba unamwangalia kila asubuhi na kumjaribu kila wakati?
朝ごとに之を看そなはし 時わかず之を試みたまふや
19 Je, hutaacha kamwe kunitazama, au kuniacha japo kwa kitambo kidogo tu?
何時まで汝われに目を離さず 我が津を咽む間も我を捨おきたまはざるや
20 Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini, Ewe mlinzi wa wanadamu? Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako? Je, nimekuwa mzigo kwako?
人を鑒みたまふ者よ我罪を犯したりとて汝に何をか爲ん 何ぞ我を汝の的となして我にこの身を厭はしめたまふや
21 Kwa nini husamehi makosa yangu na kuachilia dhambi zangu? Kwa kuwa hivi karibuni nitalala mavumbini; nawe utanitafuta, wala sitakuwepo.”
汝なんぞ我の愆を赦さず我罪を除きたまはざるや 我いま土の中に睡らん 汝我を尋ねたまふとも我は在ざるべし