< Ayubu 7 >

1 “Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani? Siku zake si kama zile za mtu aliyeajiriwa?
Osobo bagade dunu ea esalusu da sesesu dadi gagui dunu ea hawa: hamosu defele amola udigili gasa bagade hawa: hamosu agoane.
2 Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni, au mtu aliyeajiriwa anavyoungojea mshahara wake,
Ea esalusu da udigili hawa: hamosu dunu amo da anegagima: ne, ifa ougiha esalumusa: hanai gala. Ea esalusu da hamosu dunu amo da ea bidi lama: ne, hanaiwane ouesalebe ba: sa.
3 ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili, nami nimeandikiwa huzuni usiku hata usiku.
Oubi uduli, eno uduli, na da udigili se nabawane esala. Na bu esaloma: ne da bai hame gala. Gasili asili bu eno gasili, na da da: i dioi fawane ba: sa.
4 Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’ Usiku huwa mrefu, nami najigeuzageuza hadi mapambazuko.
Na da golai be sidagane esala. Gasi huluane na da sidagane gilala, soge hedolo hadigima: ne dawa: lala.
5 Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu, ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.
Na da: i da fioso amoga nabai. Na da: i da aiya heheya: amoga dedeboi dagoi. Na aiya amoga guhi da daha.
6 “Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
Na da hobea misunu dafawane hamoma: beyale dawa: lusu hamedene, eso da hedolowane hehenasa.
7 Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.
Gode! Mae gogolema! Na esalusu da mifo lai afadafa fawane agoai gala. Na hahawane hou da fisi dagoi.
8 Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.
Dia da wahadafa na ba: sa. Be hobea bu hamedafa ba: mu. Dia na hogosea, na da asi dagoi ba: mu.
9 Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol h7585)
10 Kamwe harudi tena nyumbani mwake; wala mahali pake hapatamjua tena.
Mu mobi da ba: lalu, hedolowane gilasi dagoi ba: sa. Amo defele, ninia osobo bagade dunu da bogosea, hame buhagisa. Nini dawa: su dunu, ilia da nini hedolo gogolesa. (Sheol h7585)
11 “Kwa hiyo sitanyamaza; nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu, nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.
Hame mabu! Na da hamedafa ouiya: mu! Na da ougi amola gia: i bagade gala. Na da sia: mu!
12 Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini, hata uniweke chini ya ulinzi?
Gode! Dia da abuliba: le na sosodo aligisala: ? Na da wayabo bagade wadela: i ohe bagade, Dia da dawa: sala: ?
13 Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji, nacho kiti changu cha fahari kitapunguza malalamiko yangu,
Na da helefimusa: diala be golamu hamedei. Na da na se nabasu fisima: ne, logo hogosa.
14 ndipo wanitisha kwa ndoto na kunitia hofu kwa maono,
Be Dia da na beda: ma: ne simasia olelesa. Dia da na esala ba: la: lusu amola wadela: i simasia ba: su nama iasisa.
15 hivyo ninachagua kujinyonga na kufa, kuliko huu mwili wangu.
Amaiba: le, na da na da: i ganodini bu esalumu higasa. Dunu eno da na galogoa gaguli, na fane legemu da defea gala.
16 Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi. Niache; siku zangu ni ubatili.
Na da yolesimu galebe. Na da esalumu higasa. Dia na yolesima! Na esalusu da bai hamedafa gala.
17 “Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki, kwamba unamtia sana maanani,
Dia abuliba: le osobo bagade dunu da mimogoayale dawa: sala: ? Dia abuliba: le ilia hamobe sosodolalala: ?
18 kwamba unamwangalia kila asubuhi na kumjaribu kila wakati?
Dia da hahabe huluane ili abodelala. Dia da mae fisili ilima adoba: lala.
19 Je, hutaacha kamwe kunitazama, au kuniacha japo kwa kitambo kidogo tu?
Na defo hano ni da: gima: ne, Di da nama sosodobe fonobahadi yolesimu da defea gala.
20 Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini, Ewe mlinzi wa wanadamu? Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako? Je, nimekuwa mzigo kwako?
Di da nama se iasu diasu ouligisu dunu agoai gala. Na wadela: i hou da Dima se iahabela: ? Dia da abuliba: le, dimaga: su adoba: ma: ne, nama dadiga dimaga: sala: ? Na da Dima dioi bagade gaguli ahoabe liligila: ?
21 Kwa nini husamehi makosa yangu na kuachilia dhambi zangu? Kwa kuwa hivi karibuni nitalala mavumbini; nawe utanitafuta, wala sitakuwepo.”
Dia da na wadela: i hou hamedafa gogolema: ne olofoma: bela: ? Dia da na wadela: i hamobe amo gogolema: ne olofomu hamedei ba: sala: ? Na da hedolowane bogole, uli dogoi ganodini sali ba: mu. Amola, Dia na hogole ba: sea, na da asi dagoi ba: mu.”

< Ayubu 7 >