< Ayubu 6 >
I odpowiedział Ijob, a rzekł:
2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
O gdyby pilnie zważono narzekanie moje, a biedę moję pospołu na wagę włożono,
3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Tedyby była cięższą nad piasek morski; przetoż mi słów niestaje.
4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu, roho yangu inakunywa sumu yake; vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.
Albowiem strzały Wszechmocnego tkwią we mnie, których jad wysuszył ducha mego, a strachy Boże walczą przeciwko mnie.
5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?
Izali osieł dziki ryczy nad trawą? albo wół izali ryczy nad paszą swoją?
6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
Izali może być jedzona rzecz niesmaczna bez soli? albo jestli jaki smak w białku jajowym?
7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.
Czego się przedtem nie chciała dotknąć dusza moja, to teraz jest boleścią ciała mego.
8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
Bodajże się spełniła prośba moja! Niechże mi Bóg da, czego oczekuję!
9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
Oby się Bogu podobało, żeby mię zniszczył, a żeby mię wyciął, rozpuściwszy rękę swoję!
10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
Bo mam jeszcze pociechę swoję, (chociaż pałam w boleści, a Bóg mi nie folguje) żem nie taił słów Świętego.
11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini? Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?
Cóż jest za moc moja, abym potrwał? albo co za koniec mój, abym przedłużył żywota mego?
12 Je, mimi nina nguvu za jiwe? Je, mwili wangu ni shaba?
Izali moc kamienna moc moja? albo ciało moje miedziane?
13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe, wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?
Azaż obrony mojej niemasz przy mnie? azaż rozsądek oddalony odemnie?
14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake, hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.
Przeciwko temu, którego litość słabieje ku bliźniemu swemu, i który bojaźń Wszechmogącego opuścił?
15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Bracia moi omylili mię jako potok; pominęli jako gwałtowne potoki,
16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
Które bywają mętne od lodu, w których się śnieg ukrywa;
17 lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
Czasu którego topnieją, zaginą; a czasu gorącości niszczeją z miejsca swego.
18 Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
Udawają się tam i sam z dróg swoich; rozciekają się po miejscach bezwodnych, i giną.
19 Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
Podróżni ludzie z krainy Teman obaczyli je; a którzy szli do Seba, mieli w nich nadzieję.
20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
Ale się zawstydzili, iż w nich ufali; a gdy tam przyszli, oszukali się.
21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.
Tak zaiste i wy, bywszy nie jesteście; widząc utrapienie moje, lękacie się.
22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu, au mnilipie fidia kutoka mali zenu,
Izalim mówił: Przynieście mi co, a z majętności waszej dajcie mi dary?
23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?
I wybawcie mię z rąk nieprzyjaciela, a z rąk okrutników odkupcie mię?
24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
Nauczcież mię, a ja umilknę; a w czemem zbłądził pokażcie mi.
25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
O jakoż są mocne słowa prawdziwe! Ale cóż sprawi obwinienie wasze?
26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Izali słowa moje obwinić myślicie, a przewiewać mowy utrapionego?
27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima, na kubadilishana rafiki yenu na mali.
I na sierotę targacie się, i kopiecie doły pod przyjacielem swoim.
28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi. Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?
Przetoż przypatrzcie mi się teraz, a obaczycie, jeźli kłamię przed obliczem waszem.
29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Obaczcie się, proszę, a niech nie będzie w was nieprawość; obaczcie się, a poznacie, że jest sprawiedliwość moja przy mnie.
30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu? Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?
A iż nie masz w języku mym nieprawości: i nie mamże znać utrapienia mego?