< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Na Job el topuk ac fahk,
2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
“Fin mwe keok ac asor luk inge pauniyuki ke sie mwe paun,
3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Ac fah toasr liki puk in meoa, Ouinge lela kas toasr luk in tia mwe lut nu sum.
4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu, roho yangu inakunywa sumu yake; vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.
God Fulatlana El pisrikyuwi ke osra in pisr, Ac pwasin kac uh fahsrelik nu in monuk nufon. God El takunma mwe aksangeng puspis lainyu.
5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?
“Soko donkey el insewowo ke el mongo mah, Ac soko cow el misla ke el kang mah uh.
6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
A su ku in kang mongo emyohu ma wangin sohl kac? Ya oasr eman acn fasrfasr ke sie atro?
7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.
Nga tiana ke kang kain mongo ouinge uh, Ac ma nukewa nga kang uh nga wohtwot kac.
8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
“Efu ku God El tia ase nu sik ma nga siyuk uh? Efu ku El tia topuk pre luk uh?
9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
Nga ke Elan tari uniyuwi na!
10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
Nga fin etu mu El ac uniyuwi, nga lukun sro nwe lucng ke engan uh, Finne upa ngal luk uh. Nga etu lah God El mutal; Nga soenna wi lain ma El sapkin uh.
11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini? Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?
Ma ya ku se luk ngan moul na muta ange? Mwe mea nga in moul fin wanginna finsrak luk?
12 Je, mimi nina nguvu za jiwe? Je, mwili wangu ni shaba?
Mea, nga orekla ke eot? Mea, monuk orekla ke bronze?
13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe, wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?
Wanginla ku luk in sifacna moliyula; Wangin sie acn nga ku in suk kasru luk we.
14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake, hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.
“Ke pacl in keok ouinge uh nga arulana enenu mwet kawuk na pwaye, Finne nga ngetla liki God, ku tia.
15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
A komtal, mwet kawuk luk, komtal kiapweyu oana soko infacl Ma paola ke pacl wangin af uh.
16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
Infacl uh fonani ke snow ac ice,
17 lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
Tusruktu fin fusrfusryak, na ac kofelik ac wanginla, Ac infacl uh pisala oan — paola ac wangin ma loac.
18 Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
Un mwet fufahsryesr fin camel uh elos ac kuhfla liki inkanek lalos in sukok kof; Na elos ac tuhlac ac misa yen mwesis uh.
19 Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
Un mwet fufahsryesr liki acn Sheba ac Tema elos sukok kof,
20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
Tusruktu wanginla finsrak lalos ke elos ac sun sisken infacl ma paola inge.
21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.
Komtal oana kain infacl se ingan nu sik — Komtal liye ongoiya nu sik inge, na komtal ac sangeng ac kohloli likiyu.
22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu, au mnilipie fidia kutoka mali zenu,
Mea, oasr ngusr luk komtal in orek lung nu sik, Ku in sang molin eyeinse nu sin mwet ke sripuk,
23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?
Ku in moliyula liki inpoun mwet lokoalok, ku sie leum kou?
24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
“Kwal, tal lutiyu. Fahkma ma sufal luk an. Nga ac misla ac porongekomtal.
25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
Kaskas suwohs uh ac ku in lulalfongiyuk, Tusruktu wangin kalmen ma komtal fahk an.
26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Komtal mu wangin kalmen ma nga fahk uh, mwe na eng tuhtuh; Na efu ku komtal topuk kas ma nga fahk ke keok luk inge?
27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima, na kubadilishana rafiki yenu na mali.
Komtal ku pacna in susfa in eisla tulik mukaimtal nutin mwet foko uh Ac akkasrupye komtal ke ma lun mwet kawuk na pwaye lomtal uh!
28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi. Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?
Ngetma liye mutuk. Nga ac tia kikap.
29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Fal tari ma komtal oru nu sik an. Nimet sifil orekma sesuwos. Nimet fahk kutena kas in akkolukyeyu. Wangin ma sufal luk.
30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu? Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?
A komtal pangon mu nga kikiap — Komtal nunku mu nga tia ku in akilen inmasrlon ma wo ac ma koluk.

< Ayubu 6 >