< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Job vastasi ja sanoi:
2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
"Oi, jospa minun suruni punnittaisiin ja kova onneni pantaisiin sen kanssa vaakaan!
3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Sillä se on nyt raskaampi kuin meren hiekka; sentähden menevät sanani harhaan.
4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu, roho yangu inakunywa sumu yake; vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.
Sillä Kaikkivaltiaan nuolet ovat sattuneet minuun; minun henkeni juo niiden myrkkyä. Jumalan kauhut ahdistavat minua.
5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?
Huutaako villiaasi vihannassa ruohikossa, ammuuko härkä rehuviljansa ääressä?
6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
Käykö äitelää syöminen ilman suolaa, tahi onko makua munanvalkuaisessa?
7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.
Sieluni ei tahdo koskea sellaiseen, se on minulle kuin saastainen ruoka.
8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
Oi, jospa minun pyyntöni täyttyisi ja Jumala toteuttaisi minun toivoni!
9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
Jospa Jumala suvaitsisi musertaa minut, ojentaa kätensä ja katkaista elämäni langan!
10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
Niin olisi vielä lohdutuksenani-ja ilosta minä hypähtäisin säälimättömän tuskan alla-etten ole kieltänyt Pyhän sanoja.
11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini? Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?
Mikä on minun voimani, että enää toivoisin, ja mikä on loppuni, että tätä kärsisin?
12 Je, mimi nina nguvu za jiwe? Je, mwili wangu ni shaba?
Onko minun voimani vahva kuin kivi, onko minun ruumiini vaskea?
13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe, wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?
Eikö minulla ole enää mitään apua, onko pelastus minusta karkonnut?
14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake, hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.
Tuleehan ystävän olla laupias nääntyvälle, vaikka tämä olisikin hyljännyt Kaikkivaltiaan pelon.
15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Minun veljeni ovat petolliset niinkuin vesipuro, niinkuin sadepurot, jotka juoksevat kuiviin.
16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
Ne ovat jääsohjusta sameat, niihin kätkeytyy lumi;
17 lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
auringon paahtaessa ne ehtyvät, ne häviävät paikastansa helteen tullen.
18 Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
Niiden juoksun urat mutkistuvat, ne haihtuvat tyhjiin ja katoavat.
19 Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
Teeman karavaanit tähystelivät, Seban matkueet odottivat niitä;
20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
he joutuivat häpeään, kun niihin luottivat, pettyivät perille tullessansa.
21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.
Niin te olette nyt tyhjän veroiset: te näette kauhun ja peljästytte.
22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu, au mnilipie fidia kutoka mali zenu,
Olenko sanonut: 'Antakaa minulle ja suorittakaa tavaroistanne lahjus minun puolestani,
23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?
pelastakaa minut vihollisen vallasta ja lunastakaa minut väkivaltaisten käsistä'?
24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
Opettakaa minua, niin minä vaikenen; neuvokaa minulle, missä olen erehtynyt.
25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
Kuinka tehoaakaan oikea puhe! Mutta mitä merkitsee teidän nuhtelunne?
26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Aiotteko nuhdella sanoja? Tuultahan ovat epätoivoisen sanat.
27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima, na kubadilishana rafiki yenu na mali.
Orvostakin te heittäisitte arpaa ja hieroisitte kauppaa ystävästänne.
28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi. Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?
Mutta suvaitkaa nyt kääntyä minuun; minä totisesti en valhettele vasten kasvojanne.
29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Palatkaa, älköön vääryyttä tapahtuko; palatkaa, vielä minä olen oikeassa siinä.
30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu? Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?
Olisiko minun kielelläni vääryys? Eikö suulakeni tuntisi, mikä turmioksi on?"

< Ayubu 6 >